Kuna kipindi niliwahi kuwa na hii shida ila Mm nilitaka kufuta diploma afu ibaki form four/six, wakaniuliza hiyo diploma ni yako? Nkajibu ndio wakaniambia bc tulia hapo hapo.Wapigie simu uwaambie wafute qualification ya degree ili ibaki Diploma
Ndivyo mfumo walivyoweka, na sidhani kama watakusaidia mana ht mm walinigomea ila jaribu kuongea nao labla watakuelewa.Kwanini sasa nataka niweke diploma niitoe hiyo degree yao hawataki mfumo huu ni changamoto sana
Chanzo cha kuaminika?Habari. Wanashauri kuandika kwa mkono.
Source : Kutoka Chanzo cha kuaminika.
wapigie upate msaadaNilifungua account ajira portal siku za nyuma,
Nilipoteza simu na emails sikuwa nimenukuu wala siiijui.
Na sahivi siwezi login sina emails hiyo na sikumbuki password 🔑
Nafanje nipate Access ya account yangu
Msaada jamani
Mkuu sema usaidiwe!Acheni kudanganyana
Sasa mkuuMkuu sema usaidiwe!
Naweza watafuta hawa vijana nikawalipa kwa kazi yako, ili upate imani sahihi katika hili...
Watu wame pekenyua mpaka wamepata njia na wanaitumia vizuri
Ukikataa jeKuna kipindi niliwahi kuwa na hii shida ila Mm nilitaka kufuta diploma afu ibaki form four/six, wakaniuliza hiyo diploma ni yako? Nkajibu ndio wakaniambia bc tulia hapo hapo.
Kwahy ht jamaa nae ataulizwa hy diploma ni yake? Atajibu ndio.
Ataulizwa hy degree ni yake? Atajibu ndio.
Bc kazi itakuwa imeisha hvy mana hizo zote n mali yake halali.
Wapigie wanakubadilishia……..Kuna mwingine amekosea tu kuandika jina la degree yaani alichanganya bahati mbaya, ila sasa ndio huwezi kufedit wa la kufuta. Hapo unasema?
Si anacheti cha diploma na wao wanataka mtu wa diploma?Kwanini?
Sababu gani imekusukuma kufanya hivyo
Wewe huna sifa mbona unashindwa kuelewa? Ukishaweka cheti uwezi toa… subiri za degreeKwanini sasa nataka niweke diploma niitoe hiyo degree yao hawataki mfumo huu ni changamoto sana
Utakataaje na vyeti n vyako na vina majina yako?Ukikataa je
Angekuwa hajaweka hicho cheti cha degree ingekuwa sawa…..lakini ameshakiweka hivyo ni overqualified kwa nafasi iliuotangazwaSi anacheti cha diploma na wao wanataka mtu wa diploma?
Ila mkuu hii nchi ni mateso kila kona huna uhuru na vitu vyako nimesoma mimi nataka nitumie chet cha aina fulani hawatakiUtakataaje na vyeti n vyako na vina majina yako?
Anyway ww jaribu tuu labla utasaidiwa.
Ninayo mkuu vyote vyangu kwanini degree yangu haijawai tangazwa toka nimalize chuo but diploma mara kibao inatokeaWewe huna sifa mbona unashindwa kuelewa? Ukishaweka cheti uwezi toa… subiri za degree
Unajiona kama una laana hv, unaona fursa zinakupita kisa degree 😂Ninayo mkuu vyote vyangu kwanini degree yangu haijawai tangazwa toka nimalize chuo but diploma mara kibao inatokea
Ila japokuwa ht mm iliwahi kunitokea ila naona n sawa wanavyofanyaIla mkuu hii nchi ni mateso kila kona huna uhuru na vitu vyako nimesoma mimi nataka nitumie chet cha aina fulani hawataki
Ila japokuwa ht mm iliwahi kunitokea ila naona n sawa wanavyofanya
Nipe uzoefu mkuu ulifanya nini sasa??Ila japokuwa ht mm iliwahi kunitokea ila naona n sawa wanavyofanya