Miezi sita ya kwanza ya Rais Samia uwekezaji Tanzania ulikua mara sita zaidi katika kipindi kama hicho FY2020|21

Miezi sita ya kwanza ya Rais Samia uwekezaji Tanzania ulikua mara sita zaidi katika kipindi kama hicho FY2020|21

Yale mambo ya kutajwa tajwa rais mara ooh! Jitihada za magufuli, mara ooh! juhudi za magufuli , mambo ya kusujudiana yamekwishaa, ule ulikuwa ujinga na utumwa mkubwa sana walah!
Mbona yanaendelea kwa huyu mama pia.na anarembuua akisifiwa.
 
M
Uchumi ni imani.

Watu wakikosa imani na kesho yao, hawawezi kufanya uwekezaji.

Nimepitia Masaki, ghafla naona miradi mingi iliyosimama imeanza upya, na mingine mipya imeanza kuchipuka.

Jiwe alikuwa anatumaliza kabisa.
Mbona juzi tu uzi ulipita humu kuwa hawa shopper ate wa mlimanicity wanafunga vilago ku jiondokea?
 
M

Mbona juzi tu uzi ulipita humu kuwa hawa shopper ate wa mlimanicity wanafunga vilago ku jiondokea?
Game wanafunga East Africa nzima....Sio Tanzania peke yake

1632301524296.png
 
Tanzania yaongoza kwa bei ndogo ya mafuta ya taa, disel na Petrol Africa Mashariki Kenya bei juu |Hongera Rais Samia,
________________________________
Wakati baadhi ya Watanzani wasiofuatilia mambo wamekuwa wakiilalamikia Serikali ya awamu ya Sita inayoongoza na Rais Samia Suluhu Hassan kwamba imepandisha bei ya Mafuta ya taa, dizeli na Petroli jambo ambalo ni sawa na wao kukosa fadhili juu ya juhudi kubwa na nzuri anazozifanya rais wetu Mama Samia Suluhu Hassan katika kuwaletea unafuu wa Maisha wananchi wake kwani Mama anajua nishati ya mafuta ndio karibu kila kitu kwa maisha ya mnyonge wa chini,

Wakati wenzetu wa Rwanda, Burundi, Congo, Uganda, Kenya wakiimezea mate bei ya mafuta ya Tanzania Sisi Watanzani tunashindwa kuthamini na kutambua mchango wa Rais wetu katika kudhibiti bei ya nishati ya Mafuta nchini,Hii si sawa kabisa,

Jarida maarufu Africa la "STAR " limeitaja Tanzania kuwa ni nchi ya chini kabisa kwa bei ya mafuta ya taa, dizeli na Petroli ukilinganisha na bei za nchi nyingine za EAC hivi majuzi,

Kwamsiofahamu,Bei ya Petroli Kenya ni Ksh 134.72 sawa na Tshs 2,831,Wakati Uganda ni Ksh 131 sawa na Tshs 2,751,Rwanda ni Ksh 121.08 sawa na Tshs 2,540, Wakati Tanzania bei ya Petroli ni Ksh 115.26 sawa na Tshs 2,421 kwenye Pump,

Wakati huohuo bei ya dizeli nchini Kenya ni Ksh 117.28 sawa Tshs 2,463,Uganda ni Ksh 115.60 sawa na Tshs 2,428 huku Rwanda bei ya dizeli ikifikia Ksh 110 karibu Sawa na Tshs 2.310 Wakati Tanzania bei ya dizeli imefikia Ksh 106.90 sawa na Tshs 2,245 tu,Tuendelee kumwombea rais wetu kipenzi cha wengi Mama Samia Suluhu Hassan,

______________________________

Kenyans are paying up to Sh19 more for a litre of petrol compared to their East African neighbours of Tanzania, Uganda and Rwanda as heavy taxation takes a toll on consumers.

Motorists and transporters are paying more than double what their counterparts in Addis Ababa are paying, where a litre of petrol and diesel are retailing at an equivalent of Sh51.28 and Sh44.66, respectively.

In Uganda, which imports part of its fuel through the Port of Mombasa, a litre of super petrol is retailing at Sh131 which is lower compared to Kenya's Sh134.72.


A litre of diesel in the neighbouring country is slightly higher, by Sh2, retailing at Sh117.28 compared to Sh115.60, despite the products going through Kenya into the landlocked country.

In Dar es Salaam, a litre of super petrol is retailing at Sh115.26, which is Sh19.46 less than that of Nairobi.

Diesel is going for Sh106.90 while kerosene is retailing at Sh103.34, compared to Nairobi's pump price of Sh110.82.

