sitagliptin
JF-Expert Member
- Mar 10, 2023
- 1,208
- 2,525
Amefungulia koki mwambaMwenyekiti wa wamiliki wadogo na wa kati wa malori amenifurahisha sana ...amemchana live mwigulu mchemba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amefungulia koki mwambaMwenyekiti wa wamiliki wadogo na wa kati wa malori amenifurahisha sana ...amemchana live mwigulu mchemba
Busara ni kuwasikiliza kwanzaTunapenda sana kukosoa kosoa na kutoa kasoro....Embu wew tupe hoja zako za msingi.....
Haters na wew sioni utofauti.....
Betting company kodi zimefutwa lini?Mwigulu ni arrogant sana.Vile alianzisha betting company,alifuta kodi kwenye betting company. Mwigulu hafai kuwa waziri.
Sawa mkuu.Busara ni kuwasikiliza kwanza
Mkuu umefikiria padogo sana..tatizo sio kodi. Tatizo ni utaratibu na mrundikano wa kodi.Wafanyabishara walipe kodi waache uswahili.
Wafanyabishara hawana hoja. Walipe kodi.
Kwa mfano?Nipo live I.T.V hapa kufuatilia hili jambo ila nimeshituka kidogo kuona wanaotoa kero/ushauri wengi ni Wachagga. Kila anayejitambulisha mchagga ndugu zangu Wakinga namwona Vunjabei tu. Sisi Wagogo hatupo ni muda wa kutoka Mpwapwa sana.View attachment 2625257
Huyo jamaa watu wengi hawajui kama ni msomi ana MBA kutoka UDSM.Hapa TANZANIA nimeani wafanyabiashara ndo watu smart upstairs yaani Fred vunja Bei kaongea point mpaka nimeshangaa madini tupu.
Huu ni uchokozi sasa!Ngoja tuone mgosi!😂😂😂Nipo live I.T.V hapa kufuatilia hili jambo ila nimeshituka kidogo kuona wanaotoa kero/ushauri wengi ni Wachagga. Kila anayejitambulisha mchagga ndugu zangu Wakinga namwona Vunjabei tu. Sisi Wagogo hatupo ni muda wa kutoka Mpwapwa sana.View attachment 2625257
Ameamza Biashara mwaka 1992Dah huyu msukuma wa simiyu ananifurahisha balaa [emoji28]
Kweli Mkuu kumbe ili uwe na pesa unabidi kuwa na akili Sana . Nimeamini.Huyo jamaa watu wengi hawajui kama ni msomi ana MBA kutoka UDSM.
"Mtanikumbuka tu"Ni jambo jema sana tena mno!
Nafuatilia mubashara TBC kiukweli angekuwepo Shujaa Magufuli kwa haya maelezo ya Wafanyabiashara Waziri angeliwa kichwa fasta!
Alimgeukia Mh Waziri Mkuu mwanzo mwishoAmeamza Biashara mwaka 1992
Ismaeli Masoud kutoka Pemba sio mchagga.Nipo live I.T.V hapa kufuatilia hili jambo ila nimeshituka kidogo kuona wanaotoa kero/ushauri wengi ni Wachagga. Kila anayejitambulisha mchagga ndugu zangu Wakinga namwona Vunjabei tu. Sisi Wagogo hatupo ni muda wa kutoka Mpwapwa sana.View attachment 2625257