Muhimu Ujumbe umefika ..Hivi hata kiswahili tunashindwa kuandika? Inakuwaje bango la kubandikwa kwenye kadamnasi kama Kariakoo mtu anaandika tumechoshwa na utitili wa kodi badala ya utitiri wa kodi? inamaana hawakuhakiki kabla ya kubandika?
Sina uhakika kama unanunua mafuta kujaza gari yako, weka risiti hapa yenye kodi ya VAT kituo chochote cha mafuta kwanini? sababu wameshakata meli ikifika na mzigo tu hautoki mpaka umelipiwa kodi zote
Mafuta hayana VAT
Nina hakika sasa ufumbuzi utapatikanaHabari wakuu nipo mtaa wa mchikichi huku kariakoo maduka hayajafunguliwa hadi muda huu kuna nini kwani?
Ngoja niangalie na mitaa mingine.
UPDATES...
Muonekano wa maduka mbalimbali katika soko la Kariakoo hadi saa 8.23 asubuhi huku kufungwa kwa maduka hayo kukihusishwa na uwepo wa mgomo wa wafanyabiashara wa soko hilo kongwe na maarufu Afrika Mashariki.
Wafanyabiashara wa Kariakoo wanafanya mgomo wa kufunga maduka wakishinikiza kupungua kwa kodi wanazotozwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA).
Kila kitu.10% kwenye nini?
Kwani umesikia huko mipakani hamna TRA? Hii inchi ya ovyo sana, mtaji atafute athuman, halafu atajirike John anayefanya kazi TRASio kila bidhaa inayouzwa inapitia bandarini, nyingine zinapitia mipakani ambapo Tanzania inazungukwa na nchi nyingi. Nyingine zinazalishwa ndani ya nchi
Mafuta hayana VATWanachokifanya TRA kwenye biashara ya mafuta ni kufilisi watu kwa makusudi
Wakuu, Kila kitu kilikua sawa mpk pale Mwezi 9 TRA walipopita kukagua mashine zao za efilling zinavofanya kazi na wakaelezwa khs usumbufu wa mashine zao za efilling kutoa mahesabu kwa wakati. Ilipofika mwisho wa mwezi ripoti ya mwezi ikachelewa kutoka kwa Zaid ya siku kadhaa mbele,Ila...www.jamiiforums.com
View attachment 2622431
Basi ukiibiwa hauna aja ya kwenda polisi au mahakamani, yakupasa ukae kwa kutuliaKwanza andika akitoroka anyway sijui kama nilitakiwa ni kujibu lakini nitakujibu. Ukiona mfungwa katoroka basi ujue gereza lako haliko sawa nenda kazibe kufukuza mfungwa sio suluhisho ni matokeo ua uzembe weka nyumba yako sawa hakuna wa kutoroka. Kama unataka kusema container linatoroshwa bandarini basi nchi iko katika hatari kubwa sana.
Kweeendraaaaamtanikumbuka kwa mema na si kwa mabaya.
Leo asubuhi nimefika kariakoo kwenye biashara zangu lakini nimekutana na mgomo wa maduka kutofunguliwa
Nilikuwa bungeni kwa wiki kadhaa hivyo sikufuatilia sana mambo ya biashara nikiwaachia vijana
Maduka yamefungwa ingawa baadhi ya wamachinga wanaouza matunda wanaendelea
Sijajua sababu ya msingi zaidi ya ile ya TRA kututaka tuorodheshe store zetu tunazohifadhia mali
Hakuna mfanyabiashara ambaye yupo tayari kwa jambo hilo ,Jambo lilihitaji mjadala mpana
Hakuna fujo ingawa polisi ni wengi wanatembea tembea bila uelekngoma ya watoto huwa haikeshi, Rais wa
Rais Wa Sasa ameshindwa kazi, awe tu muungwana apishe wengine .Sisi wakinga hatuogopi moto,Kwenye hizi biashara tuna maamuzi magumu sana ambayo wewe huwezi kuyafanya na hata ukiyafanya utakosa furaha maisha yako yote na unaweza ukaishia kuona maluwe luwe
Soma vyema acha ubishi! Elewa pia acha ubishi!Mafuta hayana VAT
VAT hutozwa kwa mtumiaji wa mwisho.
Ungelijua kitu kiitwacho "chimbo" hapo Kariakoo,ungeunga mkono serekali.utitiri wa kodi ni LAANA
R na L ni janga la taifaHivi hata kiswahili tunashindwa kuandika? Inakuwaje bango la kubandikwa kwenye kadamnasi kama Kariakoo mtu anaandika tumechoshwa na utitili wa kodi badala ya utitiri wa kodi? inamaana hawakuhakiki kabla ya kubandika?
VAT huwezi lipishwa kama hujatoza.Soma vyema acha ubishi! Elewa pia acha ubishi!
Nenda vituo vya mafuta waulize wafanyabiashara hizo hesabu zao kwenda TRA zipo vipi?
TRA wezi sana ni wakala wa wezi wa sio wakusanya mapato kuna watu wanapitisha hela zao hukoNajuwa hilo nilijibu tu kwa hoja ya mtu kusema kuna mipaka lakini shida kubwa hapa watu wa TRA wanajuwa kuwa kukiwa na mfumo usioingilika utaziba mianya ya rushwa watakufa njaa wanataka tubaki na hii analog mtu aweze tu kuamua kuna nini ndani ya container na gharama waamue nadhani kuna wakala wa kufanya clearance hawa wanatakiwa kuonesha 100% kuna nini na gharama zake ni zipi na viwango vya kodi viko kisheria ukiweka number kodi ni hii sasa kuwe na hali kuweka kiwango kuambatane na doc ku support gharama japo najuwa kuna ujanja mwingi mzigo wa mil 1 wanaweza kuweka laki moja hapa ndio tunatakiwa tutafute tech kuziba hii mianya kama shida kodi ni kubwa hilo na la kisera na serikali ina wajibu kuangalia. Mbona magari hakuna shida hizi, unaleta gari unaingiza model inakupa kodi hii wala huwezi kuchezea ndio maana ukija huku mitaani kwa wauza magari bei zinafanana sana.
Kodi inakatwa kwenye faida. 30% ya faida. VAT sio kodi ya mfanyabiashara, ni ya mtumiaji wa mwisho, Sasa 10% unataka ikusanywe kwenye kila kitu ukimaanisha nini?Kila kitu.
Wana bahati wangefanya huo mgomo kipindi cha mwenda zake, sasa hivi tungekua tuna hesabu maiti za viongozi wa hilo soko.
Hana huo uwezo.Serikalini kumevamiwa na majambazi
Mama assfishe korido zake
Taarifa anazooewa na wataalam wa idara azifanyiekazi kuokoa uchumi wetu