Pre GE2025 Mgombea Urais wa CCM 2030 lazima awe kijana with zero corruption status. Je, ni nani kati ya hawa?

Pre GE2025 Mgombea Urais wa CCM 2030 lazima awe kijana with zero corruption status. Je, ni nani kati ya hawa?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Labda Bashungwa tuu ila tatizo ana muonekano wa Kinyarwanda sana na hawa tunawajua.
 
Amini amin tuendako tia maji tia maji,

Ninamwonea huruma raisi ajaye baada ya samia ataipata shida sana

Kama atakuja ni kutoka opposition itakuwa mbaya sana

Imagine raisi ajaye atawapa matumani makubwa wananchi alafu atakuta hazina patupu

Na rasilimali zote wameuza Hawa ccm wahuni, kwa mikataba ya kimataifa ambayo si raisi kuitengua
Huku wao wakiendelea kula shares zao taratiibu

Ndo maana nasema wakimaliza kuuza nchi watakuwa radhi kuwaachia wapinzani

Wapinzani wasifikiri wataachiwa nchi kwa sababu ya demokrasia big NO,
Itakuwa kwa sababu ccm imeshauza Kila kitu na kuhodhi njia kuu za uchumi. Watasema "Sasa tuwape wapiga kelele tuone watafanya nini"

Watasema" sisi tunadesha nchi kijanja janja tu, tumeuza rasilimali zote alafu tunaenda kwa mwendo wa kopa kopa kuendesha nchi na maisha yanaenda

Na wapinzani wasio na akili watauvaa mkenge
Wapinzani wawe makini kuna mtego waja

Tusubiri tuone
 
Bila kujali wengi wanavyotamani Uchaguzi ujao wa mwaka 2030 zaidi ya 50% ya wapigakura wote watakuwa ni vijana.

Chama kitakachotaka kushinda Uchaguzi huo kisayansi lazima kije na mgombea mwenye maarifa ya kutosha na umri usiozidi miaka 50.

Kwasasa AgendA ya dunia ni kuchagua mtu anayechukia rushwa na Ufisadi asiyelea Uzembe lakini pia lazima awe ni mtu aliyekaribu sana Mungu wa Mbinguni.

Na sasa kwa mamlaka niliyopewa natangaza mmoja kati ya hawa 15 ndio Rais wa JMT ajae badaa ya Rais Samia Suluhu Hassan.

Tafadhali Comment ziwe fupi fupi unataja jina na kama itakupendeza Sema kwanini ni huyo na sio hao wengine 14.​

1. Paul Makonda
2. Jerry Silaa
3. David Kafulila
4. Tulia Ackson
5. Mchengerwa Mohamed
6. Hamprey Polepole
7. Luhaga Mpina
8. Ridhiwani Kikwete
9. Innocenti Bashungwa
10. Dotto Biteko
11. January Makamba
12. Mwigulu Nchemba
13. Juma Aweso
14. Hussein Bashe
15. Suleiman Jaffo
Rais naamini hata Mimi atatoka hapa👆👆
 
Amini amin tuendako tia maji tia maji,

Ninamwonea huruma raisi ajaye baada ya samia ataipata shida sana

Kama atakuja ni kutoka opposition itakuwa mbaya sana

Imagine raisi ajaye atawapa matumani makubwa wananchi alafu atakuta hazina patupu

Na rasilimali zote wameuza Hawa ccm wahuni, kwa mikataba ya kimataifa ambayo si raisi kuitengua
Huku wao wakiendelea kula shares zao taratiibu

Ndo maana nasema wakimaliza kuuza nchi watakuwa radhi kuwaachia wapinzani

Wapinzani wasifikiri wataachiwa nchi kwa sababu ya demokrasia big NO,
Itakuwa kwa sababu ccm imeshauza Kila kitu na kuhodhi njia kuu za uchumi. Watasema "Sasa tuwape wapiga kelele tuone watafanya nini"

Watasema" sisi tunadesha nchi kijanja janja tu, tumeuza rasilimali zote alafu tunaenda kwa mwendo wa kopa kopa kuendesha nchi na maisha yanaenda

Na wapinzani wasio na akili watauvaa mkenge
Wapinzani wawe makini kuna mtego waja

Tusubiri tuone
Wapinzani wenyewe wako wapi?
 