A litre of petrol and diesel in Kigali(Rwanda) is Sh121.08 and Sh110, respectively, despite being a land-locked country importing through Tanzania and Kenya.

On Tuesday, fuel prices in Kenya hit a historic high after prices of petrol, diesel and kerosene increasing by Sh7.58, Sh7.94 and Sh12.97, respectively.

“The prices are inclusive of the eight per cent Value Added Tax in line with the Finance Act 2018, the Tax Act 2018, the Tax Laws(Amendment) Act 2020 and the revised rates for excise duty adjustment for inflation,” EPRA director general Daniel Kiptoo said.

The increase came despite lower global crude prices in August which averaged $70.75 a barrel, down from $75.17 in July, and a drop in the landed cost of fuel at the Port of Mombasa.

Consumers in the country pay at least nine different taxes on fuel products which constitute the biggest share of final pump prices.


They include excise duty which takes the lion's share of Sh21.95 of every litre of petrol followed by the Road Maintenance Levy (Sh18).

VAT has been adjusted upwards to Sh9.98 while the Petroleum Development levy is charged at Sh5.40.

Other levies included in the fuel pricing are Petroleum Regulatory Levy, Railway Development Levy, Anti-adulteration Levy, Merchant Shipping Levy and the Import Declaration Fee.

The high fuel prices are expected to increase the cost of living in the country, where inflation has been rising since April, hitting an 18-month high of 6.57 in August.

Manufacturers and transporters have since warned of a jump in the cost of goods and services as they move to pass the high operational costs, occasioned by the fuel price jump, to the consumers.

Agricultural products are also expected to become costlier as diesel is a key input in production, mainly in large scale farming where machinery is used.

A number of other taxes introduced by the Finance Act 2021 are also expected to impact the cost of production in the country, affecting the prices of finished goods in the retail market.

The Consumers Federation of Kenya (COFEK) has since called on the President to request parliament to review the Finance Act.

“We need to ease the cost of living especially by dropping added taxes on cooking gas, fuel and essentials foodstuffs,” Secretary-General Stephen Mutoro said.
 
Mitego ya Rais Samia ya Royal Tour yanasa TZS 158.4bl | Hoteli nne kubwa za kitali hadhi ya Kempinski kujengwa Serengeti, Ngorongoro,Manyara & Tarangire,

________________________________

Wawekezaji toka Bulgaria matokeo ya Royal Tour kuwekeza US$ 72M karibu sawa na Tsha 158.4BL kwa kujenga Hotel nne kubwa za nyota tano ( Five Stars Hotel ) katika mbunga za Serengeti, Ngorongoro, Manyara & Tarangire,

Utawala wa Rais Samia Suluhu Hassan kwa kipindi kifupi cha miezi sita umeonesha matokea makubwa katika kila kona ya nchi, madhalani uwekezaji tayari umekua kwa 400% toka uwekezaji wa US$ 510M hadi US$ 2.98BL sawa na Tshs 7trilioni pesa ambayo itamfikila kila Mtanzania popote alipo katika njia moja au nyingine,

#Mliokuwa mnalalamikia gharama ya Royal Tour mnasemaje kuhusu hizi bilioni 158.4 za fasta !??


.........Kazi iendelee.........
 
Impact yake Kitaa ipoje....

Kwa huyu na yule aliyepita maswali ni yale yale, uchumi / uwekezaji wa kwenye makaratasi bila kuleta impact yoyote mtaani ni maigizo tu...

Watu kipato cha kubahatisha na ajira bado ni msamiati.. Si bora kipindi ambacho uchumi ulikuwa so called duni lakini watu wana ajira / kipato....


Ni nzuri sana
 
Tanzania juu,ndani ya miezi mitano ya Rais Samia uwekezaji wakua kwa 400% wafikia $ 3bl ni mara sita zaidi ya ule wa mtangulizi wake katika kipindi kama hicho,
_________________________________________
Ndg Watanzani,Jumla ya miradi 133 yenye thamani ya US$ 2.98 imesajiliwa kati ya March na Agosti 2021,ambayo ni karibu na Tshs 7trilioni,Ukisikia Mama anaupiga mwingi hii ndio maana halisi ya "kuupiga mwingi "

Katika kipindi kama hicho mwaka jana jumla ya miradi 105 yenye thamani ya US$510M ilisajiliwa sawa na karibu Tshs 1.1trilioni ,

Ndani ya miezi mitano Rais Samia kutokana na juhudi mbalimbali anazozifanya ameongeza uwekezaji kwa Tshs 4trilioni ambazo ni sawa 400%, yaani mara sita zaidi ,

Wale Wote wenye mapenzi mema na Tanzania endeleeni kumwombea na kumshika mkono Rais Samia Suluhu,Kwahakika mwelekeo huu ni mzuri,Unatia moyo na unapunguza machungu ya kumpoteza jemedari wetu hodari Hayati Dk John John Pombe Magufuli,

Nasema ......
......... Kazi iendelee .........
________________________________

Investments hit nearly $3bilion in 5 months
Monday September 20 2021

Tanzania registered $2.98 billion in investments in five months starting in March this year, representing a growth of close to six times compared to the same period last year.

