Mlamba asali
JF-Expert Member
- Dec 11, 2022
- 1,152
- 2,270
Wahuni sio watu wazuri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si aliamua kuyaweka hadharani,sisi tunayasitirije?Asitiriwe, Wazee wa kataa ndoa watakuja kwa kasi hapa.
Ananiona pekee ndiye ana mke mzuri?Wanasema muheshimiwa ana vimba sana
...cha msingi demu usimuoneshe upendo kama demu ni msukuma...
Duuh! Mzee kama ulikuwa unasubiri kwa hamu agongewe😄😄Kuanza kuishi bila ndoa hiyo ni moja ya sababu watu kuachana. Nikki haendani kabisa na ile Tandam.... cha muhimu kashaitafuna kwa miaka kadhaa awaachie wengine sasa.. muda wake ushapita. Demu mkali halafu kipanga wa hatari kwenye uhasibu... kwa vyovyote vile ilikuwa lazima Nikki aachwe.
Ushu sio kuchapiwa. Demu baada ya kumaliza madomo na kufaulu vizuri kambwaga mhe.
Wasukuma hoyeeee!!Demu ni Msukuma
Sawa na yule mheshimiwa...
Dah!
Hapana mkuu. Ni jambo lililokuwa wazi sema ndo tulikuwa hatujui siku wala saa atakapokuja yule mgongaji wa ile Tandam... Joan ni kitu kikali mno.Duuh! Mzee kama ulikuwa unasubiri kwa hamu agongewe😄😄
Wanaume hawapendani.Mjini kuna mambo san. Sema hii ya mwanaume kufurahia mwanaume mwenzio kuchapiwa haijakaa poa.