Mhasibu wa Benki atekwa, achomwa petroli porini

Mhasibu wa Benki atekwa, achomwa petroli porini

Wewe mbwiga Sukuma Gang siyo kabila ni wafuasi wa yule Mhutu mwovu aliyeko motoni. Usikurupuke.
acha kuendekeza ukabila , wenye kabila wanasoma na unajenga generation ya visasi baadae migogoro mingi huanza kweny utan kama hv sio wote wanamapokeo sawa , Kama upo timamu utaelewa kama ni kichaa hutoelewa , unamchukia Jpm usihusishe kabila lenye mikoa 5 na mazalia kwenye mikoa zaid ya 10 hapa tz , mimi sio msukuma wala sio mtu wa kanda ya ziwa ila mambo huanza huku mnapoanza nyiny wapo wanakerwa ila hawatak kuchangia ila unajenga nin mioyon mwao , sio kila msukuma ni fan wa Jpm , kama huna hoja ya kumkosoa mtu epuka kutumia kabila , usitupeleke walipotoka Kenya 2007 , Rwanda 1994 , Somalia 1990 , Liberia 1980 , Nigeria 1960s to 1990s , Uganda 1960s to 1986 KEMEA ELEMENT ZA UKABILA , Iwapo wasukuma wakiungana kama unavyodai kila uchaguzi watashinda sasa usiipelekee tz huko KEMEA UKABILA
 
Naye Mkurugenzi Mtendaji wa Bank of Africa (BOA), Adam Mihayo akizungumza na Mwananchi leo, amesema kwao bado ni msiba mkubwa, kwa sababu Martha alikuwa mfanyakazi wao kabla ya kuachishwa kazi mwezi mmoja uliopita.

My take: Ni dhahiri hakuwa mwadilifu
 
Hapo labda ni issue ya mapenzi(usaliti)

Au issue ya kazini(kajua dili za watu wakaamia kumnyamazisha)

Au anamahusiano na wauza ngada wakanyooka nae
 
KWA uzoefu hivi zile taarifa kupitia cctv za asili kuonyeshwa tukio zima la mauaji huwa ni za kweli kumpata muhusika.Nijuavyo majini wanaback storage history ya mtu yeyeto,KWA mujibu wa elimu ya falaki.
Hata Mashirika makubwa ya kijasusi utumia njia hii kunasa wahalifu wa tukio fulani.
Umewahi sikia hii.
Maana ulimwengu usioonekana upo more advance kuliko sisi.
Hiyo elimu ipo ila haiwezi kufanya kazi na viumbe walionajisiwa wakanajisika kwa uchafu wa kila aina.. Sometimes Mwenye hiyo elimu anaweza kuwa safi lakini vitendea kazi vikawa vichafu bado ni mulemule
 
Basi mambo yalianzia hapo,uchunguzi uanzie hapo kwa mchumba wa marehemu,
Unakuta dada wa watu yeye alipendwa tu aliyeachwa akaleta kizaa zaaa,kuna watu hawaachiki nyie angalieni watu wa kudate nao
Unakumbuka yule dada aliyechoma nyumba ya mpenzi wake kisa kamsaliti? Jamaa alikufa kifo kibaya sana
 
kuna ushaid wowote wa kuhusika kwake ? waafrika mnapenda udaku kuliko uhalisia , Panya road wanapiga tukio Kawe katikat ya kamb za jeshi na kituo cha polisi juu
Ndio ushahidi upo, alisema Ndugai awashughulikie bungeni Ili akiwafukuza waje kuropoka huku nje ata "deal" nao. That statement itself is worth an evidence.
 
Ni wapi na nani alithibitisha kama vifo vya watu hawa vinauhusiano na ugoni ikiwa polisi wenyewe hawajawakama watuhumiwa?
kwamba hao vijana waliopotea mpaka leo ni kwa sababu ya ugoni?
Viongozi wa dini na watu mbalimbali wanauawa kwa sababu ya ugoni?
Tusaidie ushahidi basi nasi tuondokane na hii sintofahamu.
Anza kwanza kushughulika na mauaji aliyoyafanya jiwe. Acha kumbwelambwela hapa.
 
Humu kila mtu anaongea lake, lakini huyo dada aliyekuwa mchumba wake ni rafiki yangu sana wamekuwepo kwenye mahusiano kwa miaka sita na mwaka huu ndiyo walikuwa wamepanga waoane.
Daaaah mi nahisi Kuna mtu kacheza mchezo....yaani Ile ya kutumia alibi sijui kwamba kajua akifanya tukio Hilo wakati WA kutambulishana uchumba...watu wata hamisha concern Yao..

Binafsi namjua Martha ....nimeumia mno
 
Back
Top Bottom