Mtili wandu
JF-Expert Member
- Dec 15, 2012
- 8,257
- 11,499
Unafikiri atafanyaje wakati jamii kaiaminisha kuwa yupo vizuri ndani. Anku miye sina taimu ya kujionyesha yakitokea najisogeza km kinyonga vile.Kama masanja alivyopigwa tukio. Inaumaa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unafikiri atafanyaje wakati jamii kaiaminisha kuwa yupo vizuri ndani. Anku miye sina taimu ya kujionyesha yakitokea najisogeza km kinyonga vile.Kama masanja alivyopigwa tukio. Inaumaa.
Zaidi ya 50% wanalia. Wewe chunguzaHao hao. Kwani wanaume wote wa JF wanalia? Humu kuna watu wengi mno.
Kama unaamini huyo demu ni mkali hivyo basi wewe ni mshamba wa washambaHata Nikki mwenyewe alikuwa haamini kama yeye ndo mmiliki wa ile kitu.. yale maruweruwe yakamfanya awe anapost ku-prove yeye ndo mmiliki.
Hata wewe ndugu imagine toto kama Joan limekubali ulivue nguo zote ikiwemo chupi kisha uanze kuchakata mbususu na kikubwa zaidi ruksa kumwagia ndani..[emoji39] lazima udate
Cha muhimu Nikki aelewe kuwa Joan ni ndoto ya marijali wengi kummiliki.
Ay anazeeka bana ...Kwani achekecheke kwani huyo shogaAY ajaachana kaachwa. Siku hizi jamaa hata sura yake haina furaha huzuni. Mcheki.View attachment 2522891
Ukifanikiwa sana na ukawa na pesa za mchezo zunguka vituo vya Yatima toa msaada, zungukia wakina mama wenye vibiashara vidogo wabusti bust mtaani maliza na vijana walio serious na vibiashara vidogo kama karanga na mayai wabust nao.Kwakusoma comments zote mpaka hapa, itoshe kusema binadamu hatupendani. Sitawashangaa tena wanaopinga ndoa, sitawashangaa tena wanaosema msihurumie mwanamke. Wanaume tunaosema tunapendana, wanamcheka mwamba[emoji23][emoji23] na kufurahia yamemtokea, dah! Wanawake wanaosimama kila siku wakitetea ndoa humu na kusema usipooa utaolewa wanamsimanga na kufurahia anguko la jamaa ambayo ni ndoa iliyokuwa inakuja kujengeka. Kisa tu jamaa alimwonyesha mchumba wake nakuonyesha kuwa anamthamini, Aisee[emoji23][emoji23][emoji23]! Kumbe. Kampeni za kukataa ndoa zinapigwa vita humu kichizi, kumbe watu wenyewe ndio hawa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Yatosha kusema wema huponza na wanawake hawaaminiki kamwe, sikutegemea uzi uende kwa comments za kumsimanga jamaa hivi, duh! Basi aisee, jamaa pigeni kampeni tu! Yaani hadi wanawake wenyewe[emoji23][emoji23][emoji23], na mwanaume anayejua huo uchungu[emoji23][emoji23][emoji23].
Si ilikuwa mwaka jana mwanzoni?au kapigiwa tena..ndio maana kagoma kumuoa..hahahahhWazee mtajiongeza wenyewe kuna hot cake moja nimerushiwa hapa ya mkewa mheshimiwa kijana yule wa Arusha anayependa kumpost sana mke wake amepigiwa mke wake aisee kwa ninavyomjua yule mheshimiwa atazimia muda si mrefu
Hawa mademu ukiwapenda ni shida usipowapenda ni shida yaani cha msingi demu usimuoneshe upendo kama demu ni msukuma sawa na yule mheshimiwa crew yao si ilikuwa na bifu na washikaji wa kiwalani si unamkumbuka akina Zaid? Kwahiyo mheshimwa hali tete huko aliko kazi kwenu.
Mpaka hapa bado hatuelewani tu!!???Wazee mtajiongeza wenyewe kuna hot cake moja nimerushiwa hapa ya mkewa mheshimiwa kijana yule wa Arusha anayependa kumpost sana mke wake amepigiwa mke wake aisee kwa ninavyomjua yule mheshimiwa atazimia muda si mrefu
Hawa mademu ukiwapenda ni shida usipowapenda ni shida yaani cha msingi demu usimuoneshe upendo kama demu ni msukuma sawa na yule mheshimiwa crew yao si ilikuwa na bifu na washikaji wa kiwalani si unamkumbuka akina Zaid? Kwahiyo mheshimwa hali tete huko aliko kazi kwenu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbavu zangu mie, aeleze sasa bikra ya wapi??Ni burudani tu. mchungaji anasema mke wake alikuwa bikra[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kachoka kujishoboa kwa shebby, na akati shebby hana hata mstuko. LolOukeeee vizuri tulishapata nani atuletea ubuyu mjini huyu mzazi mwenza na sheby siku asipeleke matumizi kila kitu kitajulikana [emoji1787]
Kumbe ndo maana valentine hii imepoa nilijua atamtundika sayari ya mars loh
😅Unammanya kester emeneyer? Jamaa ana goma linaitwa zinzi wimbo naukubali hatari,alikuwa ana upenda mama yangu kipenzi (rip),kila nikiusikia namkumbuka maza,ukizingatia aliondoka nikiwa mdogo, primary skul.Kuna stori ya marehemu King Kester Emeneya kila akioa watu wake wa karibu wanajigongea. Wake zote watatu wakachepuka na maswahiba zake.. katika Hits zake alizowahi kutoa zingine zilikuwa ni kwa kuwasema marafiki zake waachane na wakeze.
Kwenye utetezi wao wale marafiki wakadai KOSA LA EMENEYA NI KUOA MADEMU WAKALI kwahiyo wao hawakuwa na namna ya kutochakata mbususu zao.
Huyu pilipili inabidi kuombewa, unaoaje mtu anajiita Cute Mena?
Kama anampost mkewe badala ya kumsitiri ndo amealika haya yote.Ni mambo binafsi, msitirini mwenzenu
Lakini kwanza anza kwa ndugu wa karibu na ndugu wa mbali. Baada ya hapo marafiki na wanaokuzunguka. Charity begins et home.Ukifanikiwa sana na ukawa na pesa za mchezo zunguka vituo vya Yatima toa msaada, zungukia wakina mama wenye vibiashara vidogo wabusti bust mtaani maliza na vijana walio serious na vibiashara vidogo kama karanga na mayai wabust nao.
Bila kujisahau wewe pia kujipa muda wa kuzurula duniani kadri ya uwezo wako. Na kupata fursa ya kujifunza vitu mbali mbali
Hakuna picha yake???
[emoji38][emoji38][emoji38]Wewe mwenyewe wa chooni. Hujielewi wala hujiwezi
Mfyuuu
Aiseeee! Kazuri!