mimiamadiwenani
JF-Expert Member
- Mar 9, 2022
- 5,718
- 7,784
Acha us3nge basi na wewe.! .......... lakoHuwezi kushindana na mtu aliyeongea na nyoka mkuuuu live bila chenga
Huwezi kushindana na mtu aliyecost human race saivi wanaume tunakula kwa jasho wao wanazaa kwa uchungu kisa mtu mmoja tu hawa
Huwezi kushindana na mtu aliyemwangusha mfalme suleiman na akili zake na power zote alizokuwa nazo
Huwezi shindana na mtu ambaye hata mwenyezi MUNGU mwenye kasema ishini nao kwa akili
#kaa chonjo#
#kata ndoa#
#kata mahusiano#
Tafuta pesa usaidie yatima na wasiojiweza
Sasa siyo wote[emoji38] ni minority ndiyo wanapelekeshwa.Mnavyopelekeshwa na vitu vidogo initia ukakasi.
Eti nani akatae ndoa, LiverPool ni mtoto wa form 4 siyo? Wapo wengi mno humu vijana kwa watu wazima wanaoi run kampeni hii. Na imeshajichimbia. Pole bhana.Mnajifurahisha tu humu.
Nani akatae ndoa ww
Hiki ni kikundi Cha watoto tu wa form 4 wameamua kuja kuji promo na kislogan Chao.
Sent from my itel W4001P using JamiiForums mobile app
Demu ni Msukuma
Sawa na yule mheshimiwa...
Dah!
Alimafanyeje mwanaUnaambiwa Kabudi kitu alichomfanyia iyo pisi Paris ufaransa. Kabudi nimnyanyulia mikono. Sasa iyo ndo kuacha legasi
Wambea wanahoji kwanin afute na picha za mtt Instagram
Alivyokuwa akimpost sasa aiiiiiiiiiiiiii nacheka kama mazuri. Mimi nilijuwa hawafiki popote. Ati kisa mke ana shape basi anatupuruvia[emoji28] na alivyo mrefu sasa, Mungu mdomo koma.
Namsubiri zama kwa hamu siku wadada wakiingia mzigoni atatueleza vizuri kama kweli ile range alinunua mme. Huwezi mtundika mme kwenye mbao za matangazo posta ukabaki salama.
Masanja sasa hivi kapoa tunapumua.
Hao hao. Kwani wanaume wote wa JF wanalia? Humu kuna watu wengi mno.Labda wanaume wengine sio hawa wanaolialia hapa jf kila siku.
Watu wamevuta wamevua chupi wakapitisha dudu Ila Nikki katia Chata kabisa mtoto anaitwa Zuri...
Wanawake wapo kwa ajili ya kuwazalisha tu sio kuwaoa
KATAA NDOA
Hii Ni kweli demu wa kizungu unagonga halafu kesho hamjuani. Wanapenda mno ngono Mana Waume zao wanawaza kuitawala dunia na kuhamia mars na kuchukua raslimali zote za afrika na Arabs so hamu ya ngono hawana kabisa.We pimbi kweli. Eti linajisifia kabisa. Bahati yako, uliwakuta malofa.
Ungejaribu kujipenyeza kwa wake za mamafia uone ambavyo ungetolewa hicho choo laini.
Demi wangu.Kwamba mnadhani mwanaume anavyochepuka ni kitu kidogo. Mtazoea kama tulivyozoea...
Malipo ni hapa hapa duniani kabla hatujafa.
Hata hao wakubwa watamkula na kumuacha, mwishowe anaishia kumkumbuka mume wake. Top CEO TZ wanawake zao wa kawaida sanaNina uhakika kabisa hata Niki mwenyewe anafahamu hiyo pisin alikuwa hawezani nayo. Cute with it ntelligent brain.
ID yake ingine iko wapWee kumbe ndo ID yako hii pia? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Usalimie wakubwaa
Kwakweli c angetulia tu jamaniHata hao wakubwa watamkula na kumuacha, mwishowe anaishia kumkumbuka mume wake. Top CEO TZ wanawake zao wa kawaida sana
Hawezi pata asilani.Kwakweli c angetulia tu jamani
Sidhani ka atapsta amani ya moyo
Unapomsifia mtu haina maana kuwa unafanya comparison, ila unatoa credit pale unapoona panastahili. Uzuri wa Joan hauondoi wala kupunguza uzuri wa wengine, BTW uzuri uko machoni kwa mtu. Ila wengi wakikiri kuwa ni mzuri basi ni kweli na haiwafanyi wao kuwa washamba au hawana exposure.Nimekwambia wewe ni mshamba, laasivyo usingekuwa unapapatika kuita Joan mkali na kudhania hakuna wanaomfika na kumpita.
Tembea uone, kuna wanawake wazuri zaidi ya huyo joan, sema ndohivyo huwezi kuwapata hata ukitaka kwahiyo ni lazima upapatike tu.
Wa kawaida sana yaani,yaani kawaida sana kweny darasa langu la o-level yule hata Top Ten kwa mademu nikiwakumbuka haingii ..halafu Yale mashape sio Yale mazuri la kawaida sana halina mzukaYule demu sio wa kawaida jombaa , ukweli ni kuwa manzi ni kisu , lakini Kama walivyosema Wana , kumpenda Sana manzi ni ufala
alikuwa topper na mazawadi kibao plus ile sherehe inashuhudiwa na watu wengi .Sweet mangi ilitoka nipo form 1 sijui ile kila mtaa lazima uisikie na isitoshe
CPA wamepiga wengi mbona mkuuu
Mapenzi ni Siri mkuu..Kusifia ni tatizo kwani maadui ni wengiHivi ni kosa kumsifia mkeo?? Mbona naona kama imekuwa tatizo sana ukionekana unamsifia mkeo, watu huanza kumtakia mabaya, hii si sawa waungwana.