Mheshimiwa mmoja kijana kutoka Arusha apigiwa mke wake

Mheshimiwa mmoja kijana kutoka Arusha apigiwa mke wake

Ila mkuu we ni mnafki sana wewe siulifurahia elon musk kushuka wa pili, katika watu wanaofurahiaga downfall za watu wewe ndo wa kwanza tunakujua sana

Leo hii na wewe unajifanya unashangaa ukitoa yale matatizo matatu ujinga, maradhi, na umaskin lingine ni unafki broo punguza unafki
Unafiki ni ndugu wa karibu sana na umasikini.
 
Sio hana bahati she isn't cute at all. Demu kama Zama unakuwa nae sababu tu ana tabia nzuri ila kwa mvuto hana na vile kashazaa zaa hata ile kusema unainjoy K ni uwongo...
Mfyyyyyuuuuuuuuuuuuu.... extrovert yaani weweeeeeeeee!!![emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Ndo nimeinyaka hii kua DNA is negative sijui Kweli sasaa!!!!

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kama ni kweli hongera kwa Nikki kaonyesha ukomavu wa hali ya juu ...Panic ya wastani ila najua ingekuwa wale jmaa wa kanda ya ziwa au mara huyo demu angekuwa maiti sasa.

Haya mambo sio ya kupigia debe ni hatari sana imagine miaka yote unaspend na kuhudumia mtoto then uje kutambua sio wako labda hapo kati haujazaa kwa kumkuza kama first born wako then unaambiwa hola😥😥😥.

Ila wanawake
 
Kama ni kweli hongera kwa Nikki kaonyesha ukomavu wa hali ya juu ...Panic ya wastani ila najua ingekuwa wale jmaa wa kanda ya ziwa au mara huyo demu angekuwa maiti sasa.

Haya mambo sio ya kupigia debe ni hatari sana imagine miaka yote unaspend na kuhudumia mtoto then uje kutambua sio wako labda hapo kati haujazaa kwa kumkuza kama first born wako then unaambiwa hola[emoji26][emoji26][emoji26].

Ila wanawake
Nimejiskia vibaya daaahhh

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Sawa basi baki upande wako huo mimi niache nikae upande wangu huu wa KUKATAA NDOA MAANA NDOA NI UTAPELI, au una kingine cha kuongezea?

Hoja huna unaeleza bila hoja nani atakuelewa, mimi ninakupa na mifano ya kukataa ndoa wewe utanipa nini cha kuniambia ni-support uwepo wa ndoa kipi ulichonacho cha kunishawishi? Emu jaribu kunishawishi basi nakupa uwanja huu nishawishi kwa hoja zenye mashiko nikuelewe kwamba NISIKATAE NDOA

KATAA NDOA
Just imagine kuna mhuni anampakua mtaro mke wa mchizi
Wake wengi waliyoko kwenye ndoa wanapakuliwa sana tu

Ova
 
Back
Top Bottom