Tanzania Investments hit nearly $3bilion in 5 months
________________________________


IN SUMMARY

Dar es Salaam.
Tanzania registered $2.98 billion in investments in five months starting in March this year, representing a growth of close to six times compared to the same period last year.

The government spokesperson, Mr Gerson Msigwa, said yesterday that the country registered 133 new projects valued at a total of $2.98 billion (about Sh7 trillion) between March and August 2021.

Mr Msigwa made the statement when addressing the media in Dodoma at his weekly briefing, saying a report by the Tanzania Investment Centre (TIC) says that the 133 new projects were 28 more than the 105 projects worth $510 million, and which were registered during the same period last year (2020).

“Most of the investments are directed at agriculture, construction, trade, energy, infrastructure, finance, financial institutions, transportation, tourism and services sectors,” he said in a live broadcast.

Mr Msigwa attributed the increase to measures taken by the government through TIC that include introduction of one-stop services at TIC.

The move has put 12 government institutions - including the Tanzania Revenue Authority (TRA), Business Registration and Licensing Agency (Brela), the Tanzania Electric Supply Company (Tanesco) - under one roof, thereby reducing inconveniences to investors.

The government has also introduced the Tanzania Investment Window (TIW) that provides room for prospective investors from across the world to register investments online. “At least 273 pieces of land covering 159,721 hectares have been surveyed in different regions, thus easing land acquisition processes to prospective investors.

“Also, customer services at the TIC have been significantly improved,” he said.

Mr Msigwa - who is also the Information Services Department director - said 36 projects (27 percent of the 133 projects) have been registered by individual Tanzanians, while 34 others (25.56 percent) are partnerships.

He named some of the projects being implemented as the $180 million (Sh423 billion) fertiliser factory in Dodoma, with an annual capacity to produce 500,000 tonnes of fertilisers, and employ 3,000 workers.

Mr Msigwa said an Egyptian firm has invested in development industrial parks, thus not only creating jobs, but also produce goods and reduce imports.

“S. J. Sugar Company is investing in sugarcane production at Kitere Village in Mtwara Region. It is in the final stages of land acquisition before starting production,” he said - adding that the $300 million project is being implemented by the Mufindi Paper Mills under Rai Sugar in Kasulu District, Kigoma Region.

He said President Samia Suluhu Hassan would like more investments in assorted projects that create a win-win situation. Prospective investors are, therefore, encouraged to choose Tanzania as the preferred investment destination.

“Investors are assured of reliable markets due to the country’s rapid population growth, as well as its membership in the East African Community (EAC) and the Southern African Development Community (Sadc),” he said.

He said the country has recently ratified the African Continental Free Trade Area (ACFTA) protocol and that it has signed several agreements allowing locally produced products to be traded in China and the US.


VIVA TANZANIA VIVA || VIVA SAMIA VIVA

View attachment 1946749
Rubbish.
 
kama ni kweli basi ni jambo jema, sana sana mbolea itasaidia sana uzalishaji wa chakula ili tuache kuagiza nje na kutumia hizo pesa kuagiza vitu kama machinery kuzalisha zaidi na kuajiri watu wetu
 
nimeishia tu hapo kwenye "Tanzania has registered".... zitakapoanza kuzalisha hizo Investiments tutaziona, hata wachina wauza pikipiki wa Kariakoo nao wali-register Viwanda vya Pikipiki wameishia kuwa garage tu za kuuza vipuri...
 
Tanzania juu,ndani ya miezi mitano ya Rais Samia uwekezaji wakua kwa 400% wafikia $ 3bl ni mara sita zaidi ya ule wa mtangulizi wake katika kipindi kama hicho,
_________________________________________
Ndg Watanzani,Jumla ya miradi 133 yenye thamani ya US$ 2.98 imesajiliwa kati ya March na Agosti 2021,ambayo ni karibu na Tshs 7trilioni,Ukisikia Mama anaupiga mwingi hii ndio maana halisi ya "kuupiga mwingi "

Katika kipindi kama hicho mwaka jana jumla ya miradi 105 yenye thamani ya US$510M ilisajiliwa sawa na karibu Tshs 1.1trilioni ,