Kazi kweli kweli, Dkt. Tulia Atkson muda wote anamuona Dkt. Mwigulu Nchemba kama ndiye Rais ajaye 2030. Sababu kubwa ni kutokana na mali ambazo Mwigulu amejilimbikizia ili kuja kumsaidia kwenye Uchaguzi. Mwigulu Nchemba kama Hayati Edward Lowassa inasemekana baada ya 2025 ataonesha wazi wazi nguvu ya fedha zake kuelekea 2030.

Juzi alisikika akisema hata 2025 pamoja na kusema wabunge ambao hawatapata upinzani watapigiwa kura wakishindanishwa na kivuli, bado yeye atahakikisha (pengine kwa kutoa fedha) kivuli hakipati kura zinazozidi mia tano jimboni kwake.

Wakati huo huo Dkt. Tulia naye alisomwa akiongea kwa Kinyakyusa cha ndani kuwa Mama anaonesha yupo tayari zaidi kumwachia mwanamke anayejiweza madaraka kuliko Mwanaume na kwa mujibu huo akamuuliza huyo msikilizaji kwani ni mwanamke gani Tanzania anamyemfuatia Samia Tanzania kama siyo Spika wa Bunge ambaye ndiye yeye Tulia?
 
Bila kujali wengi wanavyotamani Uchaguzi ujao wa mwaka 2030 zaidi ya 50% ya wapigakura wote watakuwa ni vijana.

Chama kitakachotaka kushinda Uchaguzi huo kisayansi lazima kije na mgombea mwenye maarifa ya kutosha na umri usiozidi miaka 50.

Kwasasa AgendA ya dunia ni kuchagua mtu anayechukia rushwa na Ufisadi asiyelea Uzembe lakini pia lazima awe ni mtu aliyekaribu sana Mungu wa Mbinguni.

Na sasa kwa mamlaka niliyopewa natangaza mmoja kati ya hawa 15 ndio Rais wa JMT ajae badaa ya Rais Samia Suluhu Hassan.

Tafadhali Comment ziwe fupi fupi unataja jina na kama itakupendeza Sema kwanini ni huyo na sio hao wengine 14.​

1. Paul Makonda
2. Jerry Silaa
3. David Kafulila
4. Tulia Ackson
5. Mchengerwa Mohamed
6. Hamprey Polepole
7. Luhaga Mpina
8. Ridhiwani Kikwete
9. Innocenti Bashungwa
10. Dotto Biteko
11. January Makamba
12. Mwigulu Nchemba
13. Juma Aweso
14. Hussein Bashe
15. Suleiman Jaffo
Nakubaliana na hii orodha hata hivyo
 
Kazi kweli kweli, Dkt. Tulia Atkson muda wote anamuona Dkt. Mwigulu Nchemba kama ndiye Rais ajaye 2030. Sababu kubwa ni kutokana na mali ambazo Mwigulu amejilimbikizia ili kuja kumsaidia kwenye Uchaguzi. Mwigulu Nchemba kama Hayati Edward Lowassa inasemekana baada ya 2025 ataonesha wazi wazi nguvu ya fedha zake kuelekea 2030.

Juzi alisikika akisema hata 2025 pamoja na kusema wabunge ambao hawatapata upinzani watapigiwa kura wakishindanishwa na kivuli, bado yeye atahakikisha (pengine kwa kutoa fedha) kivuli hakipati kura zinazozidi mia tano jimboni kwake.

Wakati huo huo Dkt. Tulia naye alisomwa akiongea kwa Kinyakyusa cha ndani kuwa Mama anaonesha yupo tayari zaidi kumwachia mwanamke anayejiweza madaraka kuliko Mwanaume na kwa mujibu huo akamuuliza huyo msikilizaji kwani ni mwanamke gani Tanzania anamyemfuatia Samia Tanzania kama siyo Spika wa Bunge ambaye ndiye yeye Tulia?
Ngoja tuone kinachoendelea
 
Bila kujali wengi wanavyotamani Uchaguzi ujao wa mwaka 2030 zaidi ya 50% ya wapigakura wote watakuwa ni vijana.

Chama kitakachotaka kushinda Uchaguzi huo kisayansi lazima kije na mgombea mwenye maarifa ya kutosha na umri usiozidi miaka 50.

