Uchaguzi 2020 Mgombea kupitia CHADEMA, Tundu Lissu achukua fomu za Kugombea Urais wa Tanzania ofisi za NEC Dodoma

Uchaguzi 2020 Mgombea kupitia CHADEMA, Tundu Lissu achukua fomu za Kugombea Urais wa Tanzania ofisi za NEC Dodoma

Samahani una elimu gani??? Mbagala kuna mashamba??? Tandale kuna mashamba?? Manzese kwa mfuga mbwa Kuna mashamba??? Mbeya kwenye zile squatters kuna mashamba??? Mwanza kule milimani watu wamejenga bila vyoo hovyo Kuna mashamba?????

Kweli CCM ni wapuuzi!!!

Umewai kufika Oysterbay na Masaki??? Mzungu alipima vile viwanja na zile nyumba Mbona still zina maeneo na watu wanalima hata mbogamboga na ndizi????

Kweli CCM mnanipa hasira , nilipanga kushawishi watu 1000 wampigie kura Lissu na Chadema Ila mwaka huu nitashawishi watu 5000 peke yangu
Umetoa mfano wa mkoloni kupima Oyster bay, kwani tangu mkoloni aondoke serikali haipimi viwanja? Unaukumbuka mradi wa viwanja elfu ishirini hapa Dar ambapo maeneo ya Bunju, ununio, Boko, Mivumoni, Kijichi, Kibada, Mikwambe, Tuangoma, Mwanagati yalipimwa? Serikali kila mwaka nchi nzima viwanja hupimwa lakini kwa utaratibu kutrgemeana na ukuaji wa miji. Dodoma baada ya Serikali kuhamia huko vimepimwa viwanja vingi tu. Huwa husikii matangazo ya kuuzwa viwanja vilivyopimwa?
Kama huna hela ya kununua kiwanja kilichopimwa wewe endelea kupanga sio vibaya.

Dunia nzima sehemu kuna sehemu wanazoishi maskini ambazo ni slums hata US na ulaya wapo homeless ambapo ni sawa na slums tu.
Serikali imekuwa ikiboresha makazi yasiyopimwa kwa mfano kule Hananasif.
Unataka wanaoishi maeneo yasiyopimwa wanyang" anywe kwa kisingizio cha uboreshaji ! Unayajua maumivu ya kubomolewa wewe? Watu walipovunjiwa wakati wa upanuzi wa barabara ya Morogoro licha ya kuwa wamiliki wa awali walikuwa wamelishalipwa lakini watu walilalamika sana na pia walipoondolewa mabondeni. Katika maeneo hayo watu wanaendesha mfumo wao wa kiuchumi mfano kuna waliopangisha vyumba na fremu na wanalipia watoto wao vyuo vikuu na sekondari za kulipia; ukiwahamisha unavuruga mfumo wao wa kiuchumi hivyo itapelekea watoto wao kufukuzwa vyuo na shule kwa kukosa ada na familia kusambaratika.

Umeniuliza kama ninapajua Oysterbay na Masaki! Jibu lake niliwahi kuishi kwa muda ile Oysterbay original wakati nakua wakati huo Masaki ikiitwa Kichangachui. Pia umeuliza elimu yangu, ungetaja yako kwanza ili nami nitaje yangu ili ulinganishe vizuri.

Endelea kupiga kampeni kwani ni haki yako lakini ukubaliane na matokeo ya sanduku la kura bila visingizio.
 
Tunamuhitaji sana Lissu kama kioo cha uwanja wa sheria kuliko mwanasiasa.
 
Hayo niliyokuambia ni ukweli mtupu, labda ungekiri kwanza ukweli niliousema. Kama wakati huo box la lilichezewa mbele ya macho ya umma, ni kipi unataka nije nikiri huko mbeleni? Ungenionyesha uungwana kuwa hayo yaliyofanyika huko nyuma ni sawa, ila kwa sasa mmejirekebisha, na ili nijue kweli ni mtu unayependa ukweli, tamka wazi kuwa uchaguzi wa SM za mitaa ulikuwa batili. Halafu tutaanzia hapo kwenye hilo daraja.
Mimi sio mamlaka ni msomaji waJf ila huwa sipendi unafiki. Maoni yote ninayotoa humu ni yangu binafsi jinsi ninavyoliona jambo. Ila athari za kukosekana amani ninazijua madhara yake yanagusa jamii nzima ndio maana mtu akitaka kufanya jambo ambalo litatuathiri wote nalikemea.
Nilichosema tusubiri uchaguzi ufanyike halafu tuone kama hautakuwa huru na haki sio kuhukumu kwa confidence kuwa utaibiwa kura. Na nimekutaka ukishindwa kihalali uwe na ujasiri wa kukubali sio kupotosha umma.
 
Hivi kuna mtu mwenye akili timamu atampigia kura mgombea wa CCM?

CCM inawadanganya Watanzania kuwa ndani ya miaka 4-5 wamejenga viwanda 8477 , viwanda vingi kuliko vile vya Japan vilivyojengwa kwa miaka 100. Very stupid.
Ajira za kwenye miradi mikubwa tu ni zaidi ya milioni 6.

Utawapaje kura watu waongo, wanafiki na wazandiki kiasi hiki.

Ajira zingekuwa nyingi hivi nisingeona classmates wangu wengi wakilishwa na mama zao.
Ndugu, #Ajira hakuna kabisa tangu 2015 hadi sasa.Ni huruma sana ndoto za graduates zimefungwa na mchawi mmoja tu! yeye akisema ndipo zinatolewa.Wenye shahada za #Ualimu masomo ya #Sanaa wanachakujifunza kwa tangu mwaka 2015.
#Dictator Never Never Never Ever and Ever again!
 
