Ndo maana Mungu aliamua kuwatetea Watanzania. Aliua sana na yeye kwa sasa ni mifupa mitupu kaburini bila kujali kaburi lake limepambwa na kulindwa usiku na mchana.Wana bahati wangefanya huo mgomo kipindi cha mwenda zake, sasa hivi tungekua tuna hesabu maiti za viongozi wa hilo soko.
Timiza wajibu wa kulipa Kodi harafu dai uwajibikaji..Badala ya kutulalamikia sisi walipa kodi kwanini usingewekeza hizo nguvu kuwapigia kelele wanaokwapua pesa za umma? Kwenye ripoti ya CAG ulipiga hizo kelele? au hauna kazi ya kufanya unapoteza mda JF?.View attachment 2622639
Ni vizuri serikali ikatatua matatizo yanayosababishwa na watumishi wa mamlaka zilizopewa jukumu la kukusanya kodi, RUSHWA nchi imehalalishwa na viongozi ambao wameweka mbele tamaa zao binfsi.Leo asubuhi nimefika kariakoo kwenye biashara zangu lakini nimekutana na mgomo wa maduka kutofunguliwa
Nilikuwa bungeni kwa wiki kadhaa hivyo sikufuatilia sana mambo ya biashara nikiwaachia vijana
Maduka yamefungwa ingawa baadhi ya wamachinga wanaouza matunda wanaendelea
Sijajua sababu ya msingi zaidi ya ile ya TRA kututaka tuorodheshe store zetu tunazohifadhia mali
Hakuna mfanyabiashara ambaye yupo tayari kwa jambo hilo ,Jambo lilihitaji mjadala mpana
Hakuna fujo ingawa polisi ni wengi wanatembea tembea bila uelekeo.
View attachment 2622352
Timiza wajibu wa kulipa Kodi harafu dai uwajibikaji..
Kukwapua hakuhalalishi usilipe Kodi
Mtumishi yupi unayemuongelea ambaye analipa kodi kubwa kuliko mfanyabiashara mkwepa kodi?Hakuna mjomba wa kuwajengea Nchi,sio lazima Kila mtu afanye biashara,Kodi ya mtumishi ni kubwa kuliko Mfanyabishara mkwepa Kodi..
Serikali ikisema isimamiwe Sheria wote mtakuwa jela Kwa uhujumu uchumi,Sasa ni ajabu hata hiyo ndogonataka msilipe.
Sawa mtoto wa mwalimuHakuna mjomba wa kuwajengea Nchi,sio lazima Kila mtu afanye biashara,Kodi ya mtumishi ni kubwa kuliko Mfanyabishara mkwepa Kodi..
Serikali ikisema isimamiwe Sheria wote mtakuwa jela Kwa uhujumu uchumi,Sasa ni ajabu hata hiyo ndogonataka msilipe.
kila eneo la mpakani mwa nchi hii kuna TRA na wanakusanya kodiSio kila bidhaa inayouzwa inapitia bandarini, nyingine zinapitia mipakani ambapo Tanzania inazungukwa na nchi nyingi. Nyingine zinazalishwa ndani ya nchi
mwambie kuna watu bado hawajui maana ya mpakaniKwa Taarifa yako BANDARINI ni mpakani, kwa hiyo huduma zote za kikodi zinazotolewa na TRA mipakani zinatolewa pia Bandarini
Hii inatumika kama justification ya kuwasumbua wafanyabiashara K/Koo na sehemu zingine za biashara ktk nchi hii. But sababu kubwa ni kutaka rushwa tu, period!!!!!!!!!!!!Hiyo comment yangu ni jibu la comment nyingine. Na kuna kitu umekikwepa umechukua kipande chako wacha nikuulize hapa.
Muuza madawa yaliyotengenezwa Tanzania ambayo hayajapita bandarini na mipakani hastahili kulipa kodi? Ukikata kodi mpakani na bandarini analipaje yeye.
Ulishawahi vuka mipaka ukaona mianya ya kupita bila kukaguliwa. Kule Arusha, Kilimanjaro na Tanga kuna mamia ya kilomita za mpaka na Kenya ziko wazi watu wanavuka. Mpaka sio ile border post pekee. Sasa hawa watalipaje kodi mpakani.
