Pole sana mkuuDuh poleni sana wafiwa..kumbe huyu binti ni wa Mzee Towo.
Huyu mzee nimefahamiana naye,amewahi kuwa Boss wangu kwa kipindi fulani akiwa wizara ya Afya.
Yuko smart saana mkuu, very calm and composed. By then alikuwa msimamizi wa hiyo Idara ambayo ipo wizara ya Afya kwa Nchi nzima.Pole sana mkuu
Huyo mzee anaelekea yuko smart sana kichwani
Ova
Na atakuwa kaongea mambo mengi sanaNgoja polisi wafanye kazi Yao uzuri Martha aliongea kabla ya kuchomwa
Sent from my CPH2239 using JamiiForums mobile app
Mwanangu nataka uwe muhasibu [emoji1]Duuuh kumbe wahasibu wanapitia magumu hivi?? Tobaaaaaah
Ukiamua kosema thread soma yote acha kusoma nusu nusu na quoteDuuuh kwaiyo wanawake wenyewe ni maraika wa heli awaibi wala awadhulumu duuh kwel umewaza
Tupe story ni mtu wa namna ganiDah huyu mdada jirani yangu kbsa[emoji15]
Nimemfatilia wakati anaongea nkasema yes,mzee ni kifaaYuko smart saana mkuu, very calm and composed. By then alikuwa msimamizi wa hiyo Idara ambayo ipo wizara ya Afya kwa Nchi nzima.
Marehemu hasemwi mkuuTupe story ni mtu wa namna gani
Lisaidie jeshi la polisiMarehemu hasemwi mkuu
Mkuu achana na mimi mkuu[emoji16]Lisaidie jeshi la polisi
At that point lazima atakuwa ameongea vingi sanaaNa atakuwa kaongea mambo mengi sana
Ova
Ni hivi;Wanasema alikua church akaitwa nje
Don’t know how [emoji2368]
Sahihi.. hii ngoma lazima ni watu wenye mtonyo mrefu wameifanya. Tena kumix alibi wamefanya kwa kutegeshea ishu za kutambulisha mchumba ili kupoteza watu maboya.UNKNOWN SOURCES/SIJATHIBITISHA
Inasemekana alinayehisishwa na kifo chake ni Boss wake …
Aliaambiwa afoji check ya 1B isemekane imeandikwa kimakosa ili hiyo hela isionekane Bank .. Lakin Binti alikataa..
Boss alimsumbua akakosa amani akaomba ruhusa kuja Kibaha kuisalimia familia yake .. Lakin alikuwa akiwasiliana na Mchumba wake nakumpa taarifa hizo..
Alipokuja Kibaha alimshirikisha Baba yake Mzazi ambaye ni Doctor Mkuu Mwimbili Dar. Siku chache kurudi nyumban Boss wake alimpigia Baba yake huyo Binti kumtaka amwambie mwanaye aache kazi ndani ya masaa 24 . Baba ake akahoji kwakosa gani mwanangu alilolifanya?
Lakin siku ya pili alipigiwa simu na mmoja wa wafanyakazi wenzake Kahama kumjulisha wamekuja Dar kikazi wanapita kibaha wamsalimie… According to that .. Alipokea simu kwamba wamefika wakutane alipotoka ndyo hakurudi tena ..
Kupelekwa porini na kuchomwa moto na sindano za sumu .. Alijitahidi kujikongoja mpka eneo la makazi ya watu .. Nakuonba msaada apigiwe simu Baba ake .. Toka hapo alikata kauli na kukimbizwa Mwimbili.. na siku chache kuaga dunia..
Inasemekana Boss wake ameshakamatwa sheria itafata mkondo wake ..
Mungu ailaze roho ya marehemu Martha [emoji17].
Sent from my CPH2239 using JamiiForums mobile app
Ukuda ukiwa na maana gani?? Tolea ufafanuzi kidogoUkuda umemponza[emoji848][emoji24][emoji24]
Mkuu, umeshasema hapo kwamba "presumably"...that means inawezekana polisi walizungumza naye au hawakuzungumza naye. Lakini pia, zingatia kwamba ukiwa hai tena ICU haimaanishi kwamba ni lazima uweze kuzungumza, pengine alikuwa anapumua tu lakini hoi bin taaban.Huyu Martha Towa aliungua tarehe 3,March,akapelekwa hospitali. Amekufa tarehe 9. Kwa hiyo presumably alikuwa anazungumza na polish. And yet polisi wanasema hiki kifo ni utata mtupu.
Inaitwa psychic investigationKWA uzoefu hivi zile taarifa kupitia cctv za asili kuonyeshwa tukio zima la mauaji huwa ni za kweli kumpata muhusika.Nijuavyo majini wanaback storage history ya mtu yeyeto,KWA mujibu wa elimu ya falaki.
Hata Mashirika makubwa ya kijasusi utumia njia hii kunasa wahalifu wa tukio fulani.
Umewahi sikia hii.
Maana ulimwengu usioonekana upo more advance kuliko sisi.
Inaitwa psychic investigation