Kichuguu
Platinum Member
- Oct 11, 2006
- 17,048
- 22,790
mfumuko umeanza lini! Mie sijauona.Ebu wacha kuchaa chako,
Hivi hujui kuwa sasa hivi mfumuko wa bei upo juu sana?
Kazi ya serikali ni kuwajibika kwa wananchi bila kujali kama imefanya nini jana.