Mfumuko wa bei ni tishio kwa maisha ya Watanzania

Mfumuko wa bei ni tishio kwa maisha ya Watanzania

Madhara ya utawala wa mwenda zake madhara ndiyo yanaonekana sasa hivi...

-Nafanya kazi kariakoo kwenye hardware vitu vimepanda bei sana..

mfano kitu kilicho kuwa kinauzwa elfu 50 sasa hivi ni laki moja na 60..

Uchumi uliharibiwa sana.. Yale maduka yaliyokuwa yakifungwa enzi za mwenda zake madhara yake ndiyo haya
 
Halafu ukikaa nao kwenye Vijiwe vya Kahawa wanakwambia hakuna kama Samia πŸ˜†πŸ˜†
Herding behaviour (Unyumbu) an occurrence of thoughtful people, suspending their individual reasoning because of fear in this case fearing their leader or self-Absorbed group
 
Nawasalimu wanajf wote popote mlipo.

Siku ya pili Sasa nimeshindwa kupata jibu la swali tajwa ,maana ni kilio kwa kila ndugu na jamaa kutoka mikoa mbali mbali ambao tunawasiliana muda mwingi achilia wazee wangu walio vijijini,wakati inasemakana mama anaupiga mwingi.

Kwa kuwa JF Kuna wachumi na watu wenye UPEO wa Mambo ya kadha wa kadha naombeni mnijibu swali langu


Mpaka Sasa
1. Vifaa vya ujenzi havikamatiki, naambiwa Mwanza mfuko unacheza kuanzia Elfu ishirini na kuendelea, DODOMA mfuko kuanzia tsh 17000 na kuendelea,ujaweka mabati , nondo n.k, Sasa sijui mikoa ya pembezoni Hali ipo vipi ,jibu Hali itakua mbaya

2.Matumizi ya kila siku ya nyumbani Hali ipo ivyo, nyama kwa Sasa wanakula wachache maana kilo ipo elfu saba mpaka elfu nane

Kwa ujumla kila kitu kiko juu, Bila kusahau miamala ya kwenye simu ,ukitoa tsh 120,000/= Makato ni elfu 5300 na point

Katika mazingira Kama ya Sasa tunatoka vipi, na shida nini Hali kua Kama ilivyo sasa
Sababu ya Magufuli!
 
Kwaniaba ya Zitto , Makamba na Nape nachukua fursa hii kusema kuwa mfumuko wa bei na bidhaa kupanda umesababishwa na Hayati Magufuli... ..mama anafungua nchi
 
Back
Top Bottom