Uchaguzi 2020 Mgombea kupitia CHADEMA, Tundu Lissu achukua fomu za Kugombea Urais wa Tanzania ofisi za NEC Dodoma

Uchaguzi 2020 Mgombea kupitia CHADEMA, Tundu Lissu achukua fomu za Kugombea Urais wa Tanzania ofisi za NEC Dodoma

Kwa nini tume wamebadilisha utaratibu wa kulipia bank? Malipo ya serikali yanalipwa kwa mfumo wa kieletronic.. CHADEMA ombeni mkalipie bank achaneni na malipo ya cash
Lakini si watapewa risti ya serikali au?
 
Niko area D watu wabugujika machozi ya furaha kwa kutaka kumuona Mh, Lissu ..aaah Magufuli yuko ICU hawezi kutoboa hata mshindi wa tatu hataingia ,nadhani hii coalition yake na Tlp ndo itamsaidia kuingia top 5
Nyie watu mnapenda sana kujifurahisha.
 
Na mimi najenga nyumba ya gorofa 200 Kariakoo. Nina hakika hela zitaniishia katika uchimbaji wa msingi kabla hata nondo za huo msingi sijanunuwa.

Fikiria, mradi wa mabasi ya mwendokasi umetushinda juu ya kuwa nauli ni x1.5 zaidi ya daladala. Nini chengine tutaweza?
Ni shida ndugu yangu. Chini ya CCM hakuna tuliloweza kuliendesha kwa ufanisi. Kupanga makazi yetu tu na miji yetu imekuwa shida kila sehemu mitaa ya hovyo na uchafu tu. Chama kilichoshindwa hata kusimamia tu watu wajenge kwa ustaarabu na miji yetu na makazi yetu yapendeze leo hii wanasema eti wao tu ndo wanaweza kuongoza hii nchi. Ni aibu sana.

Nimejifunza kitu kuwa nikiona mtu anashabikia CCM basi uwa ninatia mashaka sana uelewa wake wa mambo
 
By the way mtu anayeleta maendeleo ila hathamini utu wa watu huyo kwangu simthamini kabisa. Tundu lisu najua hataweza hata punje kuleta maendeleo lakini atajali sana utawala wa haki na sheria, sitarajii kusikia watu wakipotea chini ya tundu lisu.Mungu atutangulie atuwezeshe.
Utawala wa sheria katika maisha ya dhiki ni upumbavu.
 
Mkipata mbunge hata mmoja, mutakua mumejitahidi sana. Mhe rais Magufuli ameahidi uchaguzi kua huru na haki ili mkose kichaka cha kufichia aibu itakayowapata.
 
  • Thanks
Reactions: nao
Back
Top Bottom