Miaka 15 ya ndoa bila kuchepuka, namshukuru Mungu

Bwana akubarikie na kukulinda

Sent using Jamii Forums mobile app
 
TRust me "KUANZA MAPENZI MKIWA CHINI HIVYO (KUISHI STOO) MPAKA MKAJA KUWA JUU NI RAHA SANA"

Unataka umpate mwenye nyumba na gari?

#YNWA
 
Hongera ulibahatika kupata mke mwema. Wala usijisifu kwa hilo. Tuliovutiwa na sura tukaoa tunajutia japo mm nna miaka 10 kwenye ndoa nimechepuka mara nyingi kuliko kipindi sijaoa. And sijutii na ninaona ni haki yangu. Nina mwaka na miezi kadhaa sijaona lango la shrmeji yenu, hatujagombana and yupo confotable wala haulizi
 
Mkuu jifunze kuandika vizuri basi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…