TANZIA Michael Ngaleku Shirima mmiliki wa Precision Air afariki dunia

Wizi huu hata maandiko matakatifu yanaubariki
 
Mtoto wake ndiye alikuwa msaidiz wake, shirima ni mmiliki CRDB kwa hisa nyingi sana, wachagga wanatuacha sisi WAGOGO tukikumbatia li-CHAMA lisilo na huruma zaidi ya kutuuza kwa wakoloni wetu wa zamani.
Na NMB pia ni mwanahisa. Na mwaka huu dividends za NMB ni pesa kubwa per share. Na mashirika mengine anazo hisa. Kifupi alikuwa mwekezaji. Rest in Eternal Life M.N Shirima
 
Huwezi kusema tu hakuuza mbao wakati hujaonyesha kwa ushahidi alifanya ufisadi gani! Hii ndiyo point yangu. Point yangu ime-base kwenye utamaduni ulio kwenye jamii yetu (kwa taarifa yako jamii yetu ni maskini hata kama wewe ni tajiri) kuwa kila tajiri ni fisadi. Kuhusu kuwa na akili kunizidi, well, that is how you think, and it is not necessarily how it is! Unafikiri kuna mjinga anayejitapa kwa ujinga? Mara nyingi wajinga ndiyo hujitapa wana akili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…