Qualtrics
JF-Expert Member
- Feb 12, 2023
- 272
- 388
Dah!...inaumiza sana, jamaa ana haki ya kuvunja mahusiano....huyo demu alichokifanya (kama ni ukweli) ni uhuni usiovumilika.Hiko ndo chanzo cha kuachana, amegundua mtoto sio wake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah!...inaumiza sana, jamaa ana haki ya kuvunja mahusiano....huyo demu alichokifanya (kama ni ukweli) ni uhuni usiovumilika.Hiko ndo chanzo cha kuachana, amegundua mtoto sio wake.
Unafiki ni ndugu wa karibu sana na umasikini.Ila mkuu we ni mnafki sana wewe siulifurahia elon musk kushuka wa pili, katika watu wanaofurahiaga downfall za watu wewe ndo wa kwanza tunakujua sana
Leo hii na wewe unajifanya unashangaa ukitoa yale matatizo matatu ujinga, maradhi, na umaskin lingine ni unafki broo punguza unafki
Ndo nimeinyaka hii kua DNA is negative sijui Kweli sasaa!!!!Wanaume wote walioonesha mapenzi makubwa kwa wake zao wameishiaa Kuchapiwaa na kulea watoto sio wao.. Masanjaa na Niki ni mfano haii[emoji24][emoji24][emoji24][emoji27][emoji27] aisee inauma sanaa.
Umetusema ukweli [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Habari za hivi zinawafariji sana wabongo wenye hali ngumu kimaisha [emoji1787]
Mfyyyyyuuuuuuuuuuuuu.... extrovert yaani weweeeeeeeee!!![emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Sio hana bahati she isn't cute at all. Demu kama Zama unakuwa nae sababu tu ana tabia nzuri ila kwa mvuto hana na vile kashazaa zaa hata ile kusema unainjoy K ni uwongo...
Kama ni kweli hongera kwa Nikki kaonyesha ukomavu wa hali ya juu ...Panic ya wastani ila najua ingekuwa wale jmaa wa kanda ya ziwa au mara huyo demu angekuwa maiti sasa.Ndo nimeinyaka hii kua DNA is negative sijui Kweli sasaa!!!!
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Woyoooooooooo!!!chetu chetuuuuuNapenda mtt wa kike mwenye confidence, asmile basi namuongeza utamu namchekesha all the time akiwa close. I fux her good by the end.
Nimejiskia vibaya daaahhhKama ni kweli hongera kwa Nikki kaonyesha ukomavu wa hali ya juu ...Panic ya wastani ila najua ingekuwa wale jmaa wa kanda ya ziwa au mara huyo demu angekuwa maiti sasa.
Haya mambo sio ya kupigia debe ni hatari sana imagine miaka yote unaspend na kuhudumia mtoto then uje kutambua sio wako labda hapo kati haujazaa kwa kumkuza kama first born wako then unaambiwa hola[emoji26][emoji26][emoji26].
Ila wanawake
Shauri yako, uwe unatembea na ky kabisa sababu siku zako zinahesabika.Kula mke wa mtu raha wewe shughuli yako inakuwa ni moja tu kupeleka moto.
Just imagine kuna mhuni anampakua mtaro mke wa mchiziSawa basi baki upande wako huo mimi niache nikae upande wangu huu wa KUKATAA NDOA MAANA NDOA NI UTAPELI, au una kingine cha kuongezea?
Hoja huna unaeleza bila hoja nani atakuelewa, mimi ninakupa na mifano ya kukataa ndoa wewe utanipa nini cha kuniambia ni-support uwepo wa ndoa kipi ulichonacho cha kunishawishi? Emu jaribu kunishawishi basi nakupa uwanja huu nishawishi kwa hoja zenye mashiko nikuelewe kwamba NISIKATAE NDOA
KATAA NDOA
Tupia picha ya huyo dada tumthaminisheShem ni mzuri tu kawaida hana utofauti na madem walio wengi. Kinachombeba yeye ni kwamba tu kichwani yuko fresh.
Ila ni wa kawaida sana hata dada yangu kamzidi. Sema up ward hayuko kama shemeji yetu.
😭😭😭😭😭Sio hana bahati she isn't cute at all. Demu kama Zama unakuwa nae sababu tu ana tabia nzuri ila kwa mvuto hana na vile kashazaa zaa hata ile kusema unainjoy K ni uwongo. Ni kumuonea huruma asiumie tu ila huwezi fake for long utatafuta ka cute bebi girl ili ufurahie active sex.
Salama swahibatiZa kazi
Ova
,،[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Huyo best angu amemchamba zama as if kamkosea,،[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kampa kampa Tena[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]yaani extrovert hajataka kubakisha kituHuyo best angu amemchamba zama as if kamkosea
Nipo nje ya jijiSalama swahibati
Ujue sijakuona hapa kabisaa
Hivi upogo? ?
PoleeNipo nje ya jiji
Njaa imenikimbiza huko
Ova