Mheshimiwa mmoja kijana kutoka Arusha apigiwa mke wake

Ila pale jamaa hajatosha ile pisi ina mambo mengi inamuhurumia tu mwamba
 
Kweli, plus konnection za washika dau huko top.

thubutu, Nick hapo atakuwa alikumbatia mzinga wa nyuki.

Sent from my itel W4001P using JamiiForums mobile app
 
Kwani hata ukioa kanisani hayo makaratasi yanakuzia usiache mke kama anazingua?!,mm kwangu hayo ni makaratasi tuu hayawezi kunifanya niache kufanya yangu
Process yake inausumbufu mwingi

Plus mpumbavu Mmoja atataka mgawane mali sawa kwa kosa lake la umalaya.


Kumbuka km huwezi kuwa selfish man basi modern dating is not for you..

Mapenzi ya sasa yanataka wanaume wabinafsi maana wanawake wasasa hawana huruma na shukrani hata kidogo.

Sasa ndoa ya kanisani Ina process ndefu Sana kuingia na kutoka.Ita cheza resources zako kwa upumbavu wa Mtu mwingine...be smart enough to avoid that..

Ishi nae kinyumba..hayo makaratasi yanawapa kiburi
 
Siendi tu

Simple

Ishi na mwanamke ila kihuni
 
Hivi ni kosa kumsifia mkeo?? Mbona naona kama imekuwa tatizo sana ukionekana unamsifia mkeo, watu huanza kumtakia mabaya, hii si sawa waungwana.
 
Yaani huyu ndo mwanamke Sasa anakuacha pazuri usitafute pa kuhemea

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Joan alikuwa hampendi Nick, ila alitafuta angle nzuri ya kummbwagaa, na kaipataa hajalaza damu mtoto kayeyukaaaa yeyuuuuu.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]rrr
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hata km ankoliii, wasio jua ndo hvyooo.
 
Sita ongea kitu aisee wasije wakaniingiza kwenye group pinzani😂😂😂
 
Nitumie pm ntakulipa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…