Ndani ya miezi mitano Rais Samia kutokana na juhudi mbalimbali anazozifanya ameongeza uwekezaji kwa Tshs 4trilioni ambazo ni sawa 400%, yaani mara sita zaidi ,

Wale Wote wenye mapenzi mema na Tanzania endeleeni kumwombea na kumshika mkono Rais Samia Suluhu,Kwahakika mwelekeo huu ni mzuri,Unatia moyo na unapunguza machungu ya kumpoteza jemedari wetu hodari Hayati Dk John John Pombe Magufuli,

Nasema ......
......... Kazi iendelee .........
________________________________

Investments hit nearly $3bilion in 5 months
Monday September 20 2021

Tanzania registered $2.98 billion in investments in five months starting in March this year, representing a growth of close to six times compared to the same period last year.

Tanzania Investments hit nearly $3bilion in 5 months
________________________________


IN SUMMARY

Dar es Salaam.
Tanzania registered $2.98 billion in investments in five months starting in March this year, representing a growth of close to six times compared to the same period last year.

The government spokesperson, Mr Gerson Msigwa, said yesterday that the country registered 133 new projects valued at a total of $2.98 billion (about Sh7 trillion) between March and August 2021.

Mr Msigwa made the statement when addressing the media in Dodoma at his weekly briefing, saying a report by the Tanzania Investment Centre (TIC) says that the 133 new projects were 28 more than the 105 projects worth $510 million, and which were registered during the same period last year (2020).

“Most of the investments are directed at agriculture, construction, trade, energy, infrastructure, finance, financial institutions, transportation, tourism and services sectors,” he said in a live broadcast.

Mr Msigwa attributed the increase to measures taken by the government through TIC that include introduction of one-stop services at TIC.

The move has put 12 government institutions - including the Tanzania Revenue Authority (TRA), Business Registration and Licensing Agency (Brela), the Tanzania Electric Supply Company (Tanesco) - under one roof, thereby reducing inconveniences to investors.

The government has also introduced the Tanzania Investment Window (TIW) that provides room for prospective investors from across the world to register investments online. “At least 273 pieces of land covering 159,721 hectares have been surveyed in different regions, thus easing land acquisition processes to prospective investors.

“Also, customer services at the TIC have been significantly improved,” he said.

Mr Msigwa - who is also the Information Services Department director - said 36 projects (27 percent of the 133 projects) have been registered by individual Tanzanians, while 34 others (25.56 percent) are partnerships.

He named some of the projects being implemented as the $180 million (Sh423 billion) fertiliser factory in Dodoma, with an annual capacity to produce 500,000 tonnes of fertilisers, and employ 3,000 workers.

Mr Msigwa said an Egyptian firm has invested in development industrial parks, thus not only creating jobs, but also produce goods and reduce imports.

“S. J. Sugar Company is investing in sugarcane production at Kitere Village in Mtwara Region. It is in the final stages of land acquisition before starting production,” he said - adding that the $300 million project is being implemented by the Mufindi Paper Mills under Rai Sugar in Kasulu District, Kigoma Region.

He said President Samia Suluhu Hassan would like more investments in assorted projects that create a win-win situation. Prospective investors are, therefore, encouraged to choose Tanzania as the preferred investment destination.

“Investors are assured of reliable markets due to the country’s rapid population growth, as well as its membership in the East African Community (EAC) and the Southern African Development Community (Sadc),” he said.

He said the country has recently ratified the African Continental Free Trade Area (ACFTA) protocol and that it has signed several agreements allowing locally produced products to be traded in China and the US.


VIVA TANZANIA VIVA || VIVA SAMIA VIVA

View attachment 1946749
Polepole akiongelea hii kwenye shule yake atasema tuwe makini na wawekezaji!!! kila kitu ni negative
 
Kwani kupika data mmeanza leo..acheni upuuzi huo.

#MaendeleoHayanaChama
 
Tanzania ya Samia ni noma,

Umeme bei Chee EAC
Petrol bei Chee EAC
Disel bei Chee EAC
M|taa bei Chee EAC
Data (MB) bei Chee EAC
Maji bei Chee EAC
 
Bado mengi mazuri yapo njiani.

Hongera sana Mama.

#MAMA 2025.
 
Kwanini unateseka nchi yako kupata maendeleo,

Wewe unatokea nchi gani?

Hii miradi itamwajiri hata ndg yako kama sio wewe

Kama huna ndugu hata jirani yako ataajiriwa pia,

Why can't you positive to your country?
I taajiri vip wakati mama ameshaawapi ruhusa sio lazima waje wawe wa tanzani kwenny hizi secta hatakama ni mfagiaji
 
Back
Top Bottom