Uchaguzi 2020 Mgombea Urais kupitia CHADEMA, Tundu Lissu afanyiwa mahojiano kwenye kipindi cha ITV dakika 45

Uchaguzi 2020 Mgombea Urais kupitia CHADEMA, Tundu Lissu afanyiwa mahojiano kwenye kipindi cha ITV dakika 45

Ni mjinga gani wa kumsikiliza Abbas , hivi ule uchumi wa kati mliokuwa mnaupigia chapuo la uongo umeishia wapi ? Jf si mahali pa kuleta utopolo , wanafiki wakubwa nyie !
Si ndio maana mnabaki mnaandika ujinga kwa taarifa yako sasa hivi LNG plant itakuwa roughly $4 billion dollars nyie endeleeni kuambiana upuuzi wa $32 billion; hivi unajua hiyo $32 billion ungeilipa kwa muda gani au huwa mnajipayukia tu. Kiazi wewe
 
Mbona hamtoi link? Wengine tupo kuhakikisha mambo huku field yanaenda vizuri

Nakucheka uzi wako.. wamekusaidia aibu ya nyie wafuasi bomuuuu.. Magufuli anasomesha bure.. 😃😃😃😃😃

Eti 6.9K ukaandika laki 6.9
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Nakucheka uzi wako.. wamekusaidia aibu ya nyie wafuasi bomuuuu.. Magufuli anasomesha bure.. [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]

Eti 6.9K ukaandika laki 6.9
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ni lijinga hilo
 
We mpuuzi na mnavyokata miti na kuharibu mazingira unafikiri kiwango cha maji ya hilo bwawa mwaka huu kitakuwa sawa na miaka 20 ijayo??????

Hivi CCM huwa mnafikiri kwa kutumia nini??? Hujui kiwango cha maji ya kwenye mito kwenye nchi zenye joto hasa za upande wetu kinapungua sana kutokana na maadiriko ya tabia nchi???
Ziwa Victoria limejaa maji huko kanda ya Ziwa hawajui wafanyie nini chini ya jua hili hili.

Isitoshe issue ni upuuzi wa kudai Gas ipo majini as if inatoka tu yenyewe pathetic Lissu.
 
Nilikuwa namuonea huruma Farhia jinsi alivyokuwa amechoka kabisa anaona bora kipindi kiishe,jamaa analalamika sana.
 
Yaani anajiropokea vitu ambavyo avielewi kabisa amekaa ulaya na kuona mambo kadhaa anadhani na Tanzania inaweza fanikisha kirahisi hivi anafahamu universal health credit inavyochangiwa kweli au anajiropokea tu.
Huyo wenu ndege zake zinamfaidisha vipi anayekaa namtumbo
 
I tell huyu mtu inabidi akapimwe akili what a load of nonsense anaongea, hivi kabisa kuna watu wanaamini upuuzi anao ongea.
Huyo shetani muua watu ana lipi la kuongea? Yaani kuwaua wenzako bila kikufanyia kosa lolote ,natamani Mungu peleke lakini sina ujanja
 
[SUP]ukimsikiliza Lissu unagundua Magu ameturudisha nyuma na kutupotezea muda[/SUP]
Mpaka tunaenda mapumziko dk 45 za kwanza team Lissu umiliki wa mpira ni 80% , ngoja tuone dk 45 za team lumumba wakirudi uwanjani Kama watajibu mapigo kwa % ngp ...team Lissu wako vzr kwenye kuzuia na kushambulia maana wanaongoza kwa goli 3 bila[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ana hasira sana za kutaka.. wazungu wake wamsaidie kutawala.. anabwabwaja tu.. akijua.. hatachaguliwa.. uongo mwingiii.. hajui hata sera anadai anatamka.. atatekeleza vipi.. hewa puromisezi tu.. pesa kama ile nchi ina dimbwi.. la kuchukua tu..

October.. ileeeee...
Atapokea dozi za kujibiwa.. atakumbuka temino sirii ilipo.. arudi alipopewa makazi..

Magufuli yupo vizuri sanaaaaaa... anapita 💯
 
Ziwa Victoria limejaa maji huko kanda ya Ziwa hawajui wafanyie nini chini ya jua hili hili.

Isitoshe issue ni upuuzi wa kudai Gas ipo majini as if inatoka tu yenyewe pathetic Lissu.
Kwa iyo ziwa Victoria ndo linazalisha umeme wa stiglers gorge????
Embu nikuulize tena!!! Unafikiri kwa kutumia kiungo gani we mtu???
 
Back
Top Bottom