Moronight walker
JF-Expert Member
- Aug 3, 2021
- 3,103
- 4,704
Hio mnayosema video gani kwani, kwani kuna video yeyote.Kinachouma kwenye kuchapiwa, ni vile manzi anavyokuwa anatoa ushiriakiano. Ndio maana kwenye kufumania, mwenye mke nguvu zinamuishiaga...
Hivi mtu kama mwijaku akigongewa na wahuni kuna kitakachompa nguvu ya kumwamshia mkewe moto.?Saswakuu leo ninmajivu tumuombee Mr country wide ktk kipindi hiki kigumu ,ila alionywa akashupaza shingo
Na mbya Zaid hakuna anaye furahia tatizo lake ,tatizo kaonywa yey kajifanya mwerevu hakusikia na kushupaza shingo
Ndio maan watu wamemfahaa jumla jumla leo nimesikia Hadi mwijaku kamleta kwenye dawati la leo tena ambapo mm nimdau mkubwa kweny Hilo dawati
Au tusema naye mwijaku ni wa kumuonea huruma pindi akifikwa na baya hususan hili la mke wake ..mwijaku binafsi hata akiliwa ndogo hadharani haoni tatizoHivi mtu kama mwijaku akigongewa na wahuni kuna kitakachompa nguvu ya kumwamshia mkewe moto.?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hujaipata badooo???
Tukiwaambia KATAA NDOA mnaanza kusema 'Ooh nyinyi mashoga nyinyi watetezi wa mashoga mwingine hakujui anakuita shoga kisa tu eti umesema KATAA NDOA', haya sasa mjifunze kwa kutuliaDaah kumbe mheshimiwa hata Mtoto hakuwa wakeee[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] Mamaeee wanawake shikamooo hata shetani anajifunza toka kwenu aiseeee..!!
Daah kumbe mheshimiwa hata Mtoto hakuwa wakeee[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] Mamaeee wanawake shikamooo hata shetani anajifunza toka kwenu aiseeee..!!
Noma sana aiseee! Kwahiyo CPA alikuwa anauza mechi fresh tu huku akiwa na "Msomi wa Acity Phd"? Namshauri "Kantre Waidi" akapime "Drum" maana picha sawa amefuta ,je juliana kama ipo ataifuta?Wanaume wote walioonesha mapenzi makubwa kwa wake zao wameishiaa Kuchapiwaa na kulea watoto sio wao.. Masanjaa na Niki ni mfano haii[emoji24][emoji24][emoji24][emoji27][emoji27] aisee inauma sanaa.
Ntumie[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hujaipata badooo???
Dah mtamuua kaka wa watuNoma sana aiseee! Kwahiyo CPA alikuwa anauza mechi fresh tu huku akiwa na "Msomi wa Acity Phd"? Namshauri "Kantre Waidi" akapime "Drum" maana picha sawa amefuta ,je juliana kama ipo ataifuta?
Kweli yaan wabongo inaonekana tunapenda sana umbeaHivi kwanini wabongo mnapenda sana habari mbaya mbaya za watu!!!
Wabongo wengi ndyo tulikofikia hukuTusipende kufurahia matatizo ya watu, tunajilaani wenyewe.
Hakuna kinachotokea huu sio umbea mzee grow up hii ni mada mezani watu wanatoa michango yako,Kweli yaan wabongo inaonekana tunapenda sana umbea
Ila dogo mbona kafanana naye ?Yaah mkuu maana kama story za kuchapiwaa na ushahidi ashazoeaaa kama masanja tuu[emoji23][emoji23][emoji23] Ila sasa hili la Zuri kuwa sio damu yake kashindwa kabisaa kulibebaa.
Mi ndo mmeshangaa piaIla dogo mbona kafanana naye ?
Mi ndo mmeshangaa pia
Matatizo ya mwanaume kuwa too emotional.Watu wanaunga unga tu ,Nikki alichokosea ni kufuta picha za joan na zuri kwenye insta ,angeacha hayo yote yasingetokea.
Kumbe kuna connection mjini hata hujanambia , 😁😁[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hujaipata badooo???