Why uulizie chura anayomiliki mtu mwingine mkuu si ukorofi huuππ
Huu uzi umevamiwa na malaika wachafu aise nacheka tu dahππHujatoka wewe lakni mwenzio anatoa kama kawa hawezi kukoswa ubunifu kwa sababu yako, kisichokutoa hapo ni ufundi wa mama sio vingine..tunasema maji kila kilefu inaitaji uzoefu[emoji16][emoji16]
Utamu unatofautiana Mkuu msemakweli mpenzi wa Mungu, Suleiman mwenyewe alionjaonja sana Mfalme Daudi naye alionjaonja, tukupe bibli/Koran uape kama kweli huja... wala kupata hisiamkuu utamu ni ule ule, inategemea na wewe unavyotaka bao lako litoke ndio lita determine raha yake
Potelea pote lazima tumpe ukweli wa Dunia[emoji16]Huu uzi umevamiwa na malaika wachafu aise nacheka tu dah[emoji3][emoji3]
Huu uzi umevamiwa na malaika wachafu aise nacheka tu dahππ
Kwahiyo wewe huwezi? why usime mapishi yale yale wakati wali/mchele unaweza pikwa kama pilau, biriani kuna wali wa vitunguu, karoti, hadi mdalasini nk. Acha kujiendekeza bana unaweza πWe si unamjua BAK alivyo mchokozi? πππmiaka 15 kula mapishi yale yale wali kuku si mchezo ati. Hongera zake nyingi.
Hahahhaa kwamba magu ni kiongoz wa malaika wachafuπ€£π€£ππππππππ unamchokoza mwendazake sasa Kiongozi wa Malaika mbinguni π€£π€£π€£π€£π€£π€£
watu huwa tunaangaika sana, utamu upo kwetu na ni swala la ki akili zaidi unavyo itazamisha ndivyo inavyokuwa. πππ hayo ya kufinyiwa kwa ndani sio nje ni katika hali ya kuiset akili.tuUtamu tunao wenyewe kule tunafuata utelezi tu
Mitoto??[emoji849][emoji849]Hongera mkuu nami nina miaka 5 sasa japo mitoto ya shule inasumbua kweli ila napambana. Mungu atujalie sote.
Huyo Frontier yuko humu jf?Leo nimefikisha miaka 15 ya ndoa yangu mimi na mke wangu safari ilikuwa ya raha sana , ingawa mabonde pia yalikupo, sijawahi kuchepuka nje ya ndoa , hakika kuna kipindi jilipata vikwazo vya wake maneno mengi yasisoisha lakini nikawapuuzia, dawa ya mjinga mpuuze tu, sasa katika miaka 45 ya umri wangu nakiri ndoa ni tamu , nakupenda honey wangu Frontier Lungwicha , nakupenda sana bebe.
Kwahiyo wewe huwezi? why usime mapishi yale yale wakati wali/mchele unaweza pikwa kama pilau, biriani kuna wali wa vitunguu, karoti, hadi mdalasini nk. Acha kujiendekeza bana unaweza π
Mwamba ni mwanume harisi (Real man). Kupiga nje ni moja ya kuonenyesha udhaifu wako kama mwanaume wa shoka. Wanaume wote washoka(hatuchepuki) πππBwege tu huyu mwamba wako.
Ameleta uzi wa kuwadolishia asee[emoji16][emoji16]Je, na mkeo hajawahi kuchepuka Mkuu? Msalimie Frontier Lungwicha. Chura iko lakini? [emoji12]
Sema wewe ndugu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] unadhani kwanini Waislamu wanaoa wake wanne? [emoji12][emoji12]
utamu ni swala la akili yako inavyo peleka taarifa katika sehemu zingine za mwili..Utamu unatofautiana Mkuu msemakweli mpenzi wa Mungu, Suleiman mwenyewe alionjaonja sana Mfalme Daudi naye alionjaonja, tukupe bibli/Koran uape kama kweli huja... wala kupata hisia
Tupo kakaKumbe tupo wengi mkuu..[emoji2955]
Yeye je?? Hajawahi kuchepuka??
Hii hapana hata iweje, kuna mtu ameandika humu, miaka 15 unakula wali samaki asubuhi mchana jioni!!!!utamu ni swala la akili yako inavyo peleka taarifa katika sehemu zingine za mwili..