Kwasasa AgendA ya dunia ni kuchagua mtu anayechukia rushwa na Ufisadi asiyelea Uzembe lakini pia lazima awe ni mtu aliyekaribu sana Mungu wa Mbinguni.

Na sasa kwa mamlaka niliyopewa natangaza mmoja kati ya hawa 15 ndio Rais wa JMT ajae badaa ya Rais Samia Suluhu Hassan.

Tafadhali Comment ziwe fupi fupi unataja jina na kama itakupendeza Sema kwanini ni huyo na sio hao wengine 14.​

1. Paul Makonda
2. Jerry Silaa
3. David Kafulila
4. Tulia Ackson
5. Mchengerwa Mohamed
6. Hamprey Polepole
7. Luhaga Mpina
8. Ridhiwani Kikwete
9. Innocenti Bashungwa
10. Dotto Biteko
11. January Makamba
12. Mwigulu Nchemba
13. Juma Aweso
14. Hussein Bashe
15. Suleiman Jaffo
2030 mchuano ni mkali mno
 
Kama Riziwani ameshaanza kutajwa kwenye hizi tabiri...tungoje tu matokeo 😂😂😂
 
Bila kujali wengi wanavyotamani Uchaguzi ujao wa mwaka 2030 zaidi ya 50% ya wapigakura wote watakuwa ni vijana.

Chama kitakachotaka kushinda Uchaguzi huo kisayansi lazima kije na mgombea mwenye maarifa ya kutosha na umri usiozidi miaka 50.

Kwasasa AgendA ya dunia ni kuchagua mtu anayechukia rushwa na Ufisadi asiyelea Uzembe lakini pia lazima awe ni mtu aliyekaribu sana Mungu wa Mbinguni.

Na sasa kwa mamlaka niliyopewa natangaza mmoja kati ya hawa 15 ndio Rais wa JMT ajae badaa ya Rais Samia Suluhu Hassan.

Tafadhali Comment ziwe fupi fupi unataja jina na kama itakupendeza Sema kwanini ni huyo na sio hao wengine 14.​

1. Paul Makonda
2. Jerry Silaa
3. David Kafulila
4. Tulia Ackson
5. Mchengerwa Mohamed
6. Hamprey Polepole
7. Luhaga Mpina
8. Ridhiwani Kikwete
9. Innocenti Bashungwa
10. Dotto Biteko
11. January Makamba
12. Mwigulu Nchemba
13. Juma Aweso
14. Hussein Bashe
15. Suleiman Jaffo
Simbachawene
 
Bila kujali wengi wanavyotamani Uchaguzi ujao wa mwaka 2030 zaidi ya 50% ya wapigakura wote watakuwa ni vijana.

Chama kitakachotaka kushinda Uchaguzi huo kisayansi lazima kije na mgombea mwenye maarifa ya kutosha na umri usiozidi miaka 50.

Kwasasa AgendA ya dunia ni kuchagua mtu anayechukia rushwa na Ufisadi asiyelea Uzembe lakini pia lazima awe ni mtu aliyekaribu sana Mungu wa Mbinguni.

Na sasa kwa mamlaka niliyopewa natangaza mmoja kati ya hawa 15 ndio Rais wa JMT ajae badaa ya Rais Samia Suluhu Hassan.

Tafadhali Comment ziwe fupi fupi unataja jina na kama itakupendeza Sema kwanini ni huyo na sio hao wengine 14.​

1. Paul Makonda
2. Jerry Silaa
3. David Kafulila
4. Tulia Ackson
5. Mchengerwa Mohamed
6. Hamprey Polepole
7. Luhaga Mpina
8. Ridhiwani Kikwete
9. Innocenti Bashungwa
10. Dotto Biteko
11. January Makamba
12. Mwigulu Nchemba
13. Juma Aweso
14. Hussein Bashe
15. Suleiman Jaffo
Badala ya kufikiria changamoto zinaikumba nchi sasahivi , mnafikiria watu wa kuwalamba miguu 2030.
 
Imagine unaamka asubuhi huna hata elfu moja ya kunywa chai au chakula cha mchana, sasa akili itakaa sawa kweli. Mama anachofanya ni watu wale kwanza ili wawe na uwezo wa kufikiri vizuri. Huwezi kufikiri sawasawa ukiwa na njaa. Jpm alitufanya tuwe na njaa na kupiga mauyu mda wote
Ulaji wenyewe huu wa kushindia miogo?
 
