Idimulwa
JF-Expert Member
- May 27, 2011
- 4,944
- 2,459
CCM mna laana.yaani mtu akijitambua basi amepangwa???Uelekeo hapa ni CHADEMAHuyo mama haondolewi kwa poroja za wapumbavu. Yaan mpuuzi mmoja huko apangwe la kusema then waziri aondolewe?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CCM mna laana.yaani mtu akijitambua basi amepangwa???Uelekeo hapa ni CHADEMAHuyo mama haondolewi kwa poroja za wapumbavu. Yaan mpuuzi mmoja huko apangwe la kusema then waziri aondolewe?
Imepita kama sample tu na si officialMuongeaji anasema au wakadange ?sasa hawa ndo waongeaji wao??
HatulipiiiiiiiiEti mtu hakulipa kodi miaka 2 /3 iliyopita anatakaa asilipe kisa rais alisema,Serikali na Nchi ni kubwa kuliko Rais lipeni kodi acheni mzaha nyie nyie mkitoka hapo mnainanga serikali kuwa haifanyi kitu.
𝐄𝐭𝐢 𝐰𝐚𝐡𝐚𝐦𝐢𝐞 𝐛𝐮𝐫𝐮𝐧𝐝𝐢[emoji23][emoji23] ila mtu akichoshwa na jambo, hakika anakuwa kivingine kabisa, leo Mwinguru sijui kajisikiaje kwa maneno yale.
Yule ana pesa ila hajiiti Boss Lady, hata Dangote wa Bongo pale hasomi kwa Cash na AssetJamani. Inclusion ni imezingatiwa pia. Mama Bonge anawakilisha wanawake wafanyabiashara
Aaaaah....Kumbe ndivyo Auntie?Umechanganya auntie achana na wa Millard ayo huyu mama bonge wa vitenge wa kontena 15 zilizokamatwa na tra
Wale ni wafanya biashara na mambo zao. Msitake kubaka initiatives za wengineUzalendo wenu ni wa kiwango Cha juu sana.
KATIBA mpya inaandikwa Kwa Wino wa Dhahabu.
Hatimaye wanaoonewa wameweza kushirikiana kupaza sauti kupinga uonevu katika mfumo wa Kodi kandamizi.
Mungu wa Mbinguni awabariki.
Amen.
Mama bonge sio yule mama mnene alieomba namba. Ni mwingine aliekuja kupewa nafasi ya upendeleo wakati viongozi wa mikoa wakiongea.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nimeona kwa Millard amemuomba PM Mawasiliano yake waongee kando asizidi kuhatarisha usalama wake...
Na nadhani wamevumila wamechoka...Ni mara ya kwanza nashuhudia mgomo wa wafanyabiashara Kariakoo, soko letu pendwa (baadhi). Vilevile mkutano kama huu wakitema cheche mbele ya Serikali. Hakika, kodi ni msingi wa maendeleo.
Roving Journalist shukran kwa thread na link
Somo la kodi lingeanzia chini kabisa primary huko.Swala la kodi ni la kitaifa. Inabidi lifundishwe mashuleni ili kuwajengea Watanzania uelewa wa umuhimu wa kulipa kodi na masuala yote ya kikodi yanavyotakiwa kufanyika.
Ahsante Chalii...Mama bonge sio yule mama mnene alieomba namba. Ni mwingine aliekuja kupewa nafasi ya upendeleo wakati viongozi wa mikoa wakiongea.
Hawezi waondoa.Labda Mh Raisi SSH akiweka mkeka mpya aondolewe
Wanalalamikia mfumo wa ukusanyaji Kodi unaokandamiza ukuaji wa biashara na Uchumi wa mtu mmoja mmoja na Taifa Kwa ujumla.Wale ni wafanya biashara na mambo zao. Msitake kubaka initiatives za wengine