Pre GE2025 Mgombea Urais wa CCM 2030 lazima awe kijana with zero corruption status. Je, ni nani kati ya hawa?

Pre GE2025 Mgombea Urais wa CCM 2030 lazima awe kijana with zero corruption status. Je, ni nani kati ya hawa?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mgombea ni Samia mwenye maono ya kutuvusha baad ya nchi kuharibiwa na jiwe. Wawekezani na biasha zinarudi kwa kasi. Mama ongoza miaka 100
2025 hatuna mwingine ndio maana tumefungua mjadala wa 2030.
 
Kwanza hapo hakuna kijana hata mmoja
pili hakuna mwana ccm aliyemsafi mengine yatamaliziwa na wenzangu
HATA UKIMKUTA SHEIKHE/PANDRE YUPO CCM JUA HILO NI JAMBAZI TUU
Wapo wengi tu na ndio maana husikii wakilamba asali za Abdul
 
Hivi unajua Tanzania ni nchi ambayo ina akiba hafifu ya fedha za kigeni kuliko miaka yote kuwa kutokea!?

Hivi unajua kuwa maendeleo ya kipato kwa raia mmoja mmoja ni MABOVU kwa raia wa Tanzania?

Hivi unajua kama gharama za maisha zimepanda sana zama hizi!?

Hao unaowasemea wafanyabiashara wengi wao ni wanufaikaji wa wao wenyewe huku wakila sahani moja na viongozi wanaolindiana nao maslahi yao wao kwa wao.

Na wengi wao ilithibitika wakiwa ni wakwepa kodi na wanyonyaji wanaolipa wafanyakazi mishahara midogo kuwahi kutokea.

Kama Samia kaivusha nchi kwanini mikopo imekua mingi na yeye ndiye rais aliyekopa kuliko awamu zotw zilizopita kwa muda mfupi wa miaka mitatu?

Na mbona miradi inasuasua!?
Nadhani kuna kitu haukielewi vizuri mkuu,
Mkopo umekua na Uchumi umekua pia
Tafuta Majibu ya Kafulila kuhusu deni la Taifa
 
Bila kujali wengi wanavyotamani Uchaguzi ujao wa mwaka 2030 zaidi ya 50% ya wapigakura wote watakuwa ni vijana.

Chama kitakachotaka kushinda Uchaguzi huo kisayansi lazima kije na mgombea mwenye maarifa ya kutosha na umri usiozidi miaka 50.

Kwasasa AgendA ya dunia ni kuchagua mtu anayechukia rushwa na Ufisadi asiyelea Uzembe lakini lazima awe ni mtu aliyekaribu sana Mungu.

Comment ziwe fupi fupi unataja jina na kama itakupendeza Sema kwanini ni huyo na sio hao wengine 16.​

1. Paul Makonda
2. Jerry Silaa
3. David Kafulila
4. Tulia Ackson
5. Mchengerwa Mohamed
6. Hamprey Polepole
7. Luhaga Mpina
8. Ridhiwani Kikwete
9. Innocenti Bashungwa
10. Dotto Biteko
11. January Makamba
12. Mwigulu Nchemba
13. Hussein Mwinyi
14. Hussein Bashe
15. Suleiman Jaffo
16. Juma Aweso
17. George Simbachawene
Nilipoona namber 1.nkajua huna akili nkaacha uzi wa kupuuzwa
 
Back
Top Bottom