Mheshimiwa mmoja kijana kutoka Arusha apigiwa mke wake

Kama unaamini huyo demu ni mkali hivyo basi wewe ni mshamba wa washamba
 
Ukifanikiwa sana na ukawa na pesa za mchezo zunguka vituo vya Yatima toa msaada, zungukia wakina mama wenye vibiashara vidogo wabusti bust mtaani maliza na vijana walio serious na vibiashara vidogo kama karanga na mayai wabust nao.

Bila kujisahau wewe pia kujipa muda wa kuzurula duniani kadri ya uwezo wako. Na kupata fursa ya kujifunza vitu mbali mbali
 
Si ilikuwa mwaka jana mwanzoni?au kapigiwa tena..ndio maana kagoma kumuoa..hahahahh
 
Mpaka hapa bado hatuelewani tu!!???
Utakuta muda huu kuna mjinga mmoja anaendesha vikao vya harusi eti anataka kuoa! Binafsi sichangiagi harusi yoyote.
Ndoa ni STRESS, ndoa ni UTAPELI, ndoa ni UTUMWAU.
#KATAANDOA
 
Oukeeee vizuri tulishapata nani atuletea ubuyu mjini huyu mzazi mwenza na sheby siku asipeleke matumizi kila kitu kitajulikana [emoji1787]
Kumbe ndo maana valentine hii imepoa nilijua atamtundika sayari ya mars loh
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kachoka kujishoboa kwa shebby, na akati shebby hana hata mstuko. Lol
 
😅Unammanya kester emeneyer? Jamaa ana goma linaitwa zinzi wimbo naukubali hatari,alikuwa ana upenda mama yangu kipenzi (rip),kila nikiusikia namkumbuka maza,ukizingatia aliondoka nikiwa mdogo, primary skul.
 
Lakini kwanza anza kwa ndugu wa karibu na ndugu wa mbali. Baada ya hapo marafiki na wanaokuzunguka. Charity begins et home.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…