Hiyo project naifikiria sana nimeona fursa ipo kwenye kufungua kanisaKama akina Masanja wamefungua kanisa wewe unakwama wapi mkuu? Hadi kiboko ya wachawi anakuzidi ujanja? Fungua kanisa upige chekeli.
NAO NI BINADAMUKumbe kuna WASABATO WEZI ?
Ila walionaswa wachache Sana
Naskia Hadi watoto wa wachungaji walikuwepo Ila naona kama wamechomolewaaa wamebaki kondoo
Wasabato wana mambo mengi sana nyuma ya Pazia.Washitakiwa hao ni ofisa Tehema, Wilson Mapande (35) mhasibu, Winnie Owino (33) na mfanyabiashara, Nicolaus Owino (29).
Watatu hao wamefikishwa mahakamani hapo jana Septemba 25, 2024 na kusomewa mashitaka na Wakili wa Serikali Mkuu, Nassoro Katuga akishirikiana na Wakili wa Serikali, Aaron Titus.
HahahaaaHii nchi ngumu sana. Hata kule KKKT usione akina Malasusa wanapang'ang'ania. Sio bure. Wanatumia hadi ndumba kuingia madarakani ili tu wapige hela. Hakuna cha kutumikia Mungu wala nini Watu wanatumikia matumbo yao.
Malasusa pasta wa ccm?Hii nchi ngumu sana. Hata kule KKKT usione akina Malasusa wanapang'ang'ania. Sio bure. Wanatumia hadi ndumba kuingia madarakani ili tu wapige hela. Hakuna cha kutumikia Mungu wala nini Watu wanatumikia matumbo yao.
Hivi mashtaka ya wizi wa fedha za kanisa yanawahusu nini mawakili wa serikali? Au SDA inamilikiwa na serikali?
Na nani mkuu?Kanisa limeingiliwa
sema unaongozwa na roho ya chuki mkuu, ubaya uko wapi mbona watu wanajimegea keki ya taifa mdg mdgSafi kabisa, wengi wamekua wakiiba kwenye taasisi za dini na hatua hazichukuliwi wanasema wanamuachia Mungu tu, ndiyo maana watu wamekua hawana hofu
Hapa wasabato wamesaidia kukumbusha hata kwenye dini huko bado unaweza kushtakiwa ukifanya ubadhirifu sasa hao GEN Z wajiandae kuzitapika hizo mali za Bwana na wale wote walioshirikiana
Ha ha ha ha mkuu, hiyo siyo keki ya Taifa hiyo ni ya Mungusema unaongozwa na roho ya chuki mkuu, ubaya uko wapi mbona watu wanajimegea keki ya taifa mdg mdg
acha watu wale maisha hizo fedha hazikuwa za kujenga miundombinu
keki ya muumba imeliwa na watoto wake shida iko wapiHa ha ha ha mkuu, hiyo siyo keki ya Taifa hiyo ni ya Mungu
Shida wamechukua bila kuomba, badala yake wameziibakeki ya muumba imeliwa na watoto wake shida iko wapi