Uchaguzi 2020 Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu akutana na Balozi wa Marekani

Okay
 
Pigeni keleee mukimaliza niambieni, Lisu hawezi pewa mamlaka ya kutuongoza wa Tanzania, hilo liko wazi hata yeye mwenyewe anajua.
 
Tatizo hapa ni MUDA! Kwa kweli sikuwa na muda wa kufuatilia mwisho wa hiyo SINEMA ya Lissu. Kumbe Polisi walimuacha ili apate muda wa kujitayarisha kwa safari yake ya kumuona Balozi wa US!
Watia huruma weye
 
Pigeni keleee mukimaliza niambieni, Lisu hawezi pewa mamlaka ya kutuongoza wa Tanzania, hilo liko wazi hata yeye mwenyewe anajua.
Tunawaombea mpate nguvu ya kujiandaa ki saikolojia
 
Apewe jimbo Marekani kama wanampenda sana.
Kwa hiyo na Maalim Seif naye apewe jimbo? Mavi-jana ya CCM huwa mnatembea na vichwa ambavyo ni makopo tu hayana ubongo. Mmebakiza vichwa vya kufugia chawa!
 
Hao ndio "wanadiplomasia", by the way Lissu si alisema atalala Kiluvya hata kwa wiki moja!? Ameondoka na kuwaacha solemba wenzake!?
Huna akili mwamba! Kichwa chako ni kopo ambalo halina ubongo. Hakuelewa alichosema Lissu
 
 
"SERIKALI YACHADEMA ITATUMIA WATAALMU WAKE KUAHAKIKISHA MNAKWENDA KUCHUNGA KWENYE HIFADHI" 😂🤣😂🤣

Tundu Lissu (Mzee Wa Faragha)
 
Huyu designer wa shati za Lissu, namvulia kofia!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…