Mgomo mkubwa Soko la Kariakoo: Maduka yamefungwa, Mei 15, 2023

Hivi hata kiswahili tunashindwa kuandika? Inakuwaje bango la kubandikwa kwenye kadamnasi kama Kariakoo mtu anaandika tumechoshwa na utitili wa kodi badala ya utitiri wa kodi? inamaana hawakuhakiki kabla ya kubandika?
Muhimu Ujumbe umefika ..
Wafanyabiashara wengi kariakoo sio wasomi ni watu wenye elimu ya kawaida tu.
 
Sina uhakika kama unanunua mafuta kujaza gari yako, weka risiti hapa yenye kodi ya VAT kituo chochote cha mafuta kwanini? sababu wameshakata meli ikifika na mzigo tu hautoki mpaka umelipiwa kodi zote

 
Nina hakika sasa ufumbuzi utapatikana
 
Basi ukiibiwa hauna aja ya kwenda polisi au mahakamani, yakupasa ukae kwa kutulia

Na TRA wanacho kifanya huna aja ya kulalamika hivyo ni vyema ukatulia ndugu mzalendo
 

Sisi wakinga hatuogopi moto,Kwenye hizi biashara tuna maamuzi magumu sana ambayo wewe huwezi kuyafanya na hata ukiyafanya utakosa furaha maisha yako yote na unaweza ukaishia kuona maluwe luwe
Rais Wa Sasa ameshindwa kazi, awe tu muungwana apishe wengine .
Hii ni trailer tu, changamoto zipo nchi nzima za namna hii
 
Mafuta hayana VAT

VAT hutozwa kwa mtumiaji wa mwisho.
Soma vyema acha ubishi! Elewa pia acha ubishi!

Nenda vituo vya mafuta waulize wafanyabiashara hizo hesabu zao kwenda TRA zipo vipi?
 
Hivi hata kiswahili tunashindwa kuandika? Inakuwaje bango la kubandikwa kwenye kadamnasi kama Kariakoo mtu anaandika tumechoshwa na utitili wa kodi badala ya utitiri wa kodi? inamaana hawakuhakiki kabla ya kubandika?
R na L ni janga la taifa
 
Soma vyema acha ubishi! Elewa pia acha ubishi!

Nenda vituo vya mafuta waulize wafanyabiashara hizo hesabu zao kwenda TRA zipo vipi?
VAT huwezi lipishwa kama hujatoza.
Kutozwa VAT liko kisheria.
Mfanyabiashara hurudishiwa VAT aliyotozwa bandarini endapo ataikusanya kwa anaowauzia bidhaa.

Tatizo huna akili
 
TRA wezi sana ni wakala wa wezi wa sio wakusanya mapato kuna watu wanapitisha hela zao huko
 
Mnamkuza tu Mwendazake ingekuwa hivyo watu kama Prof Assad,Nape,Mzee makamba na mwanae, kinana hao watu wangekuwa tushazika kitambo.
Wana bahati wangefanya huo mgomo kipindi cha mwenda zake, sasa hivi tungekua tuna hesabu maiti za viongozi wa hilo soko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…