DOKEZO Mfanyabiashara maarufu Arusha aibiwa Tsh. Milioni 100 kwenye akaunti ya Benki ya NMB

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Pesa haina adabu aisee
Watu wana pesa sana wenyeji wa masasi mjini watakuwa wanamfahamu marehemu Chidi boy huyu mwamba alikuwa na pesa ndefu sana wakati kama huu wa mbaazi wengi walikuwa wanaenda kwake anakupa mpaka milion 50 unaenda kukomaa nayo shambani ukishapata mzigo wa mbaazi ni hiyari yako umuuzie yeye chidi au usafirishe upeleke dar pale biasi na hata ukikataa kumuuzia yeye chidi wala hana noma
 
Kuna watu wana pesa sana haukumti anamtukana samia wala majaliwa wala kuzichambua siasa wao wapo busy na maisha yao na elimu yao ya darasa la 7
 
Hao niwezi walishamwibia bab wawatu bosy wetu ml 250 tena zilikuja kwa dola na ilikuwa ya wateja wanakuja huku tanzania wa mwaka mzima palikuwa hapatoshi walituzungusha sana , benki zenye wizi wakuonekana ni hizi CRDB, NBC , BOA, NMB,STANBIC ,EXIM BANK NDIO WANATABIA ZA WIZI HAPA TANZANIA
 
Wateja tumeshakosa imani na hizi taasisi
 
Huyo lazima aliotea Saini akawa anatoa taratibu tu huko ndani,ndio maana hakushtukiwa mapema

Huwa hawafanyi hivyo.

Wanajifanya mteja mwenye account alikuja kuomba atm card mpya. Wanamjazisha fomu kisha wanatengeneza card mpya . Kisha anajifanya tena mteja alikuja kufata card yake na amemkabidhi hiyo card mpya.

Kumbe card hiyo anayo yeye mwenyewe mfanyakazi wa bank

Hapo ndipo anaanza ku draw pole pole via ATM kwa kutumia hiyo card yenye jina la mteja mwenye account
 
Sasa kaibiwa huyo Mfanyabiashara au hao NMB na mfanyakazi wao ndio wameibiana ?

Waache upuuzi wamrudishie mteja pesa zake na kumlipa fidia ya usumbufu na wao wa-deal na mfanyakazi wao...
 
Yaani hii inadhihirisha jinsi maadili ya utumishi bora yalivyokosekana kwa vijana wa kizazi hiki, binafsi niliwahi kutakua kuibiwa baada ya kutoka benki na hela ktk bashasha ya A4.nilishika mkononi ila nilishtukia mchongo wa bank Clark, nikiwa pale nimeshaomba nitoe pesa, Akasema Hana keshi ya kutosha, akachukua simu akaingia ndani, nikiwa pale Kuna jamaa akaingia ndani akajifanya kama anaulizia money gram nikiwa pale wasinione, yule cashier akamkonyeza, nikashangaa nikasema la bda mtu wake, ila roho ikawahaina Amani, nilipopewa hela yule jamaa a katoka nje bila kupewa huduma... Nikiwa unajiuliza huyu mbona simwelewe... Ni katoka nikawa nyuma yake, Mara a nasimama Mi nazuga na simu.. Ni kafika zebra akajifanya kurudi nyuma avuke na mim, sasa mim siku Simama pale nikacheki gari hakua karibu nikavuka fast a, wakataka kuvuka nae upesi gari likamzui... Uzuri gari ilikua inanisubiria upande wa pili.. Nikaingia jikaondoka a kabaki pale, zebra anashangaa😁😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…