Miaka mitano ya hayati Magufuli, bei za nafaka hazikupanda namna hii. Sasa zimepanda na wananchi wanakula mlo mmoja na nusu

Mpumbavu mkubwa wewe, wakulima wetu ndiyo wakati wao wa kupata fedha na kuboresha maisha yao. Wewe badalanya kwenda kulima mahindi unakuja kuandika pumba JF.

Nenda na wewe ukalime halafu uone uchungu wa kuambiwa usiuze mahindi nje ya nchi.
Hiki kitu watu wengi hufata mkumbo, lkn hawajui mtu umelima kwa gharama zako yaan kila kitu umetumia ela lkn ukitaka kuuza unapangiwa wa kumuuzia na bei, hovyo sana
 
Mkulima anaelima kibiashara hauzi haraka kama yule anaelima auze apate mlo na hao ni wachache na kilimo chao ni duni wanaolima kibiashara wengi wamenufaika sana
 
Enzi za mwendazake unga wa mahindi kuna wakati ulifitika kilo sh.2000/ na watu walipo nung,unika Kayafa akawaambia wakulima waongeze Bei Zaidi HAKUNA anayewasaidia shambani....
Eti leo chawa wameshasahau mpyuuuu
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna mkulima anayeenda kuuza mazao huko nje,
Bei ya shambani bado iko chini Ila inapandishwa na wafanyabiashara
Wapo mkuu na kuna mkulima maarufu wa mchele mbeya juzi tu kapata tenda ya kuuza maelfu ya tani za mchele kila mwezi kwenda Kenya au nae huyo sio mtanzania?
 
Mkulima anaelima kibiashara hauzi haraka kama yule anaelima auze apate mlo na hao ni wachache na kilimo chao ni duni wanaolima kibiashara wengi wamenufaika sana
Mkuu asilimia karibu 70, ya wakulima wetu ni kilimo cha kujikimu!!yeye alime apate chakula kinachobakia ni kuuza, akidhi mahitaji yake kwa muda huo.Sasa chakula kinapopanda bei yeye anakuwa hana mazao tena, kwani wenye pesa washanunua na kuyaweka store.Wengine hata pesa ya kuandaa mashamba tena kwa sasa hawana.
 
Wapo mkuu na kuna mkulima maarufu wa mchele mbeya juzi tu kapata tenda ya kuuza maelfu ya tani za mchele kila mwezi kwenda Kenya au nae huyo sio mtanzania?
Acha stori za tenda


Nenda Taveta ujionee mwenyewe
 
APPROXIMATELY soma hapa kuhusu ule mfumo niliokwambia usipoelewa hapa ndio baasi hauwezi kuelewa

Huu ni km mfano tu wa mfumo

Huu ni mfumo wa mfumuko wa bei

Soma vizuri taarifa hii kisha angalia hizo pesa zinavyorukaruka ilikua ngapi ikafika ngapi angalia hilo gap hapo umeliona?

Mfumo si huo hapo umeuona?

Sasa fikiria ujitafutie ukiwa nje ya huo mfumo sio ndani ya huo mfumo
 
Safi sana ,Acha nao wajipatie hela linalotokana na jasho la ukweli

Ova
 
Kama nimekuelewa ni hivi kwa kuwa chakula kimekuwa ghali,ili usitumie ela nyingi kwenye kula inakubidi usinunue chakula chochote town,nina maana kuzama mikoa yenye vyakula vingi kwa mfano kama ukienda mbeya ukachukua kilo Mia za mchele,na kilo 50 za maharage,ukaenda katavi ukachukua gunia la mahindi kilo 100,ukaenda babati ukachukua dumu la mafuta ya alizeti,ukaja ukaviweka store kwa ajili yachakula kazi yako nikununua mboga tu,hapo unapiga bajeti ya hivyo vyakula vikupeleke hata miezi kadhaa
 
Mchele gredi ya mwisho kwa muonekano zile chenga kwa ajili ya unga wa vitumbua au uji wa mgonjwa kilo 1,700/=.
 
Sasa naona kidooogo umeanza kufukiria jinsi ya kujitafutia nje ya mfumo kudos ila bado endelea kujifunza mkuu
Kwakuwa mfumo wa watu wanaoishi bongo ni wakununua chakula cha kula siku hiyo dukanini bora kuchenji hiyo tabia na kujiwekea akiba cha chakula hata ya miezi mitano mbele,maana kununua kitu kodogo kidogo kinaongeza kitu hocho kuwa na thamani kubwa
 


Mkuu dunia imebadilika na kama unadhani mazingira yanaruhusu utajirikie kupitia bei za shamba ingia uone moto wake watu wanasafirisha mahindi anafika na mzigo anakula loss
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…