MGOMO: Wafanyabiashara Kariakoo kufunga biashara zao kuanzia 24/6/2024 mpaka changamoto zao zitakapotatuliwa'

Kuna wakati nilikuwa nanunua mizigo cash and carry na jumbo stores, ukija beitbridge unajaza fomu ya vat refund, na utapata, huku kwetu kariakoo anakatwa mzambia hana ririti ya vat ilhali tra hawana taratibu za kurudisha vat.
 
Sijapenda hilo angalizo hapo chini, hapo ndio utaelewa democrasia ilivyo ngumu awamu ya tano sijui kama hichi kitu kingewezekana yaani wote tulikuwa na adabu aisee hakukuwa na kutishiana tishiana kama hivi yaani mtu anaandika tu kutishia mtu.
 
wafanyabiashara wameshaanza kuchezesha ukiona ivi ujue tra wameshapita kudai chao

acheni janjajanja bana lipeni kodi kiuhalisia

juzi nmenunua kitu cha 330k cha ajabu jamaa anangangana kunipa risiti ya 250k[emoji15] sa huu si ufala?
 
Mkuu asante kwa mchango wako
 
Kuwa muislamu nimegundu ni UDHAIFU MKUBWA SANA AKILINI. WAISLAMU MIAKA YOTE DUNIA YOTE NI WALALAMISHI NA WANAPENDA KUONEWA HURUMA. KUJITUTUMUA.
 
Comments reserved
 
Serikali hii ina mambo ya kikwuma sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…