Ndege zinazoingia na kutoka Iran kwa siku ni zaidi ya 600 sasa sijui ulikua unataka kusema NiniNdege zinaingia, zinashambulia, zinatoka unharmed halafu unasema Iran imeishangaza dunia.
Ni kweli imeishangaza dunia kwa kutokuwa na radar makini.
Kwa tasiri nyingine myahudi ana uwezo wa kuingia atakavyo Iran.
Kwa mtu mwenye akili lazima ashangae
Pole kale urojo na tende za msaada toka Iran maana dah umemtetea kweli kweli.Pole mtumwa mweusi wakiyahudi hakuna madhara yeyote zaid ya kibanda kimoja na yakufa kuna wengine wanasema hakuna aliye kufa ni Iran anataka kumchapa Israel kwa kisingizio kuwa wa Iran wamekufa .
Nchi 18 ziliambiwa zimpa tarifa Iran wapi Israel watapiga nchi mmoja wapo ni ya kiarabu Sa zinamzuia Iran asimpige Israel sababu kosa litakuwa lake kama kuna mtu kafa, sababu walisha ambiwa watoe askari zao.
Israel hakupiga Nuclear plant, visima vya mafuta, Air ports., Bandar au sehemu za Missiles au za kutengeneza silaha zingine.
Mmechanganyikiwa mpaka mnatuma video ambazo mlipewa kichapo na IranHaya madude yanashuka bila kuzuiwa na chochote....
Mifumo ya Urusi haijaanza kutumika hii ya Jana na locally madeNdege 100 zipo kwenye anga lako na umeshindwa kudondosha hata moja na unasifia mifumo ya ulinzi ya Urusi
Ndege ziliishia syria hata iraq hazijafika( iraq ipo karibu na iran)Sawa, Israel wameenda na ndege na zimefyatua mabomu kule Tehran, unataka kutuaminisha kwamba mabomu yaliyorushwa na hizo F35 yametunguliwa juu kwa juu ila ndege haijatunguliwa hata moja, licha ya Wayahudi kuambia Iran kwamba kichapo kinakuja. Ebu tuweke sawa hapo.
Na inakuwaje waarab wanaruhusu anga lao kutumika na myahudi? pamoja na kuombwa sana tena kwa huruma na waziri wa mambo ya nchi za nje Irani kuwa wasimruhusu myahudi lakini bado wamemruhusu?Israel hajaingiza ndege hata moja Iran,katumia anga la Syria na Iraq ambako bwanaake marekani yupo
Uliona ndege ngapi...? Ukiwa wapi...?Ndege zinaingia, zinashambulia, zinatoka unharmed halafu unasema Iran imeishangaza dunia.
Ni kweli imeishangaza dunia kwa kutokuwa na radar makini.
Kwa tasiri nyingine myahudi ana uwezo wa kuingia atakavyo Iran.
Kwa mtu mwenye akili lazima ashangae
Huo ndo uwezo kamili wa IranNdege 100 zipo kwenye anga lako na umeshindwa kudondosha hata moja na unasifia mifumo ya ulinzi ya Urusi
Ndege zinaingia, zinashambulia, zinatoka unharmed halafu unasema Iran imeishangaza dunia.
Ni kweli imeishangaza dunia kwa kutokuwa na radar makini.
Kwa tasiri nyingine myahudi ana uwezo wa kuingia atakavyo Iran.
Kwa mtu mwenye akili lazima ashangae
Tena wamepigwa na vibinti vidogo tuNdege zinaingia, zinashambulia, zinatoka unharmed halafu unasema Iran imeishangaza dunia.
Ni kweli imeishangaza dunia kwa kutokuwa na radar makini.
Kwa tasiri nyingine myahudi ana uwezo wa kuingia atakavyo Iran.
Kwa mtu mwenye akili lazima ashangae
Mnapigwa na vibinti vidogooo aibu hiiNdege 100 halafu hujalenga hata nzi
NonsenseLabda niwajulishe tu kuwa; Irani imewekeza sana katika vita ya technologia.
Mfano: Irani ni Nchi ya pili au ya Tatu Duniani kwa kutengeneza drone za kisasa za kivita;
Urusi, Korea na nchi nyingi tu za Ulaya hutegemea kununua Drone za kivita kutoka Iran
Mfano mwingine; Kifaru kimoja au ndege moja ya kivita (Lockheed Martin F-22 Raptor) ya zaidi ya dola milioni 20,000; Inaweza kuangamizwa kabisa na drone ya Irani ya bei poa tu.....
Watu ambao hawafuatilii masuala ya kidunia wanafikiri Irani niya kuichukulia Poa.....
Umeandika utumbo mtupuIRAN wana mifumo bora ya ulinzi shambulizi la ISRAEL limefeli pakubwa!!
Yaani hata nzi hajafa, hakuna majeruhi wala uharibifu wowote hakuna raia alokwenda kwenda mahandaki
Hakuna nchi iloenda kumsaidia Iran kama ambavyo Israel alisaidiwa na nchi 30 kuyatungua makombora ya Iran siku zilizopita
Hili shambulizi la Israel limeonyesha udhaifu mkubwa kwa dola la Israel dhidi ya Iran
We imagine Iran katumia mfumo mmoja tu wa Bavar 373 kuzuia makombora yote jamaa wametungua yote 99.99%
Kamlipuko kadogo kalionekana karibu na barabara baada ya kombora la mfumo wa ulinzi wa makombora ya Iran kufail na kulipuka.
Nimeshangazwa na Waajemi, kweli hawa sio waarabu kabisa pamoja na vikwazo vyote lakini wameprove kuwa wana mifumo bora ya ulinzi kabisa!!
Sote tunafahamu mashambulizi ya Israel huwaga ni makubwa na yenye kuleta madhara, Gharama ya kutuma ndege 100 kwenda kupiga tehran iko wapi?Maana wameishia kurusha makombora tu yakadakwa yote na Iran
Halafu hamna raia wa Iran alokwenda kwenye mahandaki hata mmoja tehran walikua walikua tuli wamelala zao!! Wakati huko Israel huwa watu hawalali ni kukaa kwenye mahandaki tu.
Hili tumejifunza nini kama taifa la Tanzania!! Hili shambulizi la Israel limejidhihirisha na kuonyesha Israel level zake na Palestina na Lebanon tu na siyo level za Iran
Gharama walotumia Israel kuishambulia Iran wangeitumia kulipua kambi za Iran huko Syria ingeleta ufanisi, lakini kitendo cha kwenda Iran na kushambulia na kutoka kapa ni aibu kubwa
My take: Iran haijaribiwi, shambulizi la Israel limefeli pakubwa, nakumbuka iran ilivyoshambulia Israel April 2024 Israel ilijibu kwa kutuma drone mbili huko Isfahan na zikaishia kutunguliwa.Israel kwa muajemi bado sana ana miaka mingine 200 ya kujipanga kumfikia muajemi!!
View: https://x.com/Nadira_ali12/status/1850005156286390481?t=tmz64j7ABD3MsCsLHC-nxg&s=19
siyo inyanga?S
Sawa muiran wa katumba