luambo makiadi
JF-Expert Member
- Nov 28, 2017
- 10,602
- 8,798
Ulitakaje kwani?Eti dreva wa malori, nk ni uongo mtupu.Kazi zilizotajwa hazikuwezeshi kununua Ndege, yawezekana aliaachiwa ndege na mzungu hawa wa makampuni madogo ya utalii tangia hapo akaendeleza.
Hizi akili za kila aliyefanikiwa Tz ni mwizi Kuna kiongozi mmoja mshamba amewahi kutuongoza ndiye aliyeturithisha haya mawazo! Tumekuwa na taifa la kishamba sana, yaani badala ya kupambana tuwe na matajiri wengi watz halisi (achana na hao wenye uraia wa nchi nyingine), tunawapiga vita kwa kuwaita wezi! Tz tuna takrinan watu 40m walio ktk umri wa kufanya kazi, serikali imeajiri watu almost 1m (hii ni kuanzia Katibu mkuu kiongozi Hadi mtendaji wa Kijiji)! Wengine wote wameajiriwa na sekta binafsi, alafu anatokea mpuuzi mmoja anapambana na sekta binafsi! Puuzi kabisaShirima wizi wake nauunga mkono ingawa sipendi wezi, unajua hata Nyerere kuna siku alisifia wezi wa mbolea. Kuna mbolea ilikuwa inatolewa kwa ruzuku wanaopewa wanalima hovyo jamaa mmoja akaiba akalima kwa usahihi akapata mavuno mengi na kukidhi haja ya serikali ya uzalishaji wa chakula.
Tuseme mzee Shirima aliibia shirika la Afrika Mashariki, ila hata asingeiba ndege za hilo shirika ziko wapi leo hii? Badala yake asingeiba tusingekuwa na Precision Air na hilo shirika lingevunjwa vilevile tukaambulia historia.
Utakuta yeye Hana share hata ya kiwanja Cha 20kwa 20 hapa duniani harafu anadiriki kusema 42 share za prisicion air ni kiduchuHajui kitu ni memkwa huyo
Kongole. Tanzania tuna elimu ya kukariri na wtu wanakariri neno lilivyo bila kujua maana.Classmate sio lazima primary au sekondary. Hata kwenye mafunzo maalum ambayo kijana wa kampuni A anaweza kutana na mzee wa kampuni B wote wakiwa wanafunzi kwa muda fulani. Ukumbuke pia Kuna watu wanasoma Phd wakiwa na 30's na wengine 60's.
Tatizo la kuzaliwa kwenye umaskini na ujinga. Angalia sana hata vijiji vyenye watu maskini na wasio na elimu. Kila anayefanikiwa wanasema ni chinjachinja au lazima apewe jina bayaHizi akili za kila aliyefanikiwa Tz ni mwizi Kuna kiongozi mmoja mshamba amewahi kutuongoza ndiye aliyeturithisha haya mawazo! Tumekuwa na taifa la kishamba sana, yaani badala ya kupambana tuwe na matajiri wengi watz halisi (achana na hao wenye uraia wa nchi nyingine), tunawapiga vita kwa kuwaita wezi! Tz tuna takrinan watu 40m walio ktk umri wa kufanya kazi, serikali imeajiri watu almost 1m (hii ni kuanzia Katibu mkuu kiongozi Hadi mtendaji wa Kijiji)! Wengine wote wameajiriwa na sekta binafsi, alafu anatokea mpuuzi mmoja anapambana na sekta binafsi! Puuzi kabisa
Nimekuelewa, background ya umaskini mbaya sana!Tatizo la kuzaliwa kwenye umaskini na ujinga. Angalia sana hata vijiji vyenye watu maskini na wasio na elimu. Kila anayefanikiwa wanasema ni chinjachinja au lazima apewe jina baya
Lucha wameanza😀Maisha ya dunia si lolote si chochote tuzidi kutenda wema
Bongo huwezi kuwa tajiri bila kuwa na mkondo wa wizi na ukwepaji huko huko serikalini Hali halisi ndo hvyo , sasa usitake kutulazimisha tuamini ujinga wako wakat tunajua kila kitu ....!! Kama bongo lako Lina makamasi heri ukae kimyaHizi akili za kila aliyefanikiwa Tz ni mwizi Kuna kiongozi mmoja mshamba amewahi kutuongoza ndiye aliyeturithisha haya mawazo! Tumekuwa na taifa la kishamba sana, yaani badala ya kupambana tuwe na matajiri wengi watz halisi (achana na hao wenye uraia wa nchi nyingine), tunawapiga vita kwa kuwaita wezi! Tz tuna takrinan watu 40m walio ktk umri wa kufanya kazi, serikali imeajiri watu almost 1m (hii ni kuanzia Katibu mkuu kiongozi Hadi mtendaji wa Kijiji)! Wengine wote wameajiriwa na sekta binafsi, alafu anatokea mpuuzi mmoja anapambana na sekta binafsi! Puuzi kabisa
Bongo lako ndiyo limejaa funza! Kama Hali Iko hivyo basi imechochewa na viongozi wenye makamasi vichwani kama weweBongo huwezi kuwa tajiri bila kuwa na mkondo wa wizi na ukwepaji huko huko serikalini Hali halisi ndo hvyo , sasa usitake kutulazimisha tuamini ujinga wako wakat tunajua kila kitu ....!! Kama bongo lako Lina makamasi heri ukae kimya
Maana Yako ni niniMkewe yupo hai au alikufa kabla yake?
