granitized
JF-Expert Member
- Jul 5, 2016
- 3,249
- 7,948
taratibu mkuu, kuna muda mambo yanakataa, 1 haikai 2 haisimami, ila mwamba anatakiwa kuelewa tu kuwa hata majambazi wanatoa msaada pia. kuna kimada wa pablo escober alisemaga, kuna upande utampenda pablo na kuna upande utamchukia, kwenye mji wake anachukuliwa kama masihi ila upande wa waliokutana na madhila yake wanamuona kama shetani.Tayari anatuhuma zaidi ya Moja za utapeli Tena katuhumiwa na mhimili mzito sana ambao ni serikali kwaiyo matatizo yako ya kushindwa kutimiza majukumu yako mama wa mtoto yasikufanye kuja kumpampa huyo bwana humu
Sure mkuutaratibu mkuu, kuna muda mambo yanakataa, 1 haikai 2 haisimami, ila mwamba anatakiwa kuelewa tu kuwa hata majambazi wanatoa msaada pia. kuna kimada wa pablo escober alisemaga, kuna upande utampenda pablo na kuna upande utamchukia, kwenye mji wake anachukuliwa kama masihi ila upande wa waliokutana na madhila yake wanamuona kama shetani.
Si anatengeneza mkataba wa kizushi mwingineMfano mkataba unasema kodi italipwa kwa mwaka na akasaini.
Yeye anao na mwenye jengo anao.
Kikifika kipindi cha kodi anazusha nini ili asilipe kodi na hapohapo aendelee kupanga?
Si ndiyo maana Msama tapeli la Aridhi limekabiziwa kwa police ili mchakato wa kisheria uanze!!? Au unazani Police wao hawako kisheria!!?Mkuu ni kweli, tudhiti matapeli na waporaji wa ardhi kwa kufuata utaratibu wa sheria.
Ruge alikua na talanta ya kuibuwa vipaji kwa baadhi ya watu wasio viona vipaji vyao!!Sema Ruge naye kaibua watu wengi sana waliokuwa hawana mwelekeo wowote... mtu kama B12 na Mchomvu walikuwa vijana tu mtaani wenye elimu ya kuunga ila akawainua.
Anatoa sana rushwa kwa Majaji wa Rufaa na Mahakama KuuMwana mpiga mbaya, ukiuliza majaji mahakama ya Rufaa wanamjua.
ana kesi za ardhi kila uchao.
Inasemekana alikuwa anakula "Lozi Mwando"
Tatizo wengine aliowaibua ni mapunga!! Kama huyo B12Sema Ruge naye kaibua watu wengi sana waliokuwa hawana mwelekeo wowote... mtu kama B12 na Mchomvu walikuwa vijana tu mtaani wenye elimu ya kuunga ila akawainua.
Na Jamaa lazima atapatikana na hatia tu kama uchunguzi wa police utanyooka vizuri!!Mahakamani atapelekwa tu. Kwani mchakato wa jinai unaanzia wapi? Ni Polisi, TAKUKURU au Taasisi ya Kudhibiti Madawa ya Kulevya. Kuwa na subira
Msamehe bure, castr hawajui vizuri matapeli wa Aridhi, labda kwa sababu hayajamkuta,au kumkuta mtu wake wa karibu, labda angeelewa somo la utapeli wa kugushi nyaraka unavyo wa tajirisha Matapeli!!Si anatengeneza mkataba wa kizushi mwingine
Ova
Hivi Majaji wa Rufaa na Mahakama Kuu si wanalipwa vizuri tu ili wasipate vishawishi kwenye kusimamia haki!? Mi nitamshangaa sana mtu wa aina hiyo kama kweli bado anapokea rushwa, inamaana hana kinai, tamaa ni kitu kibaya sana!!Anatoa sana rushwa kwa Majaji wa Rufaa na Mahakama Kuu
Kweli kabisa, kama hauwajui utaona kama wana singiziwaMsamehe bure, castr hawajui vizuri matapeli wa Aridhi, labda kwa sababu hayajamkuta,au kumkuta mtu wake wa karibu, labda angeelewa somo la utapeli wa kugushi nyaraka unavyo wa tajirisha Matapeli!!
Ndomana tunaambiwa rushwa ni adui ya hakiHivi Majaji wa Rufaa na Mahakama Kuu si wanalipwa vizuri tu ili wasipate vista vishawishi kwenye kusimamia haki!? Mi nitamshangaa sana mtu wa aina hiyo kama kweli bado anapokea rushwa, inamaana hana kinai, tamaa ni kitu kibaya sana!!
Pipe si bomba mkuu?Kwa hiyo alikuwa anampiga bomba la maji au la lile la dawa ya mbu?Naskia jamaa alikuaga anampiga pipe...😜
Kuchafuana tu. Utapeli uko wapi?Mkurugenzi wa Msama Promotion, Alex Msama anashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani Dar es Salaam kwa tuhuma za kutapeli viwanja vinne vya Beatrice Mshumbuzi, vinavyokadiriwa kuwa na thamani ya shilingi milioni 800.
Msama amekabidhiwa kwa polisi leo na Waziri wa Ardhi, Jerry Silaa.
PIA SOMA
- Jerry Silaa: Alex Msama ni tapeli namba 3 wa Viwanja, ajisalimishe
---
Mkurugenzi wa Kampuni ya Udalali ya Msama Promotion, Alex Msama, anashikiliwa na Polisi jijini hapa.
Kwa mujibu wa video iliyowekwa kwenye mtandao wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC Digital), Msama amekamatwa akiwa ofisini kwa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Jerry Silaa.
