Pre GE2025 Mgombea Urais wa CCM 2030 lazima awe kijana with zero corruption status. Je, ni nani kati ya hawa?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
That is a logical fallacy, logical non sequitur.

Demographic ya wapiga kura si kazima iendane na umri wa anayepigiwa kura.
 
Umejuaje namba 11 anamsururu wa wanaosubiri awe Rais wale mema?
 
That is a logical fallacy, logical non sequitur.

Demographic ya wapiga kura si kazima iendane na umri wa anayepigiwa kura.
Unajizijua vizuri sababu za watu kwanini wanapiga kura kwa Mgombea X badala ya Y?
 
No huu ni mtazamo wangu tu yakwamba bado hakuna chama chenye mfumo Serious wa kuwa na mgombea serious.
Mkuu nikikunukuu umenegate hata uwezo wa CCM kuwa na mfumo serious wa kupata mgombea huyo serious, kwa hiyo hoja yako umeiua mwenyewe. Maana pia haina ukweli kabisa!

Kuna wananchi huru na waliopo kwenye vyama mbali mbali vya siasa ambao wapo serious na wanauwezo mkubwa tu kuliko uliowaorodhesha hapo mwanzo.

Ni akili yako tu haioni hilo, halafu unataka kulisha watu wote humu mtazamo wako finyu.
 
That is a logical fallacy, logical non sequitur.

Demographic ya wapiga kura si kazima iendane na umri wa anayepigiwa kura.
βœοΈπŸ“πŸ‘ŒπŸ‘πŸ‘πŸ€πŸ™πŸ›‘οΈ
 
Hebu taja candidate mmoja asiye CCM aliye Serious
 
Yes Naona jembe langu Kafulila lipo hapo, Hii ni orodha ya kweliπŸ₯°πŸ₯°
 
Hebu taja candidate mmoja asiye CCM aliye Serious
Mkuu sio vizuri kukuchanganyia mafuta ya taa kwenye mahaba yako. Ukitizama jambo lolote kwa mahaba huwezi kusema ukweli, maana mahaba hutaka uone utakavyo moyo, sio akili!
 
Unajizijua vizuri sababu za watu kwanini wanapiga kura kwa Mgombea X badala ya Y?
Wakati wewe unashadadia sababu za watu kupigia kura mgombea X au Y, rais wako mwenyewe kashakwambia mkiwapigia kura au msipowapigia kura, wao watashinda tu. Maana yake wana uwezo mkubwa wa kupanga matokeo wanavyotaka na kutangazwa washindi, kwa mgombea wao wanayemtaka, bila kujali kura za watu.

Mpaka hapo huoni kuwa unacheza mchezo wa kushindwa na hizi habari unazoleta hapa ni comedy za kufurahisha baraza tu?
 

..fedha nyingine amekopa ili kulipa mikopo iliyo-mature. Ccm ina viongozi wa hovyo sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…