Simaanishi nawapinga ila jenga hoja isiyo na mashaka msije onekana mnakwepa
Kwa mtazamo wangu Serikali inapata kodi ya kutosha lakini haina mpango madhubuti wa kusimamia vizuri matumizi. Kodi ya wafanyabiashara iwatengenezee mazingira mazuri ya biashara. Tuna nchi ambayo tunanunua magari ya gharama kuendana na wakati kwa ajili ya wakuu wa wilaya lakini bado hatuna miundo mbinu salama ya kukuza biashara. Mfano kuruhusu watu kuendelea kuagiza bidhaa nje badala ya kuwapa ruzuku kuruhusu uzalishaji wa ndani ni kitu kibaya sana. Pia nchi yetu mfanyabiashara anaonekana ni chanzo cha mapato, inabidi tuwekeze katika mazingira mazuri ya uwekezaji ili ajira nyingi zitengenezwe. Na cha kuongeza serikali itumie vizuri Kodi ili kila mtanzania ahamasike kulipa kodi. Kwangu mimi kuona kila Landcruiser mpya ikitoka serikali inanunua bado hamjanishawishi. Ninalipa kodi ninayoona serikali inastahili na si zaidi. Na kijijini kwetu maendeleo mengi tumefanya sisi wenyewe wanakijiji kwa kuchangishana. Kwa hio sijahamasika kabisa.Habari wakuu nipo mtaa wa mchikichi huku kariakoo maduka hayajafunguliwa hadi muda huu kuna nini kwani?
Ngoja niangalie na mitaa mingine.
UPDATES...
Muonekano wa maduka mbalimbali katika soko la Kariakoo hadi saa 8.23 asubuhi huku kufungwa kwa maduka hayo kukihusishwa na uwepo wa mgomo wa wafanyabiashara wa soko hilo kongwe na maarufu Afrika Mashariki.
Wafanyabiashara wa Kariakoo wanafanya mgomo wa kufunga maduka wakishinikiza kupungua kwa kodi wanazotozwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA).
WAFANYABIASHARA WAGOMA KUMFUATA WAZIRI MKUU DODOMA
Ni baada ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Amos Makala kuwataka kupeleka malalamiko yao kwa Kassim Majaliwa ambaye anatarajiwa kukutana na uongozi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Mawaziri husika na Kamati ya Wafanyabiashara ili kutafuta suluhu ya mgomo huo
Makalla amefika katika Soko Kuu la Kariakoo baada ya Wafanyabiashara kugoma kufungua biashara huku wakitoa malalamiko kadhaa ikiwemo madai ya uwepo wa utitiri wa kodi.
Wakizungumza baada ya Mkuu wa Mkoa kuondoka eneo la Kariakoo, wafanyabiashara wamesisitiza kuwa wanahitaji kuonana na Rais Samia Suluhu Hassan kwa ajili ya kutoa kero zao huku wakisisitiza kuendelea kufunga maduka yao
.............
Takwa la Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Amos Makalla la wafanyabiashara kumfuata Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa mjini Dodoma limepingwa.
Wafanyabiashara hao walioitisha mkutano mwingine baada ya Makalla kuondoka wamesema wanalipa kodi hivyo Waziri Mkuu Kama anataka kuonana nao awafuate kariakoo na sio wafanyabiashara kumfuata.
Azimio la wafanyabiashara hao endapo mfanyabiashara atakayefungua duka leo ni halali yao.
"Mwenyekiti usiogope tupo nyuma yako usiogope chochote," ameeleza mmoja wa wafanyabiashara hao aliyepanda jukwaani na kutoa muongozo alioudai ni wa kisayansi.
Bado mnanunua vocha za kukuna?
True kabisa, wanakadiria wanavyojisikiaKama umewahi kufanya biashara kipindi cha tech za efd , Vat and the likes kuna kipindi at your will unatamani kabisa ufunge biashara kwa hiyari. Ili upumzike na usumbufu wa Tra.
Halafu kariakoo kusimama kishughuli sio jambo dogo ati.
Ufanyikaji wa biashara stoo unaweza kusadifu kuwa biashara ni ngumu kiasi hicho?Kariakooo STOOO NDO CHANZO CHA UCHAFU na kukwepa Kodi...... Biashara zinazofanyika katika frem ni 5-30% tu
Kunatofauti kubwa kati ya mpakini na Bandari mkuu pale bandari kuna mamlaka nyingi sana kuna rushwa inatembea wanajua ukichelewa storeji inangezeka kilasiku boda tualipa pesa za Custom tuKwan mipakani ndio hazichajiwi kodi mkuu au ulitaka kusemaje sijakupata vema?!
Mtumishi yeyote wa Umma analipa Kodi kubwa kuliko nyie wakwepa Kodi..Mtumishi yupi unayemuongelea ambaye analipa kodi kubwa kuliko mfanyabiashara mkwepa kodi?
Wewe unalo lolote lipi? Acha janja janja lipa kodiWewe huna lolote Bye.