Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Habari za hivi zinawafariji sana wabongo wenye hali ngumu kimaisha 🤣Hivi kwanini wabongo mnapenda sana habari mbaya mbaya za watu!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Habari za hivi zinawafariji sana wabongo wenye hali ngumu kimaisha 🤣Hivi kwanini wabongo mnapenda sana habari mbaya mbaya za watu!!!
Salio kwenye bank ndiyo zitakufanya usife? Rockefeller amekufa watoto wake wana enjoy maishaUtadhani zinaongeza salio kwa bank account zao.....ndio binadamu lakini #ignore
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Hahahahah kuchapiwa kunaleta displini kinamna flani. Huwezi kumpost mke kama matangazo ya bidhaa.Alivyokuwa akimpost sasa aiiiiiiiiiiiiii nacheka kama mazuri. Mimi nilijuwa hawafiki popote. Ati kisa mke ana shape basi anatupuruvia😅 na alivyo mrefu sasa, Mungu mdomo koma.
Namsubiri zama kwa hamu siku wadada wakiingia mzigoni atatueleza vizuri kama kweli ile range alinunua mme. Huwezi mtundika mme kwenye mbao za matangazo posta ukabaki salama.
Masanja sasa hivi kapoa tunapumua.
Sio wa mchezo mchezo🤣🤣🤣-Queen
-Kajala
-Rushyna
Sukuma stars wanazidi kuendeleza libeneke.
Anzisha yako nayo itembee,Nyuzi inatembea utafikiri kuna ushahidi kumbe "nasikia nasikia" nyingi. Bahati mbaya washangiliaji wengi wa haya usikute walishachapiwa kitambo watu wakafuta mdomo!
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Try kuwabadilisha hiyo mindset sio kuwalaumu tuThe current problems of youth is not relationship, it's all about their mindsets.
Sio hana bahati she isn't cute at all. Demu kama Zama unakuwa nae sababu tu ana tabia nzuri ila kwa mvuto hana na vile kashazaa zaa hata ile kusema unainjoy K ni uwongo. Ni kumuonea huruma asiumie tu ila huwezi fake for long utatafuta ka cute bebi girl ili ufurahie active sex.Zama Hana bahati ya mapenzi ila ana mapenzi ya kweli mnooo. Shabani nadhani ana mtoto Kwa demu mwingine kama ntakua siku Ile nliskia vzr Kwa wale wambea, so whatever anafanya ni Ile 'acha nijishebedue mke mwenzangu anijue', na yule Mpana sana whatever they are showing us in public is not reality huko kwenye Kuta nne kunafuka Moshi.
Hata Ruge Zama alimpenda mnoo bahati mbaya tu jasiri naye alikua kit...mb....mnooo.
Ila Kwa kutulia ametulia mnoo yule dada na akipenda anapenda mnoo na mvumilivu na sidhani km ataondoka Kwa Sheby
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
You nailed itSio hana bahati she isn't cute at all. Demu kama Zama unakuwa nae sababu tu ana tabia nzuri ila kwa mvuto hana na vile kashazaa zaa hata ile kusema unainjoy K ni uwongo.
Ni mwanamke mwenye adabu but anaboa mapema na hakupi mwashawasha wa mapenzi kabisa. Anajitahidi ila unakuta tu hisia zinakuwa mbali sababu kuna watoto wakali sana mjini. Ukiwa na jala ndio dah its really hard. Unakuwa na demu kama yule alee watoto tu ila for fun sex you gotta catch somebody else.
🤣 We unajua huyo but niko sure huna hakika 100%... Mimi sijawahi jua na nina hakika majority ya watu hawajui kabisa.Si Meena au??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mungu hakupi vyoteee.Sio hana bahati she isn't cute at all. Demu kama Zama unakuwa nae sababu tu ana tabia nzuri ila kwa mvuto hana na vile kashazaa zaa hata ile kusema unainjoy K ni uwongo. Ni kumuonea huruma asiumie tu ila huwezi fake for long utatafuta ka cute bebi girl ili ufurahie active sex.
Zama ni mwanamke mwenye adabu but anaboa mapema na hakupi mwashawasha wa mapenzi kabisa. Atajitahidi ila unakuta tu hisia zinakuwa mbali sababu hakupi excitement kwa bed.
Mji huu ukiwa na jala ndio dah its really hard. Unakuwa na demu kama yule alee watoto tu ila for fun sex you gotta catch somebody else.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kweli bhana hakuna anayejua.[emoji1787] We unajua huyo but niko sure huna hakika 100%... Mimi sijawahi jua na nina hakika majority ya watu hawajui kabisa.
Wahuni naombeni copy nilikuwa jela mwenzenuVideo ishasambaa unaizuiaje utaikuta Telegram, WhatsApp na XVideo
Nani amelaumiwa ?Try kuwabadilisha hiyo mindset sio kuwalaumu tu
VijanaNani amelaumiwa ?
Wengi wanabaki kuhisi hisi tu, na mambo yakiwa magumu utaitwa upinde.[emoji1787] We unajua huyo but niko sure huna hakika 100%... Mimi sijawahi jua na nina hakika majority ya watu hawajui kabisa.
Nirushie link mwanangu.Mzee mwanamke Malaya ni Malaya tu na Malaya wengi siku hizi ni hao feminist ngoja niingie telegram nikaone anavyopapatuliwa,
Toto la kisukuma hilo, shida ya dada zangu nao wanapenda mchezo wa kukazana sana yani 🤣🤣🤣
Watanzania wengi ni wachawi ni vile tuu mizimu haijawaingia kuanza shika tunguliHii tabia ya watanzania kufurahia matatizo ya wenzenu sijui huwa itaisha lini, we unaongea kwa furaha kabisa . Vaa viatu vyake je ingekua ni wewe, au ndugu yako ungejiskiaje? Huu n zaidi ya uchawi , haya mambo hayanaga mwenyewe omba yasikukute . Tena nyie mnaoshangilia ndo mna roho ndogo mnaweza hata kuua au kujitoa uhai.
MWENZIO AKINYOLEWA ZAKO TIA MAJI , TIME WILL TELL
CC Evelyn SaltToto la kisukuma hilo, shida ya dada zangu nao wanapenda mchezo wa kukazana sana yani 🤣🤣🤣