Mheshimiwa mmoja kijana kutoka Arusha apigiwa mke wake

Mheshimiwa mmoja kijana kutoka Arusha apigiwa mke wake

Alivyokuwa akimpost sasa aiiiiiiiiiiiiii nacheka kama mazuri. Mimi nilijuwa hawafiki popote. Ati kisa mke ana shape basi anatupuruvia😅 na alivyo mrefu sasa, Mungu mdomo koma.

Namsubiri zama kwa hamu siku wadada wakiingia mzigoni atatueleza vizuri kama kweli ile range alinunua mme. Huwezi mtundika mme kwenye mbao za matangazo posta ukabaki salama.

Masanja sasa hivi kapoa tunapumua.
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Hahahahah kuchapiwa kunaleta displini kinamna flani. Huwezi kumpost mke kama matangazo ya bidhaa.
 
Zama Hana bahati ya mapenzi ila ana mapenzi ya kweli mnooo. Shabani nadhani ana mtoto Kwa demu mwingine kama ntakua siku Ile nliskia vzr Kwa wale wambea, so whatever anafanya ni Ile 'acha nijishebedue mke mwenzangu anijue', na yule Mpana sana whatever they are showing us in public is not reality huko kwenye Kuta nne kunafuka Moshi.

Hata Ruge Zama alimpenda mnoo bahati mbaya tu jasiri naye alikua kit...mb....mnooo.

Ila Kwa kutulia ametulia mnoo yule dada na akipenda anapenda mnoo na mvumilivu na sidhani km ataondoka Kwa Sheby

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Sio hana bahati she isn't cute at all. Demu kama Zama unakuwa nae sababu tu ana tabia nzuri ila kwa mvuto hana na vile kashazaa zaa hata ile kusema unainjoy K ni uwongo. Ni kumuonea huruma asiumie tu ila huwezi fake for long utatafuta ka cute bebi girl ili ufurahie active sex.

Zama ni mwanamke mwenye adabu but anaboa mapema na hakupi mwashawasha wa mapenzi kabisa. Atajitahidi ila unakuta tu hisia zinakuwa mbali sababu hakupi excitement kwa bed.

Mji huu ukiwa na jala ndio dah its really hard. Unakuwa na demu kama yule alee watoto tu ila for fun sex you gotta catch somebody else.
 
Sio hana bahati she isn't cute at all. Demu kama Zama unakuwa nae sababu tu ana tabia nzuri ila kwa mvuto hana na vile kashazaa zaa hata ile kusema unainjoy K ni uwongo.

Ni mwanamke mwenye adabu but anaboa mapema na hakupi mwashawasha wa mapenzi kabisa. Anajitahidi ila unakuta tu hisia zinakuwa mbali sababu kuna watoto wakali sana mjini. Ukiwa na jala ndio dah its really hard. Unakuwa na demu kama yule alee watoto tu ila for fun sex you gotta catch somebody else.
You nailed it
 
Sio hana bahati she isn't cute at all. Demu kama Zama unakuwa nae sababu tu ana tabia nzuri ila kwa mvuto hana na vile kashazaa zaa hata ile kusema unainjoy K ni uwongo. Ni kumuonea huruma asiumie tu ila huwezi fake for long utatafuta ka cute bebi girl ili ufurahie active sex.

Zama ni mwanamke mwenye adabu but anaboa mapema na hakupi mwashawasha wa mapenzi kabisa. Atajitahidi ila unakuta tu hisia zinakuwa mbali sababu hakupi excitement kwa bed.

Mji huu ukiwa na jala ndio dah its really hard. Unakuwa na demu kama yule alee watoto tu ila for fun sex you gotta catch somebody else.
Mungu hakupi vyoteee.

Utachagua uzuri na mvuto, au tabia nzuri na muenendo mwema.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji1787] We unajua huyo but niko sure huna hakika 100%... Mimi sijawahi jua na nina hakika majority ya watu hawajui kabisa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kweli bhana hakuna anayejua.

Wengine wanasema kaoa, ila baadae yeye kakataa zile picha ni Editing mweeeeh.
 
Hii tabia ya watanzania kufurahia matatizo ya wenzenu sijui huwa itaisha lini, we unaongea kwa furaha kabisa . Vaa viatu vyake je ingekua ni wewe, au ndugu yako ungejiskiaje? Huu n zaidi ya uchawi , haya mambo hayanaga mwenyewe omba yasikukute . Tena nyie mnaoshangilia ndo mna roho ndogo mnaweza hata kuua au kujitoa uhai.

MWENZIO AKINYOLEWA ZAKO TIA MAJI , TIME WILL TELL
Watanzania wengi ni wachawi ni vile tuu mizimu haijawaingia kuanza shika tunguli
 
Back
Top Bottom