Mfumuko wa bei ni tishio kwa maisha ya Watanzania

Mfumuko wa bei ni tishio kwa maisha ya Watanzania

Mbona imeandika KWa kunifokea , hoja yako ipo kushari Sana, ok naeshim mawazo yako mkuu, ila binafsi naona umejadili KWa kulaisisha sana
Mkuu '4 7mbatizaji', utaniwia radhi kama nimeonekana kuwa ninafoka; la hasha sikuwa na maana ya kuonekana hivyo, na wala hakuna "shari" yoyote hapo! Hata sielewi ni kwa vipi umeichukulia kuwa hivyo. Sioni popote katika maandishi yangu panapoonyesha "shari".
 
Mkuu '4 7mbatizaji', utaniwia radhi kama nimeonekana kuwa ninafoka; la hasha sikuwa na maana ya kuonekana hivyo, na wala hakuna "shari" yoyote hapo! Hata sielewi ni kwa vipi umeichukulia kuwa hivyo. Sioni popote katika maandishi yangu panapoonyesha "shari".
Nimekuelewa kiongozi, usijali mkuu
 
By mdau(Freddie) kupitia twitter:

" Ndoo ya Lita kumi ya mafuta imefika 52000 na kubwa ni 102000 mara mbili ya Bei ya Miezi 10 ilopota. Tozo, Umeme, Gas vyote juu huku mishahara chini. Hii CCM ni Tatizo kwenye Taifa letu, Tusipochukia Hatua we'll starve to death."
 
By mdau(Freddie) kupitia twitter:

" Ndoo ya Lita kumi ya mafuta imefika 52000 na kubwa ni 102000 mara mbili ya Bei ya Miezi 10 ilopota. Tozo, Umeme, Gas vyote juu huku mishahara chini. Hii CCM ni Tatizo kwenye Taifa letu, Tusipochukia Hatua we'll starve to death."
Utakoma! CCM bado ipo sana tu!
 
By mdau(Freddie) kupitia twitter:

" Ndoo ya Lita kumi ya mafuta imefika 52000 na kubwa ni 102000 mara mbili ya Bei ya Miezi 10 ilopota. Tozo, Umeme, Gas vyote juu huku mishahara chini. Hii CCM ni Tatizo kwenye Taifa letu, Tusipochukia Hatua we'll starve to death."
Hayo yote yanawapata wapinzani tu.

ccm kwao ni sikukuu kila siku maana wana bajeti yao maalumu ndiyo maana wanatuambia kuwa tutaisoma namba.
 
By mdau(Freddie) kupitia twitter:

" Ndoo ya Lita kumi ya mafuta imefika 52000 na kubwa ni 102000 mara mbili ya Bei ya Miezi 10 ilopota. Tozo, Umeme, Gas vyote juu huku mishahara chini. Hii CCM ni Tatizo kwenye Taifa letu, Tusipochukia Hatua we'll starve to death."
Wapinzani makini walipokuwepo bungeni, ilikuwepo kambi rasmi inayotambulika iliyosheheni hoja nyingi mbadala na zenye madini yaliyoshiba mpaka ikafikia makada wa chama tawala kuingiwa na hofu kubwa na kuamua mijadala makini ndani ya Bunge isionyeshwe mbashara. Kama hiyo haitoshi ghiliba na rushwa zikatumika ili kung'oa baadhi ya vichwa vilivyokuwepo kambi ya upinzani ili vifanye usaliti na kuunga mkono juhudi za mfalme aliyepita.

Baada ya kufanyika uchafuzi wa 2020, chini ya baraka za tume ya uchafuzi na vyombo vya dola, sasa haya ndiyo matokeo yake hali. Chama tawala kimelithibiti bunge, lakini ni dhahiri Bunge hili limeshindwa kabisa kuisimamia na kuishauri serikali.

Uwepo wa hoja kinzani ndani ya Bunge uliifanya serikali kuweza kuwa mitazamo tofauti kabla ya kuamua na kuchukua hatua yoyote ile yenye athari kiuchumi. Mbaya zaidi, ndiyo maana leo hii ushauri wa kisomi uliojaa weledi, maarifa na utaalamu ndani yake umeanza kukandiwa hadharani na kuitwa "NONSENSE"

Duuh! Ama kwa hakika JPM atakumbukwa kwa mengi.

Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom