Mfumuko wa bei ni tishio kwa maisha ya Watanzania

Mfumuko wa bei ni tishio kwa maisha ya Watanzania

Gharama zimebadilika sababu kubwa ni nchi yetu tunategemea sana vitu kutoka nje... sasa sea freight charges have gone so high compared to previous years na bado zinaongezeka hii imepelekea kuongeza gharama kwenye malighafi na bidhaa zinazoingizwa nchini ili kucover ongezeko hilo... mwanzoni mwa mwaka huu sea frwigh for 40 feet container ilikua around $4,000 na sasa ni around $8,000

serikali ya sisiyemu ikiongozwa na chifu hangaya ni sikivu tunawaletea ndege nyingi za mizigo muwe wa pole.
 
Gharama zimebadilika sababu kubwa ni nchi yetu tunategemea sana vitu kutoka nje... sasa sea freight charges have gone so high compared to previous years na bado zinaongezeka hii imepelekea kuongeza gharama kwenye malighafi na bidhaa zinazoingizwa nchini ili kucover ongezeko hilo... mwanzoni mwa mwaka huu sea frwigh for 40 feet container ilikua around $4,000 na sasa ni around $8,000
Kwa Nini imepanda kiasi cho hi mkuu?
 
Naona ni duniani kote vitu vimepanda na sababu kubwa inaweza kuwa ni uviko

Hata China vitu vimeongezeka bei

Hapa [emoji636] kwa mara ya kwanza fuel imefika £1.52 (4,500/=) kwa litre na bidhaa nyingi zimepanda
Maisha yatakuwa magumu zaidi kama mishahara itakuwa hivyo hivyo
Ila wenzetu wanajielewa
Umeongea vizuri mkuu, kwetu wakati grab ya vitu kupanda salary zipo pale pale kitu pia ambacho kinapunguza mzunguko wa fedha kwenye jamii
 
Hii nchi mambo yalianza kugeuka 2015 hii ni laana ya lowasa mlimtukana mkapora alichopewa na Mungu 'ushindi' mkamtabiria kifo mkamtukana sasa mnakufa wenyewe,mlimbagua mnazidi kubaguana,Ccm mliomtenda yule mzee hamtabaki salama,kibaya kinacho fanya Mungu asimame dhidi yenu "AMENYAMAZA KIMYA"
Nimecheka mkuu,kwamba lahana ya mzee Lowasa itawatafuna ccm mpaka mwisho,lakini alisharudi nyumbani ,maana nyingine amesamehe
 
Viti vikiendela kupanda pesa itapoteza thamani, pesa ikipiteza thamani uchumi utaanguka. Hivyo hata ukitafuta vipi itakua kazi bure
Una matatizo; Hivi vitu vina kanuni na Ukombozi wa kiuchumi is not a collective thing!
 
Chuma ya aluminum iliyo kuwa inauzwa 30000 Sasa ni 55000

Vioo vilivyo kuwa vinauzwa 44000 kwa Sasa ni tsh 120000-150000 /= hii si sawa nafikiri Kuna shida mahala ,hata Kama chnzo cha mfumko ni korona lakini wafanya biashara wamejiongeza mbele zaidi.

Bahati mbaya kabisa serikali haisemi chochote kuhusu mufumko huo.

Ni hatari sana
 
Umeongea vizuri mkuu, kwetu wakati grab ya vitu kupanda salary zipo pale pale kitu pia ambacho kinapunguza mzunguko wa fedha kwenye jamii

Hali si hali naona huko maana ukiona tajiri wanalalamika na maisha basi ujue hali ni mbaya haswa

Na haitabadilika kwa mda mrefu kwani deni limezidi na miradi mingi ni white elephant ambayo itakuwa ni magofu au scraper tu na hela nyingi zikiwa zimetumika wakati nyingi zikiwa za mikopo

Mishahara ya ziada itatoka wapi wakati hali ni mbaya ?
 
Bati 30 gauge simba dume kutoka tshs 17000 mwezi wa sita hadi 24000 kwa piece
 
Nawasalimu wanajf wote popote mlipo.

Siku ya pili Sasa nimeshindwa kupata jibu la swali tajwa ,maana ni kilio kwa kila ndugu na jamaa kutoka mikoa mbali mbali ambao tunawasiliana muda mwingi achilia wazee wangu walio vijijini,wakati inasemakana mama anaupiga mwingi.

Kwa kuwa JF Kuna wachumi na watu wenye UPEO wa Mambo ya kadha wa kadha naombeni mnijibu swali langu


Mpaka Sasa
1. Vifaa vya ujenzi havikamatiki, naambiwa Mwanza mfuko unacheza kuanzia Elfu ishirini na kuendelea, DODOMA mfuko kuanzia tsh 17000 na kuendelea,ujaweka mabati , nondo n.k, Sasa sijui mikoa ya pembezoni Hali ipo vipi ,jibu Hali itakua mbaya

2.Matumizi ya kila siku ya nyumbani Hali ipo ivyo, nyama kwa Sasa wanakula wachache maana kilo ipo elfu saba mpaka elfu nane

Kwa ujumla kila kitu kiko juu, Bila kusahau miamala ya kwenye simu ,ukitoa tsh 120,000/= Makato ni elfu 5300 na point

Katika mazingira Kama ya Sasa tunatoka vipi, na shida nini Hali kua Kama ilivyo sasa
Leo nmeenda kununua saban ya 500 naambiwa 700( ile ya unga) kiukwel huko mbele cjui Kama mama atatufikisha,na tukifika tutakuwa tmechoka Sana..
 
Back
Top Bottom