Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Amerogwa huyoDah uyu nae ni mtanzania pia, Bro ukihama kwa dada utaelewa uyu jamaa analozungumzia.
Sekta ipi iyo iliyopandisha mishahara na kwaasilimia ngapi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amerogwa huyoDah uyu nae ni mtanzania pia, Bro ukihama kwa dada utaelewa uyu jamaa analozungumzia.
Sekta ipi iyo iliyopandisha mishahara na kwaasilimia ngapi
Kavurugwa huyo ndiyo maana kaukimbia uzi wake mwenyewe.Watu waliopanda madaraja na mishahala hawazidi milioni tatu ukijumulisha na wafanyakazi wote sasa hao ndo wasababishe hali nzuli kwa milioni 60?
Ccm itawale maishaJuzi nimenunua nondo 30000 saruji 20000
Kaulizie na bei ya tiles au white cement. Hatuna serikali.Juzi nimenunua nondo 30000 saruji 20000
Lini hakukuwa na majizi nchi hii?😀 😀 😀 😀 😀 😀 Wapuuzi hawatakaa waishe duniani. Sasa hivi majizi yapo kila kona.
Haya na madhara ya uchumi wa Kati.Maisha yamepanda sana
Kama mshahara umepanda, Una wezaje kulalamika kupanda bei Kwa baadhi ya vitu!!?..Nauli za Mabasi ya kwenda Mikoani zina simamiwa na vyombo husika lakini Basi hivi zina class/standard/madalaja!!..Mbona hamongelea bei ya vyakula na vinywaji kushuka au mafuta?!!..Mama 2025 tenaKumbe ww ndio umepewa kitengo cha kumsifu hangaya? Sawa unafurahia kupanda mishahara harafu pesa yako hiyo hiyo ukienda sokoni haitoshi hata kujaza kapu ssa inafaida gani au nsio unasubiri miaka 60 ule miaez 5 pesa zako ziiishe halafu ujawe na stress UFE?
Ile white powder mara ya mwisho nilinunua elf 15, imepita miezi sita nimeulizia elfu 33......finishing za nyumba zinakuwa ngumu, vifaa vya ujenzi vinazidi kupaa....Kaulizie na bei ya tiles au white cement. Hatuna serikali.
Wako kwenye vikao vya chama CCM. Hakuna wawakilishi pale. Wawakilishi wanachaguliwa na wananchi wapiga kura. Wale ni wanachama wa CCM walioko bungeni.WAbunge wapo bungeni
Hakuna anayegusia mfumuko wa bei seriously.
Jana nimeshangaa sana kuna ndg yangu ametoka Masasi kwenda Dar nauli 28000/= kutoka 18000-22000 /= hii ni hatari sana.
Wabunge wetu wekeni thamani ya ubunge wenu.
Hakuna amani ya moyo katika maisha ya sasa.
😆😆😆 Eti mnarejeshewa tabasamu!Ile white powder mara ya mwisho nilinunua elf 15, imepita miezi sita nimeulizia elfu 33......finishing za nyumba zinakuwa ngumu, vifaa vya ujenzi vinazidi kupaa....
Sasa mkuu kwani kila mtu ni mtumishi? Hujui kuwa watumishi nchi hii hawazidi laki 5??Usilete umbea! Katika miezi michache hii, serikali imefanya mambo makubwa kuliko miaka mitano ya serikali iliyopita. Mishahara imepanda, na watu wamepanda madaraja, sasa wewe unalilia nini?
Unaangusha weweYeye huo mshahara wala hilo daraja hana... Nchi inaanguka hii unataka watu wakae kimya?
Milion 3??? Acha masiharaWatu waliopanda madaraja na mishahala hawazidi milioni tatu ukijumulisha na wafanyakazi wote sasa hao ndo wasababishe hali nzuli kwa milioni 60?
Katika hayo madaraja wewe umekuwa nani na ndugu zako kule vijijini wamepandishiwa mishahara au bei za bidhaa? Think and act mkuuUsilete umbea! Katika miezi michache hii, serikali imefanya mambo makubwa kuliko miaka mitano ya serikali iliyopita. Mishahara imepanda, na watu wamepanda madaraja, sasa wewe unalilia nini?
Wanaolalamika watakuwa sukuma gang 😆😆😆Hakuna mfumuko wa bei
Anaweza kuwa tajiri kama mfalme Huihuihui, lakini kama kapata kwa njia zisizo halali, hawezi kuwa mfano wa kuigwa maana kichwani kwake kumejaa hizo fiksi tupu.Nataka nikwambie tu! Musukuma anawapigania zana watu wa chini hata waliotolewa kazini aliwapigania sana! Kuhusu umachinga wa musukuma nikujulishe tu usije ukamuona Fala yule ni tajiri kulikoni hata ukoo wako wote! Na hana njaa kamaunavyomfikiria!
Wakuwakilishe kwani uliwachagua?... MFUMUKO WA BEI UKO NI TATIZO wanaotuwakilisha wako kimya ... na humu nako mnataka muwafunge watu midomo,?