Mifumo ya ulinzi wa anga ya Iran ilivyoishangaza dunia leo!

Yote tisa ile Air defence iko Fasta ajabu sio iron donne ving'ora viingi makelele tu. Kitu cha muajemi kinafanya intercept za double double bila kelele hapo mzayuni keshaelewa alizani pako uchi kama gaza. Inabidi arudi darasani kusoma notisi upya na babake, lakiri leo ajawahi kuona system kama ile
 
Ndege zinaingia, zinashambulia, zinatoka unharmed halafu unasema Iran imeishangaza dunia.
Ni kweli imeishangaza dunia kwa kutokuwa na radar makini.
Kwa tasiri nyingine myahudi ana uwezo wa kuingia atakavyo Iran.
Kwa mtu mwenye akili lazima ashangae
Ndege zinazoingia na kutoka Iran kwa siku ni zaidi ya 600 sasa sijui ulikua unataka kusema Nini
 
Pole kale urojo na tende za msaada toka Iran maana dah umemtetea kweli kweli.
 
Ndege ziliishia syria hata iraq hazijafika( iraq ipo karibu na iran)
 
Israel hajaingiza ndege hata moja Iran,katumia anga la Syria na Iraq ambako bwanaake marekani yupo
Na inakuwaje waarab wanaruhusu anga lao kutumika na myahudi? pamoja na kuombwa sana tena kwa huruma na waziri wa mambo ya nchi za nje Irani kuwa wasimruhusu myahudi lakini bado wamemruhusu?
 
Ndege zinaingia, zinashambulia, zinatoka unharmed halafu unasema Iran imeishangaza dunia.
Ni kweli imeishangaza dunia kwa kutokuwa na radar makini.
Kwa tasiri nyingine myahudi ana uwezo wa kuingia atakavyo Iran.
Kwa mtu mwenye akili lazima ashangae
Uliona ndege ngapi...? Ukiwa wapi...?
 
Ndege zinaingia, zinashambulia, zinatoka unharmed halafu unasema Iran imeishangaza dunia.
Ni kweli imeishangaza dunia kwa kutokuwa na radar makini.
Kwa tasiri nyingine myahudi ana uwezo wa kuingia atakavyo Iran.
Kwa mtu mwenye akili lazima ashangae

Bisha ushabiki
Niwajulishe tu kuwa; Irani imewekeza sana katika vita ya technologia.
Mfano: Irani ni Nchi ya pili au ya tatu Duniani kwa kutengeneza drone za kisasa za kivita;
Urusi, Korea na nchi nyingi tu za Ulaya hutegemea kununua Drone za kivita kutoka Iran
Mfano mwingine; Kifaru kimoja au ndege moja ya kivita (Lockheed Martin F-22 Raptor) ya zaidi ya dola milioni 150, Inaweza kuangamizwa kabisa na drone ya bei poa tu.....
Watu ambao hawafuatilii masuala ya kimataifa wanafikiri Irani niya kuichukulia Poa.....
 
Makombora ya israel yaliyotumika ni air lunched balistic missile ( kama kinzal za urusi range ni kubwa kuliko glide bomb)
 
Nonsense

View: https://x.com/MOSSADil/status/1850181877551788177?t=0qKWUl6rDPyPzfVsoJp_AQ&s=19
 
Umeandika utumbo mtupu

View: https://x.com/MOSSADil/status/1850181877551788177?t=0qKWUl6rDPyPzfVsoJp_AQ&s=19
View: https://x.com/DrEliDavid/status/1850189260311212147?t=g4L9muGHunvnAlcMBLPBzw&s=19
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…