Pre GE2025 Mgombea Urais wa CCM 2030 lazima awe kijana with zero corruption status. Je, ni nani kati ya hawa?

Pre GE2025 Mgombea Urais wa CCM 2030 lazima awe kijana with zero corruption status. Je, ni nani kati ya hawa?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Bila kujali wengi wanavyotamani Uchaguzi ujao wa mwaka 2030 zaidi ya 50% ya wapigakura wote watakuwa ni vijana.

Chama kitakachotaka kushinda Uchaguzi huo kisayansi lazima kije na mgombea mwenye maarifa ya kutosha na umri usiozidi miaka 50.

Kwasasa Agenda ya dunia ni kuchagua mtu anayechukia rushwa na Ufisadi asiyelea Uzembe lakini lazima awe ni mtu aliyekaribu sana Mungu.

Comment ziwe fupi fupi unataja jina na kama itakupendeza Sema kwanini ni huyo na sio wengine hao 15.​

1. Paul Makonda
2. Jerry Silaa
3. David Kafulila
4. Tulia Ackson
5. Mchengerwa Mohamed
6. Hamprey Polepole
7. Luhaga Mpina
8. Ridhiwani Kikwete
9. Innocenti Bashungwa
10. Dotto Biteko
11. January Makamba
12. Mwigulu Nchemba
13. Hussein Mwinyi
14. Hussein Bashe
15. Suleiman Jaffo
16. Juma Aweso
Hizi takataka xinaenda wapi bila katiba mpya!
 
Hayo unayajua wewe ila mi naenjoy maisha kwa sasa mana nina ajira. Jpm alikuwa shetani kwangu mana kidogo nijinyonge
Basi kwa mimi mfanyabiashara wa kati JPM alinifaa sana.
Ila tukiweka hitimisho basi Tanzania ni taifa la kuridhisha wafanyakazi kwa mishahara,wanawake kwa vihela vya mkopo na wanafunzi kwa boom.
Ila sio nchi ya kuiongoza kwa long term plans na maono ya kesho.
Tanzania sio nchi ya hivyo na kwa mentality za kuridhika na mishahara tu hatutaweza kuendelea mkuu.
🙏🙏🙏
 
Basi kwa mimi mfanyabiashara wa kati JPM alinifaa sana.
Ila tukiweka hitimisho basi Tanzania ni taifa la kuridhisha wafanyakazi kwa mishahara,wanawake kwa vihela vya mkopo na wanafunzi kwa boom.
Ila sio nchi ya kuiongoza kwa long term plans na maono ya kesho.
Tanzania sio nchi ya hivyo na kwa mentality za kuridhika na mishahara tu hatutaweza kuendelea mkuu.
🙏🙏🙏
Long term inaanza na ustawi kwanza uwe n uhakika wa kula kwwnza
 
2030 makamba atakuwa na zaidi ya miaka 60 iyo stutus ya ujana atakuwa nayo Bado?
 
Mtoa thread nae kachanganyikiwa. Unaongelea vijana then unahusisha hao. 😡😡😡,
Joined yday. Na hii ID mpya.
Sikiliza nikueleze. Mimi sio chadema wala CCM ILa. Hiyo 2030, ntakua CCM. Tena mkuu wa fitna kama hajakaa mtu ambae humfhamu, nafuta id humu,
Na mimi nitakua nimerudi rasmi Bongo, lazma nichukue cheo kimoja wapo Bongo hapo.
Naona mnaleta sana michezo.
Nchi sio ya ukoo hiyo.
 
Long term inaanza na ustawi kwanza uwe n uhakika wa kula kwwnza
Mkuu ustawi haupo katika kula tu.
Kwenye hilo jambo la kula nyuma kuna jambo linatizamwa kwanza.
Ila ustawi pia una upande mkubwa wa maumivu ambao hakuna taifa lililoendelea likaacha kupitia hayo maumivu.
Ustawi unahitaji uhuru ama ujitegemezi binafsi,gharama ya ujitegemezi binafsi ni kubwa na hapo ndipo maumivu hudhihirika.
 
