Mheshimiwa mmoja kijana kutoka Arusha apigiwa mke wake

Mheshimiwa mmoja kijana kutoka Arusha apigiwa mke wake

Kantrewaidi bora angepiga kimya ,kitendo cha kufuta picha zake alizopiga na mkewe/zuri ndiyo amechafua hali ya hewa kabisa na kila mtu anataka kujua "walape".

Kuchapiwa au kuchapa nje kupo hakujaanza leo wala jana na hakuta kuja kuisha ,angeomba ushauri kwa Bishopu mkandamaizaji ampe uzoefu jinsi ya kudeal na mbanga kama hizo.
 
Saswakuu leo ninmajivu tumuombee Mr country wide ktk kipindi hiki kigumu ,ila alionywa akashupaza shingo

Na mbya Zaid hakuna anaye furahia tatizo lake ,tatizo kaonywa yey kajifanya mwerevu hakusikia na kushupaza shingo

Ndio maan watu wamemfahaa jumla jumla leo nimesikia Hadi mwijaku kamleta kwenye dawati la leo tena ambapo mm nimdau mkubwa kweny Hilo dawati
 
Saswakuu leo ninmajivu tumuombee Mr country wide ktk kipindi hiki kigumu ,ila alionywa akashupaza shingo
Na mbya Zaid hakuna anaye furahia tatizo lake ,tatizo kaonywa yey kajifanya mwerevu hakusikia na kushupaza shingo

Ndio maan watu wamemfahaa jumla jumla leo nimesikia Hadi mwijaku kamleta kwenye dawati la leo tena ambapo mm nimdau mkubwa kweny Hilo dawati
Hivi mtu kama mwijaku akigongewa na wahuni kuna kitakachompa nguvu ya kumwamshia mkewe moto.?
 
Daah kumbe mheshimiwa hata Mtoto hakuwa wakeee[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] Mamaeee wanawake shikamooo hata shetani anajifunza toka kwenu aiseeee..!!
Tukiwaambia KATAA NDOA mnaanza kusema 'Ooh nyinyi mashoga nyinyi watetezi wa mashoga mwingine hakujui anakuita shoga kisa tu eti umesema KATAA NDOA', haya sasa mjifunze kwa kutulia
 
Daah kumbe mheshimiwa hata Mtoto hakuwa wakeee[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] Mamaeee wanawake shikamooo hata shetani anajifunza toka kwenu aiseeee..!!
Wanaume wote walioonesha mapenzi makubwa kwa wake zao wameishiaa Kuchapiwaa na kulea watoto sio wao.. Masanjaa na Niki ni mfano haii[emoji24][emoji24][emoji24][emoji27][emoji27] aisee inauma sanaa.
Noma sana aiseee! Kwahiyo CPA alikuwa anauza mechi fresh tu huku akiwa na "Msomi wa Acity Phd"? Namshauri "Kantre Waidi" akapime "Drum" maana picha sawa amefuta ,je juliana kama ipo ataifuta?
 
Back
Top Bottom