SPACE CADET
JF-Expert Member
- Dec 15, 2022
- 2,280
- 3,555
Eeeh ghaile eeem parakwingiPumbavu kabsa na ww hako kawimbo kanatoka me naimaliza masterz.
Sent from my itel W4001P using JamiiForums mobile app
Msogare alichapiwa kabla hajawa mkuluSina hulka ya kufurahia matatizo ya mwenzangu haijalishi tumekwazana vipi.
Jamaa kumpost na kumsifia mke wake watu walikuwa wanachukia sana, nickson Simon Nikki wa pili sio wa kwanza kuchapiwa alichapiwa mh wa msoga sembuse nikki!
Watanzania tukiacha hii hulka ya kufurahia matatizo ya wenzetu tutapiga hatua kimaendeleo
Kama yapi hayo mengine?Acha achapiwe, kikubwa asitiri-we tusije anza kuongea mengine humu.
Wee kumbe ndo ID yako hii pia? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Cheki hili nalo umenizidi miaka 3 ndo nikusalimie we cocacola pita huku [emoji117]
Coming soon...unaoaje mtu anajiita Cute Mena??
Kwanza demu wa kawaida sana hana ule uzuri wa sana kwa Nikki still anaweza kupata zaidi yake wala asiwaze.
Mazingira haya ni hatar demu alipopiga CPA kali zile Top big auditing firms zote zilikuwa zinamgombania na kule watu wanashika pesa ndefu na safari za kwenda majuu..sasa jamaa yule wa weusi trip zake kweny vumbi huko pwani wenzie mara anaenda UK ,Dubai wapi na wapi🤔
Tatizo la jamaa yetu demu wa kawaida sana hana hata mzuka ila anaexaggerate sana kumsifia wengi walimkanya sana ..Mara aimbe sweet Mangi ndo hapo .
Acha ujuaji...[emoji38]We yule dem Ushawahi kukutana nae karibu. Hakuna pis kali pale... Wa kawaida mnooooo alaf kafupi tu. Wewe nenda changyikeni kule udsm niki wa pili anaishi kule.. Kale kadem ni kanapenda siksi paki tu. Mm kashawhi kunipa lifti Mara kadhaa hadi udsm. Ukitaka namba zake njoo inbox
KATAA NDOA
Nimekwambia wewe ni mshamba, laasivyo usingekuwa unapapatika kuita Joan mkali na kudhania hakuna wanaomfika na kumpita.Kama sio rijali ndo unaweza kumuona Joan wa kawaida.
Hakuna hujakutana na visu, mboni wa kawaida tu...Yule demu sio wa kawaida jombaa , ukweli ni kuwa manzi ni kisu , lakini Kama walivyosema Wana , kumpenda Sana manzi ni ufala
Its too late fanya mengine tu hii campaign huwezi tena kuizuia. ImeshajichimbiaItakuwa imerushwa na watu wa kataa ndoa. Hawa jamaa wana kampeni Kali. Msiwachukulie kispoti spoti nasikia pia wana mikwanja ya kampeni. Waundiwe jeshi maalum la kuwakabiri b4 its too late
KATAA NDOA KWA HERUFI KUBWAKATAA NDOA
NDOA NI WIZI
KATAA NDOA
NDOA NI UTAPELI
KATAA NDOA
NDOA NI USANII
LINDA AFYA YAKO YA AKILI KATAA NDOA
#->>Mnaona yale yale, hii kitu haifai kwa nyakati hizi hamsikii Mnaona sasa?Asitiriwe, Wazee wa kataa ndoa watakuja kwa kasi hapa.
We yule dem Ushawahi kukutana nae karibu. Hakuna pis kali pale... Wa kawaida mnooooo alaf kafupi tu. Wewe nenda changyikeni kule udsm niki wa pili anaishi kule.. Kale kadem ni kanapenda siksi paki tu. Mm kashawhi kunipa lifti Mara kadhaa hadi udsm. Ukitaka namba zake njoo inbox
Nina id moja yenye majina 6Wee kumbe ndo ID yako hii pia? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Usalimie wakubwaa
Washaona na bado wanaendelea kuona Ila KENGe hua hasikiii mpaka masikio yavuje damu,#->>Mnaona yale yale, hii kitu haifai kwa nyakati hizi hamsikii Mnaona sasa?
Dr siku 300, 60 na 5 na roboDemu ni Msukuma
Sawa na yule mheshimiwa...
Dah!
Ukiona manyoya jua ushaliwa mkuuu [emoji81][emoji81][emoji81]Itakuwa imerushwa na watu wa kataa ndoa. Hawa jamaa wana kampeni Kali. Msiwachukulie kispoti spoti nasikia pia wana mikwanja ya kampeni. Waundiwe jeshi maalum la kuwakabiri b4 its too late
Mimi namuona wa kawaida sababu nishachapa mkali zaidi yake.. kwa wasiowahi ndio wanaona hivyoMkuu kuna watu sijui wanaishi wapi, watu wanahangaika na picha zilizochezewa kupendezeshwa.
Yule mwanamke ni wa kawaida tu, hana huo uzuri wa kuabudiwa kama jinsi baadhi ya member wanapapatika hapa.
Mfano mdogo tu, ilinganishe hiyo pisi na ile iliyokuwa video vixen kwenye YATAPITA ya Diamond Paltinumz, ambayo hata nayo hatuwezi kusema ni pisi kali kuliko😄.