Mkuu ustawi haupo katika kula tu.
Kwenye hilo jambo la kula nyuma kuna jambo linatizamwa kwanza.
Ila ustawi pia una upande mkubwa wa maumivu ambao hakuna taifa lililoendelea likaacha kupitia hayo maumivu.
Ustawi unahitaji uhuru ama ujitegemezi binafsi,gharama ya ujitegemezi binafsi ni kubwa na hapo ndipo maumivu hudhihirika.
Imagine unaamka asubuhi huna hata elfu moja ya kunywa chai au chakula cha mchana, sasa akili itakaa sawa kweli. Mama anachofanya ni watu wale kwanza ili wawe na uwezo wa kufikiri vizuri. Huwezi kufikiri sawasawa ukiwa na njaa. Jpm alitufanya tuwe na njaa na kupiga mauyu mda wote
 
Mtoa thread nae kachanganyikiwa. Unaongelea vijana then unahusisha hao. 😡😡😡,
Joined yday. Na hii ID mpya.
Sikiliza nikueleze. Mimi sio chadema wala CCM ILa. Hiyo 2030, ntakua CCM. Tena mkuu wa fitna kama hajakaa mtu ambae humfhamu, nafuta id humu,
Na mimi nitakua nimerudi rasmi Bongo, lazma nichukue cheo kimoja wapo Bongo hapo.
Naona mnaleta sana michezo.
Nchi sio ya ukoo hiyo.
Karibu sana CCM tufanye kazi mkuu
 
Bila kujali wengi wanavyotamani Uchaguzi ujao wa mwaka 2030 zaidi ya 50% ya wapigakura wote watakuwa ni vijana.

Chama kitakachotaka kushinda Uchaguzi huo kisayansi lazima kije na mgombea mwenye maarifa ya kutosha na umri usiozidi miaka 50.

Kwasasa Agenda ya dunia ni kuchagua mtu anayechukia rushwa na Ufisadi asiyelea Uzembe lakini lazima awe ni mtu aliyekaribu sana Mungu.

Comment ziwe fupi fupi unataja jina na kama itakupendeza Sema kwanini ni huyo na sio wengine hao 15.​

1. Paul Makonda
2. Jerry Silaa
3. David Kafulila
4. Tulia Ackson
5. Mchengerwa Mohamed
6. Hamprey Polepole
7. Luhaga Mpina
8. Ridhiwani Kikwete
9. Innocenti Bashungwa
10. Dotto Biteko
11. January Makamba
12. Mwigulu Nchemba
13. Hussein Mwinyi
14. Hussein Bashe
15. Suleiman Jaffo
16. Juma Aweso
Rais ajaye hapo hayupo.
Ajaye ni SimbaChawene. Note hii comment.
 
Dotto Biteko ndo Rais ajaye it's as clear as the daylight labda jambo kubwa na baya limtokee.
 
Bila kujali wengi wanavyotamani Uchaguzi ujao wa mwaka 2030 zaidi ya 50% ya wapigakura wote watakuwa ni vijana.

Chama kitakachotaka kushinda Uchaguzi huo kisayansi lazima kije na mgombea mwenye maarifa ya kutosha na umri usiozidi miaka 50.

Kwasasa Agenda ya dunia ni kuchagua mtu anayechukia rushwa na Ufisadi asiyelea Uzembe lakini lazima awe ni mtu aliyekaribu sana Mungu.

Comment ziwe fupi fupi unataja jina na kama itakupendeza Sema kwanini ni huyo na sio wengine hao 15.​

1. Paul Makonda
2. Jerry Silaa
3. David Kafulila
4. Tulia Ackson
5. Mchengerwa Mohamed
6. Hamprey Polepole
7. Luhaga Mpina
8. Ridhiwani Kikwete
9. Innocenti Bashungwa
10. Dotto Biteko
11. January Makamba
12. Mwigulu Nchemba
13. Hussein Mwinyi
14. Hussein Bashe
15. Suleiman Jaffo
16. Juma Aweso
Aint no such thing as zero corruption status, its just a formality
Ungesema without major kashfa, clean records. That leave namba 2 atleast
 
Hapo Mtu pekee aliyekamilika kila Idara ni Bashungwa wengine wote wakakojoe.
 
Imagine unaamka asubuhi huna hata elfu moja ya kunywa chai au chakula cha mchana, sasa akili itakaa sawa kweli. Mama anachofanya ni watu wale kwanza ili wawe na uwezo wa kufikiri vizuri. Huwezi kufikiri sawasawa ukiwa na njaa. Jpm alitufanya tuwe na njaa na kupiga mauyu mda wote
😂😂😂😂😂Mkuu kuna utofauti wa mzazi anayekufanya upambane ndio ule na mzazi anayekutengenezea mazingira ya kula.
Sasa hivi hiyo fursa ya kula imegusa watu wa kwenye mfumo tu.
 
Back
Top Bottom