Robot la Matope
JF-Expert Member
- Apr 10, 2015
- 8,174
- 16,794
Acha kudanya watu. Duka A lina VAT na next Duka B alina VAT. Wote wanauza TV!! Duka A anauza the same TV kwa 236,000/= (+18%ya VAT) na duka B anauza 200,000/= bila VAT Unadhani mteja atanunua kwa nani??Hakuna utofauti wowote wa faida. VAT unalipa wewe?
Unajua kweli hiyo VAT kiongozi wangu?
Hapo aibu inaenda kwa aliyemteua .waziri asiyekuwa na substances kichwani halafu ana PHDkamachana na Ashatu Kijaji, kanifurahisha sana pedezhee Chuki Shaban
Swala la bulk shipping au sijui consolidation ni simple serikali imchukulie muagizaji kama supplier anaewauzia mzigo retailers wa kariakoo.
Yeye ndio atoe receipt za mauzo kwa hao retailers awatoze VAT ya mzigo wao, na yeye akadai VAT aliyolipia bandarini and value chain starts for him mzigo ukishaingia Tanzania.
Shida hapo sasa itakuja baadhi ya hao waagizaji kuna makontena wanayotoa bila ya kulipia ushuru na awataki kuwa traced.
iwasikilize tu ila serikali ijue inawadekeza watazoea, wengine nao wataanza kuisumbua serikali iwaondolee kero zao. Mchelea mwana hula na wakwaoSerikali itawasikiliza, wewe baki hapo
Serikali kama inawasikiliza wafanyakazi basi iwasikilize wafanyakazi pia.
Hakuna mantiki basi ya kuitwa kodi ya ongezeko la thamani.Na VAT iishie hapo.
Acha uongo. Magufuli alikuwa anafata watu. Kupokea , mabango na kusikiliza shida.We unafikiri hii changamoto haikuwepo kipindi cha Magufuli?
Utofauti unaofanya uone haikuwepo ni kwamba kile kipindi isingewezekana kufanya mgomo kutokana na udikteta wa Magufuli
Hata hawa kina diamond pale wanazidiwa mara 2-3Mungu azidi kuzibariki kazi za mikono yake.
Wewe ni fanyabiashara kweli ?Hakuna hoja kabisa...
😃😃😃😃Si ulisema waziri anafanya Kazi? Umeshasahau mara hii?
Angetupwa baharini kabisa akaliwe na NyangumiNi jambo jema sana tena mno!
Nafuatilia mubashara TBC kiukweli angekuwepo Shujaa Magufuli kwa haya maelezo ya Wafanyabiashara Waziri angeliwa kichwa fasta!
Ww ni Fala kabisa ukitoa EFd mwak huu mwaka unaokuja lazima ulie na kusaga menoThey are not serious at all.
Imagine wanapinga hadi enforcement za kuhakikisha EFD machines zinatumika ipasavyo kwa mujibu wa sheria.
Kukataa kutoa receipts za mashine maana yake wanataka kufanya udanganyifu wa mauzo yao.?
Samia ni sikio la kufaKwa kweli Mwigulu Mchemba kaFedheheshwa sana.. na amestahili kwa kiburi chake.. na Kama Mama ata enelea kumuacha katika nafasi hiyo basi ajue kuna siku atapatafedhea kuu..
Wewe unalielewa tatizo.UKweli ni kwamba tatizo kodi ni nyingi, ni za kijamaa ambapo kundi dogo huishi kwa jasho la wenzao. Hasa wanasiasa.
Kodi mufilisi zinatoa mwanya mtu akwepe kwa kushirikiana na maafsa.
Akitaka kukwepa peke yake ndo hiyo vutana na task force.
Adui mkubwa wa wafanyabiashara ni serkali kuweka sheria za kodi mkomoo.
MAtokeo yake wanasiasa wafanyabiashara na genge lao la kukwepa kodi kupitia silent ocean wanashindwa kuuza bidhaa iliyokwepa kodi kwa uhuru. Hawatoi risit kubalance mahesab ya importation. Wanaleta tafran.
Nchi hii bila kuwatenga wanasiasa walaf na biashara tutazid kupoteza kodi nyingi
Huyu kilaz unamjibu kwa nini si kuna kipindi hawa jamaa wa TRA walifukuzwa kazi na na kidata akahamishwa huko TRA akipewa sijui ubaloziAcha uongo. Magufuli alikuwa anafata watu. Kupokea , mabango na kusikiliza shida.
Siyo chief hangaya anapuyanga tu
This is not Right to call someone Mwehu.Haondolewi huyo niko paleeeeee.
We unahisi Mama Samia ni kama yule Mwehu MAGUFULI wa kusikiliza wapumbavu?