Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
That is a logical fallacy, logical non sequitur.Nimesema kwa Kadiri ya trendi ya wapigakura ilivyo mpaka kufikia 2030 idadi ya wapigakura vijana itakuwa ni zaidi 50% ya wapigakura wote.
Sasa kama unataka kushinda huu Uchaguzi lazima uje na Mgombea wa Rika hili,
Najua unajua ukiwa na Mgombea mzuri unaweza kushinda Uchaguzi kwa zaidi ya 60% bila chama Wala pesa.
Demographic ya wapiga kura si kazima iendane na umri wa anayepigiwa kura.