last king of uscoch
JF-Expert Member
- Mar 21, 2015
- 2,728
- 3,980
Wizi huu hata maandiko matakatifu yanaubarikiShirima wizi wake nauunga mkono ingawa sipendi wezi, unajua hata Nyerere kuna siku alisifia wezi wa mbolea. Kuna mbolea ilikuwa inatolewa kwa ruzuku wanaopewa wanalima hovyo jamaa mmoja akaiba akalima kwa usahihi akapata mavuno mengi na kukidhi haja ya serikali ya uzalishaji wa chakula.
Tuseme mzee Shirima aliibia shirika la Afrika Mashariki, ila hata asingeiba ndege za hilo shirika ziko wapi leo hii? Badala yake asingeiba tusingekuwa na Precision Air na hilo shirika lingevunjwa vilevile tukaambulia historia.
Hawa wana ukabila wa kisenge nasemaje, wachagga tunabaki juu daima.Ulitakaje kwani?
Pata picha how Big brain he was Yani mtu miaka ya 70 ana idea ya kuumiliki shirika la ndege wakati wengine hata exposure ya kuumiliki biashara yenye mtaji wa milion 20 hawana na wana phdHajui kuwa shirima ni mwanzilishi na mmiliki
Huyo hata afe rais wa marekani ataandika hivyo hivyo.Mtu wa 1943 ni classmate wako na bado una uwezo wa ku type humu? Kweli kuna watumna bahati zenu na maisha !!!
Kamapuni ndio nini?Nina Imani kamapuni itaendelea kuwepo,
Maana wamatumbi akifa mmiliki na kampuni lazima ipate misuko misuko.
RIP
Kaka elimu haina umri, wakati nipo chuo at the age of 25 kulikuwa na mdingi ana 59 na wote tupo class mojaHuyu anayeandika awe na miaka zaidi ya sabini vinginevyo ni liongo
Mmmhhh hapo kwenye kizungu umemaanisha nini?Huyo ni mmoja wa wamiliki au mwanahisa wa precision air sio mmiliki msimpe ukubwa wa peke yake mnaijua precision nyie acheni swaga hizo.
Rest in peace of the shareholders of precision air ndugu Shirima,
Mmiliki wa sita steel unamjua? Yuko wapi leo?Wale wengine MBONA hawaitwi!!?wale wenye asili ya asia MBONA hawaitwi!!?hawana hiyo 80!!?
Kama ni sawa Bas poa!!
Precision haifi, ndio kwanza inakuja kwa nguvu mpya.Rest in peace precision air
Wanaojiua ni wasiojua Nini maana ya maishaJiue basi kama maisha ya duniani Si chochote na Si lolote
Wewe tayari ushaona hayana maanaWanaojiua ni wasiojua Nini maana ya maisha
Maana warithi wanakuja na akili na Ari mpyaPrecision haifi, ndio kwanza inakuja kwa nguvu mpya.
Ndo maana naishiWewe tayari ushaona hayana maana
Unaweza ukawa ushakufa huwezi ishi ukiwa hujui maana ya kuishi upo upo tuNdo maana naishi
Alifanya kazi atc kitambo sana na alikuwa upande wa finance(fedha)Apumzike kwa amani mzee shirima....
Mtaji alitoa kwenye biashara ya kahawa.[emoji848]
Na NMB pia ni mwanahisa. Na mwaka huu dividends za NMB ni pesa kubwa per share. Na mashirika mengine anazo hisa. Kifupi alikuwa mwekezaji. Rest in Eternal Life M.N ShirimaMtoto wake ndiye alikuwa msaidiz wake, shirima ni mmiliki CRDB kwa hisa nyingi sana, wachagga wanatuacha sisi WAGOGO tukikumbatia li-CHAMA lisilo na huruma zaidi ya kutuuza kwa wakoloni wetu wa zamani.
Huwezi kusema tu hakuuza mbao wakati hujaonyesha kwa ushahidi alifanya ufisadi gani! Hii ndiyo point yangu. Point yangu ime-base kwenye utamaduni ulio kwenye jamii yetu (kwa taarifa yako jamii yetu ni maskini hata kama wewe ni tajiri) kuwa kila tajiri ni fisadi. Kuhusu kuwa na akili kunizidi, well, that is how you think, and it is not necessarily how it is! Unafikiri kuna mjinga anayejitapa kwa ujinga? Mara nyingi wajinga ndiyo hujitapa wana akili.Moja, sijazaliwa familia maskini. Sijui kwa upande wako.
Mbili, mimi sio mjinga na nina hakika nina akili kukuzidi, kama unabisha hili niko tiyari nikupe evidence.
Mchukue mfanyakazi wa Air Tanzania au Kenya Airways auze mbao na kahawa naye awe founder wa shirika la ndege.
Shirima alikuwa na uwezo mkubwa kibiashara, experience ya kazi pamoja na passion ambayo hii ni muhimu mno kwenye biashara hii. Ila kwenye mtaji hapo jifanye aliuza mbao ili usije jiona mchawi na ndio ujione una IQ kubwa