Mheshimiwa mmoja kijana kutoka Arusha apigiwa mke wake

Mheshimiwa mmoja kijana kutoka Arusha apigiwa mke wake

Ingekuwa wale walimu wa cwt wasingegomea uteuzi wa ukuu wa wilaya achana na mambo ya kuambiwa labda hao mawaziri kwenye wizara za fedha, maduni na utalii
ndg naongea kitu nilichokiishi , na nikwambie TU kabla ya kuwa huku nilikuwa kule unakofikiri ni Bora ,hao wa CWT ni kesi nyingine wamepelekwa kikaangoni sio kazini ndio maana wawili wanakufa na tai shingoni.
 
ndg naongea kitu nilichokiishi , na nikwambie TU kabla ya kuwa huku nilikuwa kule unakofikiri ni Bora ,hao wa CWT ni kesi nyingine wamepelekwa kikaangoni sio kazini ndio maana wawili wanakufa na tai shingoni.
Mkuu acha kudanganya watu labda mkrugenzi huyo mkuu wa wilaya hana chake wengi tu wanakataa hizo teuzi kama yule wa tigo
 
Back
Top Bottom