Video hiyo inamwonyesha Silaa akiwa ameketi akitoa maelekezo kwa askari Polisi mwenye sare kumkamata Msama.
Silaa amesikika katika video hiyo akiuliza iwapo askari huyo ana pingu akajibiwa zipo chini.
Msama aliyekuwa amevaa fulana yenye mistari na koti lenye rangi ya kaki, ameonekana akiingia na askari kwenye gari dogo lenye rangi nyeusi lililokuwa limeegeshwa nje ya geti la jengo la Wizara ya Ardhi, lililopo Kivukoni jiji hapa.
Mbali na video hiyo, taarifa kutoka kwa watu walio karibu na Msama zimesema amekamatwa leo saa 10.00 jioni.
Mwananchi Digital imemtafuta Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro kwa simu, ambayo ilipokewa na msaidizi wake aliyeeleza yuko kikaoni.
Juhudi za kupata taarifa kutoka Jeshi la Polisi zinaendelea.
Ingawa haijawekwa wazi sababu ya kukamatwa kwa Msama, hivi karibuni Waziri Silaa alikaririwa na vyombo vya habari akimuhusisha na utapeli wa ardhi.
Mwananchi
Hz kiki tu, scriptures,Mkurugenzi wa Msama Promotion, Alex Msama anashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani Dar es Salaam kwa tuhuma za kutapeli viwanja vinne vya Beatrice Mshumbuzi, vinavyokadiriwa kuwa na thamani ya shilingi milioni 800.
Msama amekabidhiwa kwa polisi leo na Waziri wa Ardhi, Jerry Silaa.
PIA SOMA
- Jerry Silaa: Alex Msama ni tapeli namba 3 wa Viwanja, ajisalimishe
---
Mkurugenzi wa Kampuni ya Udalali ya Msama Promotion, Alex Msama, anashikiliwa na Polisi jijini hapa.
Kwa mujibu wa video iliyowekwa kwenye mtandao wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC Digital), Msama amekamatwa akiwa ofisini kwa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Jerry Silaa.
Video hiyo inamwonyesha Silaa akiwa ameketi akitoa maelekezo kwa askari Polisi mwenye sare kumkamata Msama.
Silaa amesikika katika video hiyo akiuliza iwapo askari huyo ana pingu akajibiwa zipo chini.
Msama aliyekuwa amevaa fulana yenye mistari na koti lenye rangi ya kaki, ameonekana akiingia na askari kwenye gari dogo lenye rangi nyeusi lililokuwa limeegeshwa nje ya geti la jengo la Wizara ya Ardhi, lililopo Kivukoni jiji hapa.
Mbali na video hiyo, taarifa kutoka kwa watu walio karibu na Msama zimesema amekamatwa leo saa 10.00 jioni.
Mwananchi Digital imemtafuta Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro kwa simu, ambayo ilipokewa na msaidizi wake aliyeeleza yuko kikaoni.
Juhudi za kupata taarifa kutoka Jeshi la Polisi zinaendelea.
Ingawa haijawekwa wazi sababu ya kukamatwa kwa Msama, hivi karibuni Waziri Silaa alikaririwa na vyombo vya habari akimuhusisha na utapeli wa ardhi.
Mwananchi
Tena wanajifanyaga wako very kind kwa society inayo wazunguka, msome sasa nyuma ya pazia machafu yake utakimbia,lazima uwe na jicho la tatu kuona machafu yao!!Kweli kabisa, kama hauwajui utaona kama wana singiziwa
Ova
Hadi ukiona kachukuliwa na police kwa order ya Waziri wa Aridhi, basi ujuwe Jinai tayari ishafanyika, sasa taratibu za haki jinai lazima zifuatwe ili kila mtu apate haki yake anayo stahili!!Kuchafuana tu. Utapeli uko wapi?
Jamani wa Tz tumepatwa na nini?Du naona wana JF tumeshamhukumu Mr. Msama,tuangalie upande wa pili wa coin,je waziri kumpeleka suspect police ametumia sheria gani?,je suspect amefunguliwa docket police?je police wameshafanya uchunguzi na kuthibitisha tuhuma dhidi ya suspect?ni vema kama nchi tukaanza kuishi kisheria sio mihemko ya kisiasa,sasa huyu anatakiwa apelekwe kwa court within 48 hrs je police wana kesi dhidi yake?,KATIBA mpya ni muhimu maana walalamikaji wangeweza kwenda kwa PP kutoa malalamiko yao kama police haikuwasikiliza,kitendo hiki cha waziri kwangu ni NO na udhalilishaji,huwezi kumtoa suspect hadharani kabla ya kupanda kwa court
Fair enough mkuu ila ilitakiwa waziri awe na docket,huwezi kumpeleka mtu mahabusu bila ya docket,pia huwezi kumweka suspect more than 48 hrs kabla ya kumpeleka kwa courtJamani wa Tz tumepatwa na nini?
Tuwanataka viongozi wa namna gani?
Waziri wa aridhi ambaye kitaaluma ni mwanasheria, anaweza kuarrest mtu bila kufahamu kanuni za kukamata!
Tangu muda mrefu aanze kumzungusha Waziri, kushindikana kupatikana hadi kutumia njia ya kumuita ofisini, Waziri atakuwa hana supported doc za kum sue kwa tuhuma za utapeli wa viwanja anavyolalamikiwa kutapeli na kudhulumu wananchi?
Mimi napenda viongozi wa aina hii wanaowajibika kufuatilia haki za raia wanyonge dhidi ya matapeli yenye nguvu ya pesa.
Kukamatwa kwa tuhuma flani kuna uhusiano gani na kuonelewa?
Mahakama zipo mtu wako ataenda kujitetea huko.