Ndugu, #Ajira hakuna kabisa tangu 2015 hadi sasa.Ni huruma sana ndoto za graduates zimefungwa na mchawi mmoja tu! yeye akisema ndipo zinatolewa.Wenye shahada za #Ualimu masomo ya #Sanaa wanachakujifunza kwa tangu mwaka 2015.
#Dictator Never Never Never Ever and Ever again!
Mbona vijana wameajiriwa sana au haupo TZ!! Madaktari, Walimu, Wanajeshi etc. Wewe unazungumzia ajira gani mkuu?
 
We ndio mbutika kweli hivi ata umeangalia vyama vingine walivyochukua form?

Wote makatibu zao walikuwa wanapewa hati wanairudisha meza kuu na kuwatambulisha wagombea zao wanasimama kwenda kuchukua form; kuanzia CCM mpaka UDP.

Yaani kuna rituals kadhaa imebidi zisifuatwe kukosekana kwa katibu wa CDM ili tu watoke umo ndani. Hizi tabia za kujifanya wajuaji ndio zinawaleteaga shida.

Wameshaambiwa wanapewa siku tatu za kusaidiwa kabla ya kurudisha rasmi form NEC wanaweza kwenda kuonyesha form zao kama kuna mapungufu yoyote ya ujazaji waambiwe mapema kasoro zilipo, wakarekebishe ndio warudishe hakuna lengo la kuzuia mtu kisa makosa ya kujaza form.

Bado tu Tundu Lissu hana imani anataka afungue mkarabasha kuakiki kama kila kitu kimo na kupotezea watu muda hiki chama sijui kina matatizo gani. Kuwa mfuasi wa CDM lazima kuna kitu wafuasi wake wanatumia sio bure wao ghasia tu.

We utopolo vipi mbona umekomaa hivyo au unaleta habari za UDP hapa ,hukumuona Naibu katibu Mkuu Mwalimu.
Au kwa kuwa vyombo vya habari mmepigwa mkwara kuripoti tukio la leo.

Endeleeni tu ngoja Oktoba tuwakomboe kutoka makucha ya mkoloni mweusi.
 
Mimi ni mwalimu wa shule ya msingi. Naishukuru serikali yangu imenipa ajira. Natambua kazi aliyoianza mhe rais Magufuli ya kuijenga nchi yetu na ndio maana nataka aimalizie kwa 2020-2025.
Natambua Cuf , tlp, cdm, act wazalendo ni wote ni vyama vya upinzani
Nawasihi chadema msiwabague wenzenu. Dhambi ya ubaguzi ni mbaya sana. Itawatafuna.

Ajira za waalimu nchi hii ziko toka enzi za mkoloni. Cdm ina itikadi yake, hivyo haina ulazima wa kushirikiana na chama chochote. Msajili wa vyama vya siasa ndio mlezi wa vyama vya siasa, na wala sio jukumu la cdm kuviunganisha vyama. Inawezekana una point, lakini una uwezo mdogo wa kuziwasilisha, tumuombe Mungu kama waalimu ndio nyie.
 
Mbona vijana wameajiriwa sana au haupo TZ!! Madaktari, Walimu, Wanajeshi etc. Wewe unazungumzia ajira gani mkuu?

Waliofukuzwa kwa vyeti fake kwa mujjibu wa serikali kama sio data za kupika ni 19,000+. Lakini ajira zilizotoka ndani ya miaka hii mitano, sidhani hata kama zimefika kujaza hao walifukuzwa kwa vyeti fake.
 
Waliofukuzwa kwa vyeti fake kwa mujjibu wa serikali kama sio data za kupika ni 19,000+. Lakini ajira zilizotoka ndani ya miaka hii mitano, sidhani hata kama zimefika kujaza hao walifukuzwa kwa vyeti fake.
Kwani lazima zijazwe zote kama zilikuwepo zingine za magumashi je??
 
NEC na polisi mnakwama wapi. Lissu anakuja kwa maandamano JPM na CCM hafanyi hivyo. Lissu anawafanyisha kazi 88 na weekend JPM hafanyi hivyo. Mkwara wa kusema asipowakuta ofisi zenu halali yao imewafanya mfyate mkia?
 
Mimi sio mamlaka ni msomaji waJf ila huwa sipendi unafiki. Maoni yote ninayotoa humu ni yangu binafsi jinsi ninavyoliona jambo. Ila athari za kukosekana amani ninazijua madhara yake yanagusa jamii nzima ndio maana mtu akitaka kufanya jambo ambalo litatuathiri wote nalikemea.
Nilichosema tusubiri uchaguzi ufanyike halafu tuone kama hautakuwa huru na haki sio kuhukumu kwa confidence kuwa utaibiwa kura. Na nimekutaka ukishindwa kihalali uwe na ujasiri wa kukubali sio kupotosha umma.

Unaongea nini dogo, unanitaka nikishindwa kihalali nikiri, nimekupa mifano ya chaguzi zote toka awamu hii iingie madarakani, kuwa haikuwa halali na uligubikwa na ushenzi mwingi tu. Lakini unataka nikiri nikishindwa, kwa hiyo mimi ndio mamlaka? Ww ni mnafiki usiyejitambua, amani ni tunda la haki, ufumbie machi haki, kisha ujifanye unajua thamani ya amani! Shubamiit.
 
IMG_20200805_162623.jpg
 
Aisee huko Cdm kuna wengi watoto na Mawazo ya kitoto sana!
Ndio maana jf imejaa viroja na matusi tu badala ya hoja zenye uzito!
Imagine tunajadili hii thread 😁😁😁😁😁
 
Back
Top Bottom