Huyo Joan wa Nikki wa Pili siyo msukuma, nashangaa watu humu wanasema ni msukuma wakati siyo kweli, Huyo demu ni Mchaga-Queen
-Kajala
-Rushyna
Sukuma stars wanazidi kuendeleza libeneke.
Aisee ulipotelea wapi?Habari za hivi zinawafariji sana wabongo wenye hali ngumu kimaisha 🤣
Kumbe ni dada yanguHuyo Joan wa Nikki wa Pili siyo msukuma, nashangaa watu humu wanasema ni msukuma wakati siyo kweli, Huyo demu ni Mchaga
Nipo ubize tuAisee ulipotelea wapi?
Hata ingekuwa ni mimi ningemla tu. Haina upambe. 🤣🤣🤣Mara nyingine tena??
Huyo Joan wa Nikki wa Pili siyo msukuma, nashangaa watu humu wanasema ni msukuma wakati siyo kweli, Huyo demu ni Mchaga
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Mi nashangaa eti watu wanaogopa sheria iliowekwa na binadamu mwenzao. Eti msitengane hadi kifo kikiwatenganisha. Mtu akileta umama anaachwa tu kiroho safiKwani hata ukioa kanisani hayo makaratasi yanakuzia usiache mke kama anazingua?!,mm kwangu hayo ni makaratasi tuu hayawezi kunifanya niache kufanya yangu
Hapo ndiyo mnapokosea wakina mama so mwanaume akicheat na wewe unalipiza kwa kweli ni tabuu sana mura ,Hamna hata Cha ajabu Nikki mwenyewe anamcheat mama Zuri mbona!
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Hauna hela nini .....Wangapi mmeiona hiyo Video?
Kwa hiyo Zamaradi ana tabia nzuri, kweli dunia imeishaSio hana bahati she isn't cute at all. Demu kama Zama unakuwa nae sababu tu ana tabia nzuri ila kwa mvuto hana na vile kashazaa zaa hata ile kusema unainjoy K ni uwongo. Ni kumuonea huruma asiumie tu ila huwezi fake for long utatafuta ka cute bebi girl ili ufurahie active sex.
Zama ni mwanamke mwenye adabu but anaboa mapema na hakupi mwashawasha wa mapenzi kabisa. Atajitahidi ila unakuta tu hisia zinakuwa mbali sababu hakupi excitement kwa bed.
Mji huu ukiwa na jala ndio dah its really hard. Unakuwa na demu kama yule alee watoto tu ila for fun sex you gotta catch somebody else.
Mkuu sijaiona na Hela Sina.[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Hauna hela nini .....
Inauzwa mzee tugawane risk kidogo maana nikidakwa na tcra utakua umenikacha[emoji1787]Mkuu sijaiona na Hela Sina.
Mnaiuza???
Hawa ndio Watanzania. Likikutokea jambo baya wanafurahia, ikiwa ni jambo la mafanikio wananuna.Si busara wala ubinadamu kufurahia machungu ya mwanadamu mwenzako kwa namna yoyote Ile....
Mabaya yanawakuta watu na kuwa sisi ni watu kama walivyo wao basi na sisi pia tunaweza kukutwa na hayo mabaya.......
Si vyema kufurahia mateso ya mtu kwani hata sisi yanaweza kutukuta......
Tujifunze kufarijiana na kuoneana huruma........
Usaliti usione mbaya kwa kufanyiwa bali hata kwa kuufanya kwa mwenzio.....
Embu subiri kwanza, anayakata mauno?Inauzwa mzee tugawane risk kidogo maana nikidakwa na tcra utakua umenikacha[emoji1787]
really, kunakuwaga na kawivu fulani baina yetu... me mwenyewe fans wangu wengi ni ladies though hufanya content nzuri za kuvutia jinsia zote hadi mimi mwenyewe but still boys huwa hawaoneshi reactions zozote ila ladies huonesha.Wanaume hawapendani.
Hata ukichukua utapunguza nini? Hubadilishi chochote mzeeMjini kuna mambo san. Sema hii ya mwanaume kufurahia mwanaume mwenzio kuchapiwa haijakaa poa.
Unamjua wewe mi nimemtafsiri navyomuona tuKwa hiyo Zamaradi ana tabia nzuri, kweli dunia imeisha
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]sio ugumu tu wa kimaisha wengi wao wana matatizo yanayofanana na mlengwaHabari za hivi zinawafariji sana wabongo wenye hali ngumu kimaisha [emoji1787]