Umekosea ndiyo, hilo jingine unalolijua wewe yeye halitumii yawezekana alishalibadilisha kihalaliLakini hili sio jina lake halisi au nimekosea?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umekosea ndiyo, hilo jingine unalolijua wewe yeye halitumii yawezekana alishalibadilisha kihalaliLakini hili sio jina lake halisi au nimekosea?
Paul Makonda hakupanda ngazi mwenyewe.Ni nyumba ya mgongo wa tembo,chumba na sebule,pembeni kuna slope mbili,moja hutumika kama jikon nyingine ni ya watoto.
Baada ya mambo kuwamazuri aliwajengea wazszi wake ghorofa moja la kisasa huko Igoma Mwanza,
View attachment 3173181
Nikiangalia nyumba hizo nasema Mungu yupo
FactPaul Makonda hakupanda ngazi mwenyewe.
Paul Makonda godfather wake ni Samuel Sitta, Sitta ndiye kambeba Makonda mpaka kamfikisha hapo leo.
Paul Makonda alikuwa anakaa nyumbani kwa Sitta kama mwanawe. Ni kijana wa Sitta aliyepewa cheo kwa makubaliano maalum kwamba huyu ni kijana wa Sitta.
Wewe kabla ya kujilinganisha na Paul Makonda, jiulize, godfather wako nani?
Hapo Ndiyo Wakati Huo Ilikuwa Contemporary SafiPicha hapo juu
Amelaaniwa mtu yule amtegemeae mwanadamuPaul Makonda hakupanda ngazi mwenyewe.
Paul Makonda godfather wake ni Samuel Sitta, Sitta ndiye kambeba Makonda mpaka kamfikisha hapo leo.
Paul Makonda alikuwa anakaa nyumbani kwa Sitta kama mwanawe. Ni kijana wa Sitta aliyepewa cheo kwa makubaliano maalum kwamba huyu ni kijana wa Sitta.
Wewe kabla ya kujilinganisha na Paul Makonda, jiulize, godfather wako nani?
Hilo tundu kwa ajili ya kukimbia nn majambazi yanapo vamia 😆Ni nyumba ya mgongo wa tembo,chumba na sebule,pembeni kuna slope mbili,moja hutumika kama jikoni nyingine ni ya watoto.
Baada ya mambo kuwa mazuri aliwajengea wazazi wake ghorofa moja la kisasa huko Igoma Mwanza,
View attachment 3173181
Nikiangalia nyumba hizo nasema Mungu yupo
Mkuu Kiranga. Umeongea point tupu.Paul Makonda hakupanda ngazi mwenyewe.
Paul Makonda godfather wake ni Samuel Sitta, Sitta ndiye kambeba Makonda mpaka kamfikisha hapo leo.
Paul Makonda alikuwa anakaa nyumbani kwa Sitta kama mwanawe. Ni kijana wa Sitta aliyepewa cheo kwa makubaliano maalum kwamba huyu ni kijana wa Sitta.
Wewe kabla ya kujilinganisha na Paul Makonda, jiulize, godfather wako nani?
Kiroho kuna majina mengine lazima yabadilike ili mtu aweze kuvuka.Lakini hili sio jina lake halisi au nimekosea?
Nasikia......aaahhh au basiiiPaul Makonda hakupanda ngazi mwenyewe.
Paul Makonda godfather wake ni Samuel Sitta, Sitta ndiye kambeba Makonda mpaka kamfikisha hapo leo.
Paul Makonda alikuwa anakaa nyumbani kwa Sitta kama mwanawe. Ni kijana wa Sitta aliyepewa cheo kwa makubaliano maalum kwamba huyu ni kijana wa Sitta.
Wewe kabla ya kujilinganisha na Paul Makonda, jiulize, godfather wako nani?
Alibadilisha lini? kihalaliUmekosea ndiyo, hilo jingine unalolijua wewe yeye halitumii yawezekana alishalibadilisha kihalali
Hakika mkuu ameacha athari chanyaKote aliko pita ameacha athari gani chanya?
Tuko hapa itunze hiiSidhani