Mbona mimi siko kwenye mfumo na kwa sasa nina uhakika😂😂😂😂😂Mkuu kuna utofauti wa mzazi anayekufanya upambane ndio ule na mzazi anayekutengenezea mazingira ya kula.
Sasa hivi hiyo fursa ya kula imegusa watu wa kwenye mfumo tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona mimi siko kwenye mfumo na kwa sasa nina uhakika😂😂😂😂😂Mkuu kuna utofauti wa mzazi anayekufanya upambane ndio ule na mzazi anayekutengenezea mazingira ya kula.
Sasa hivi hiyo fursa ya kula imegusa watu wa kwenye mfumo tu.
Bakhresa utajiri wake umetokana na hela za Salim,Afrika ni ngumu kuwa tajiri bila kua na mikono Michael kupitia Serikalini.Kuna rais hakuwahi kuwa mwizi!?
Huyo Trump mwenyewe former president wa USA aliiba serikalini.
Ila unaiba je maendeleo yanaonekana!?
Kuhusu kina Dewji na hao wengine kauatilie masakata yao ya kodi na mishahara midogo wanayolipa wafanyakazi wao.
Mfanyabiashara ambaye yuko perfect bwana ni Said Salim Bakhresa tu,wengine wanafuata.
Nina swali moja tu mkuu,Samia kwa rekodi yake ndani ya miaka mitatu amekopa pesa zaidi ya rais yeyote wa Tanzania kuanzia Nyerere mpaka Magufuli,unaweza ukaeleza hizo fedha zilizokopwa zimefanyiwa nini mpaka sasa cha maana!?
We muajiriwa wa serikali ama shirika binafsi mkuu?Mbona mimi siko kwenye mfumo na kwa sasa nina uhakika
Serikalini.We muajiriwa wa serikali ama shirika binafsi mkuu?
Salim yupi?Bakhresa utajiri wake umetokana na hela za Salim,Afrika ni ngumu kuwa tajiri bila kua na mikono Michael kupitia Serikalini.
Kawaaulize Wanaijeria jinsi Dangote anavyofanya
Tayari upo katika mfumo mkuu.Serikalini.
Ni nchingani iliwahi kufanya uchaguzi na %kubwa ikawa ni wazee?2030 zaidi ya 50% ya wapigakura wote watakuwa ni vijana.
Natamani kuacha kazi niingie sector binafsi mana Samia katengeneza mazingira mzuri sector binafsi inashine kwa sasa.Tayari upo katika mfumo mkuu.
Serikali mshahara must haijalishi shirika ulilopo linazalisha ama linazorota katika kuzalisha.
Hongera yako mkuu.Natamani kuacha kazi niingie sector binafsi mana samia katengeneza mazingira mzuri sector binafsi inashine kwa sasa.
10. Mwijaku qnatosh kuwa rais wa nchi hii9. Innocent Bashungwa anatosha
Katika mambo yatatokea after 50 yrs to come,ni Msukuma kuwa Rais wa Hii Nchi.