Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sisi tunataka aendeleze gurudumu. Hata putini ambaye ni role model wa chadema hana mpango wa kutoka madarakaniSamia ni muumini wa Katiba hawezi kuivunja hivyo ataishia 2030.
Hakuna kitu kama hiko mkuu think twicezanzibar imemshinda hatumtaki
Mda wowote.Lini ulikuwa mgumu?
1. Paul Makonda .........................................Kashfa ya gorofa la GSMBila kujali wengi wanavyotamani Uchaguzi ujao wa mwaka 2030 zaidi ya 50% ya wapigakura wote watakuwa ni vijana.
Chama kitakachotaka kushinda Uchaguzi huo kisayansi lazima kije na mgombea mwenye maarifa ya kutosha na umri usiozidi miaka 50...
Hapo namuona bora hata Tulia Ackson.Bila kujali wengi wanavyotamani Uchaguzi ujao wa mwaka 2030 zaidi ya 50% ya wapigakura wote watakuwa ni vijana.
Chama kitakachotaka kushinda Uchaguzi huo kisayansi lazima kije na mgombea mwenye maarifa ya kutosha na umri usiozidi miaka 50...
Umesahau Jumaa AwessoBila kujali wengi wanavyotamani Uchaguzi ujao wa mwaka 2030 zaidi ya 50% ya wapigakura wote watakuwa ni vijana.
Chama kitakachotaka kushinda Uchaguzi huo kisayansi lazima kije na mgombea mwenye maarifa ya kutosha na umri usiozidi miaka 50...
Hivi unajua Tanzania ni nchi ambayo ina akiba hafifu ya fedha za kigeni kuliko miaka yote kuwa kutokea!?Imeangamia au imeimarika. Kipindi cha jpm ndo nchi ilikuwa inaenda ICU kila kitu vurulu vuluru. Kila mwekezaji alikuwa anakimbia nchi inabaki na machinga tu utadhani tuko vitani. Na asingekufa mapema ingefika hatua hata mishahara haipo ambapo jeshi lingempindua. Mishahara huw ni kodi na walipa kodi ni wafanyabiashara ambao walikuwa wanakimbia kutekwa
Nani aliwathibitisha kwamba ni wakwepa kodi? We si unaona mahakama ya mafisadi imekufa kwa sababu ilikuwa mizuka na mihemko ya jpm kukomoa mahasimu wake wa siasa.Hivi unajua Tanzania ni nchi ambayo ina akiba hafifu ya fedha za kigeni kuliko miaka yote kuwa kutokea!?
Hivi unajua kuwa maendeleo ya kipato kwa raia mmoja mmoja ni MABOVU kwa raia wa Tanzania?....
2030 hawa wote watakuwa wazeeBila kujali wengi wanavyotamani Uchaguzi ujao wa mwaka 2030 zaidi ya 50% ya wapigakura wote watakuwa ni vijana.
Chama kitakachotaka kushinda Uchaguzi huo kisayansi lazima kije na mgombea mwenye maarifa ya kutosha na umri usiozidi miaka 50...