Mheshimiwa mmoja kijana kutoka Arusha apigiwa mke wake

Msogare alichapiwa kabla hajawa mkulu
 
Yule demu sio wa kawaida jombaa , ukweli ni kuwa manzi ni kisu , lakini Kama walivyosema Wana , kumpenda Sana manzi ni ufala
 
Acha ujuaji...[emoji38]
 
Kama sio rijali ndo unaweza kumuona Joan wa kawaida.
Nimekwambia wewe ni mshamba, laasivyo usingekuwa unapapatika kuita Joan mkali na kudhania hakuna wanaomfika na kumpita.

Tembea uone, kuna wanawake wazuri zaidi ya huyo joan, sema ndohivyo huwezi kuwapata hata ukitaka kwahiyo ni lazima upapatike tu.
 
Yule demu sio wa kawaida jombaa , ukweli ni kuwa manzi ni kisu , lakini Kama walivyosema Wana , kumpenda Sana manzi ni ufala
Hakuna hujakutana na visu, mboni wa kawaida tu...

Hivi ukionyeshwa kisu utaweza hata kupumua wewe kweli hata kukojoa tu utashindwa, msimpambe sana angekua kisu asingetembeza papa ovyo kila mtu anajichapia
 


Mkuu kuna watu sijui wanaishi wapi, watu wanahangaika na picha zilizochezewa kupendezeshwa.

Yule mwanamke ni wa kawaida tu, hana huo uzuri wa kuabudiwa kama jinsi baadhi ya member wanapapatika hapa.

Mfano mdogo tu, ilinganishe hiyo pisi na ile iliyokuwa video vixen kwenye YATAPITA ya Diamond Paltinumz, ambayo hata nayo hatuwezi kusema ni pisi kali kuliko😄.
 
Mimi namuona wa kawaida sababu nishachapa mkali zaidi yake.. kwa wasiowahi ndio wanaona hivyo

KATAA NDOA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…