Huyu jamaa ana shida mentally. S/he need helps. Wale pyschologist and psychiatrist wanaweza wakanielewa.yaani mtu kuanza kuugua kichwa huwa hawawezi jijua alone Ila anaonekana na wengineClassmate wa nyoko labda
Hajui kuwa shirima ni mwanzilishi na mmilikiUtakuta yeye Hana share hata ya kiwanja Cha 20kwa 20 hapa duniani harafu anadiriki kusema 42 share za prisicion air ni kiduchu
Hatari sanaTatizo la kuzaliwa kwenye umaskini na ujinga. Angalia sana hata vijiji vyenye watu maskini na wasio na elimu. Kila anayefanikiwa wanasema ni chinjachinja au lazima apewe jina baya
Umaskini unakusumbua endelea kucheza sindimba utabaki na umaskini Wako hivyohivyoBongo huwezi kuwa tajiri bila kuwa na mkondo wa wizi na ukwepaji huko huko serikalini Hali halisi ndo hvyo , sasa usitake kutulazimisha tuamini ujinga wako wakat tunajua kila kitu ....!! Kama bongo lako Lina makamasi heri ukae kimya
Mie nnachopenda hapa Tz matajiri wanajitenga na maskini kwa umaskini huu wa fikra..yaani umaskini ni mbaya mno jamani..kifupi umaskini ni DhambiUmaskini unakusumbua endelea kucheza sindimba utabaki na umaskini Wako hivyohivyo
Kwa nchi hii ...huyo bado sio mwizi...Kuna jamaa nadhani na yeye ni ndugu wa huyu mzee maana na yeye ukoo wao ni Shirima.
Miaka ya 2010 baada ya kumaliza chuo akapata kazi kwenye hilo shirika, baada ya muda akaacha kazi akaanza kuporomosha majumba.
Ila nasikia aliiba hela kwenye hiyo kampuni akaacha kazi,
Mpaka sasa hivi mali anazomiliki jamaa haziendani na muda aliokaa kazini kabisa, hata kama analipwa kama mbunge.
Wachaga wezi sana.
Mzee Shirima umeanza kumjua alipofariki sio? Pambana na wewe uwe bilionea uone.Hizi akili za kila aliyefanikiwa Tz ni mwizi Kuna kiongozi mmoja mshamba amewahi kutuongoza ndiye aliyeturithisha haya mawazo! Tumekuwa na taifa la kishamba sana, yaani badala ya kupambana tuwe na matajiri wengi watz halisi (achana na hao wenye uraia wa nchi nyingine), tunawapiga vita kwa kuwaita wezi! Tz tuna takrinan watu 40m walio ktk umri wa kufanya kazi, serikali imeajiri watu almost 1m (hii ni kuanzia Katibu mkuu kiongozi Hadi mtendaji wa Kijiji)! Wengine wote wameajiriwa na sekta binafsi, alafu anatokea mpuuzi mmoja anapambana na sekta binafsi! Puuzi kabisa
Moja, sijazaliwa familia maskini. Sijui kwa upande wako.Tatizo la kuzaliwa kwenye umaskini na ujinga. Angalia sana hata vijiji vyenye watu maskini na wasio na elimu. Kila anayefanikiwa wanasema ni chinjachinja au lazima apewe jina baya