Shadow7
JF-Expert Member
- Sep 28, 2020
- 24,606
- 39,289
😂😂😂Na wewe mmbea mwingine; nchi inapaa sasa baada ya magufuli halafu wewe unaleta za kwako.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂Na wewe mmbea mwingine; nchi inapaa sasa baada ya magufuli halafu wewe unaleta za kwako.
acha uongo we mtu, mishahara sasahivi kwa wachumia tumbo wa serikali ni mwaka wa 7 huu hamna nyongeza yoyote usidanganye watu we jamaa wa Lumumba, kupanda daraja sio nyongeza ya mshahara kama unavyoshadadia wewe, waulize wenyewe watakwambia , hata shabibyb jana katoka povu sana bungeni juu ya jambo hilo google utaona labda kama unatumia kitochi cha TTCLUsilete umbea! Katika miezi michache hii, serikali imefanya mambo makubwa kuliko miaka mitano ya serikali iliyopita. Mishahara imepanda, na watu wamepanda madaraja, sasa wewe unalilia nini?
Mifumuko yenu ya hovyo haiwahusuWabunge wapo bungeni,
Hakuna anayegusia mfumuko wa bei seriously. Jana nimeshangaa sana kuna ndg yangu ametoka Masasi kwenda Dar nauli 28000/= kutoka 18000-22000 /= hii ni hatari sana.
Wabunge wetu wekeni thamani ya ubunge wenu.
Hakuna amani ya moyo katika maisha ya sasa.
Wewe ni kiazi mbambataUsilete umbea! Katika miezi michache hii, serikali imefanya mambo makubwa kuliko miaka mitano ya serikali iliyopita. Mishahara imepanda, na watu wamepanda madaraja, sasa wewe unalilia nini?
Mikoani huku tunakula nyama ya kuku tu,dar wanakula miguu ya kuku,kichwa chake,utumbo wake.Hali ni mbaya kwelikweli,nimeona watu Tandika wanakula miguu ya Kuku kama mlo wao kamili.
Mama asipomfukuza Mwigulu hii Nchi inaenda kuangamia.Kuna pesa nyingi kwenye mzunguko
Lakin Kama Kuna pesa Sana kwenye mzunguko mbona Watu wapo hoihoeKuna pesa nyingi kwenye mzunguko
Halafu ukikaa nao kwenye Vijiwe vya Kahawa wanakwambia hakuna kama Samia 😆😆Mikoani huku tunakula nyama ya kuku tu,dar wanakula miguu ya kuku,kichwa chake,utumbo wake.
Wanaishi Maisha magumu sana.
Mzunguko wa Mwigulu?Lakin Kama Kuna pesa Sana kwenye mzunguko mbona Watu wapo hoihoe
Mikoan inawezekana maana unamkuta mtu anashamba lake ameka vikuku ,bata ,Sasa Dar ni jiji la utafutaji sanaMikoani huku tunakula nyama ya kuku tu,dar wanakula miguu ya kuku,kichwa chake,utumbo wake.
Wanaishi Maisha magumu sana.
PhD holder ya uchumi Sio, nimecheka Sana mkuuMzunguko wa Mwigulu?