Bila kujali wengi wanavyotamani Uchaguzi ujao wa mwaka 2030 zaidi ya 50% ya wapigakura wote watakuwa ni vijana.

Chama kitakachotaka kushinda Uchaguzi huo kisayansi lazima kije na mgombea mwenye maarifa ya kutosha na umri usiozidi miaka 50.

Kwasasa AgendA ya dunia ni kuchagua mtu anayechukia rushwa na Ufisadi asiyelea Uzembe lakini pia lazima awe ni mtu aliyekaribu sana Mungu wa Mbinguni.

Na sasa kwa mamlaka niliyopewa natangaza mmoja kati ya hawa 15 ndio Rais wa JMT ajae badaa ya Rais Samia Suluhu Hassan.

Tafadhali Comment ziwe fupi fupi unataja jina na kama itakupendeza Sema kwanini ni huyo na sio hao wengine 14.​

1. Paul Makonda
2. Jerry Silaa
3. David Kafulila
4. Tulia Ackson
5. Mchengerwa Mohamed
6. Hamprey Polepole
7. Luhaga Mpina
8. Ridhiwani Kikwete
9. Innocenti Bashungwa
10. Dotto Biteko
11. January Makamba
12. Mwigulu Nchemba
13. Juma Aweso
14. Hussein Bashe
15. Suleiman Jaffo
3 sawa kabisa
 
Bila kujali wengi wanavyotamani Uchaguzi ujao wa mwaka 2030 zaidi ya 50% ya wapigakura wote watakuwa ni vijana.

Chama kitakachotaka kushinda Uchaguzi huo kisayansi lazima kije na mgombea mwenye maarifa ya kutosha na umri usiozidi miaka 50.

Kwasasa AgendA ya dunia ni kuchagua mtu anayechukia rushwa na Ufisadi asiyelea Uzembe lakini pia lazima awe ni mtu aliyekaribu sana Mungu wa Mbinguni.

Na sasa kwa mamlaka niliyopewa natangaza mmoja kati ya hawa 15 ndio Rais wa JMT ajae badaa ya Rais Samia Suluhu Hassan.

Tafadhali Comment ziwe fupi fupi unataja jina na kama itakupendeza Sema kwanini ni huyo na sio hao wengine 14.​

1. Paul Makonda
2. Jerry Silaa
3. David Kafulila
4. Tulia Ackson
5. Mchengerwa Mohamed
6. Hamprey Polepole
7. Luhaga Mpina
8. Ridhiwani Kikwete
9. Innocenti Bashungwa
10. Dotto Biteko
11. January Makamba
12. Mwigulu Nchemba
13. Juma Aweso
14. Hussein Bashe
15. Suleiman Jaffo
Kwa list hii nimeamini kumbe hata Steve Nyerere na Mwijaku wanaweza kuwa Rais wa nchi yetu
 
Bila kujali wengi wanavyotamani Uchaguzi ujao wa mwaka 2030 zaidi ya 50% ya wapigakura wote watakuwa ni vijana.

Chama kitakachotaka kushinda Uchaguzi huo kisayansi lazima kije na mgombea mwenye maarifa ya kutosha na umri usiozidi miaka 50.

Kwasasa AgendA ya dunia ni kuchagua mtu anayechukia rushwa na Ufisadi asiyelea Uzembe lakini pia lazima awe ni mtu aliyekaribu sana Mungu wa Mbinguni.

Na sasa kwa mamlaka niliyopewa natangaza mmoja kati ya hawa 15 ndio Rais wa JMT ajae badaa ya Rais Samia Suluhu Hassan.

Tafadhali Comment ziwe fupi fupi unataja jina na kama itakupendeza Sema kwanini ni huyo na sio hao wengine 14.​

1. Paul Makonda
2. Jerry Silaa
3. David Kafulila
4. Tulia Ackson
5. Mchengerwa Mohamed
6. Hamprey Polepole
7. Luhaga Mpina
8. Ridhiwani Kikwete
9. Innocenti Bashungwa
10. Dotto Biteko
11. January Makamba
12. Mwigulu Nchemba
13. Juma Aweso
14. Hussein Bashe
15. Suleiman Jaffo
Chukua Namba 1, 2, 3, 6, 9, 10, na 13 😉 Waliobaki wapumzishe kwanza.
 
Back
Top Bottom